Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia kumiliki majumba na pesa plus kuongoza watu tena wasomi tu,bila akili angeweza vipi.Yuko Smart sana upstairs huyo dada, sikiliza mahubiri yake mtandaoni.
Daaaah aisee! Hao vijana watano ni hadi walazimishwe? Mweee jamani, kweli kwenye miti hakuna wajenzi. Nitamtafuta huyu dada, I swear! Na nikishampata, nakuhakikishia hatahitaji tena vijana watano.Huyu Zumaridi analazimisha vijana watano kila siku kufanya nae ngono. Nenda Buhongwa pale upate stori zake. Yaani anasemekana ana nyege balaa. Muda tu humo ndani ataanza vitimbi cha nyege. Ni hatari sana huyu.
Sent from my SM-A320F using JamiiForums mobile app
Lengo ni kututoa kwenye agenda muhimu za kitaifa au?Siku chache tangu Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kumkamata Diana Bundala maarufu kwa jina la Mfalme Zumaridi ambaye ni Mchungaji wa Kanisa la Zumaridi, ameendelea kutrend mitandaoni kutokana na vituko vyake.
Akiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza alipofikishwa na wenzake, Machi 2, 2022, alionekana kufanya vituko kadhaa ikiwemo kuwaambia waandishi wa habari kuwa: “Mmemuona Mungu?”
Nukta chache baadaye akaonekana akijibu mwandishi ambaye alimsalimia kwa kumwambia “Mungu hi!” Naye akamjibu: “Hi!” kisha akamchumu mwandishi huyo kwa mbali.
View attachment 2138340
Video: Yuhoma TV
Kajifanya kadata???Siku chache tangu Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kumkamata Diana Bundala maarufu kwa jina la Mfalme Zumaridi ambaye ni Mchungaji wa Kanisa la Zumaridi, ameendelea kutrend mitandaoni kutokana na vituko vyake.
Akiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza alipofikishwa na wenzake, Machi 2, 2022, alionekana kufanya vituko kadhaa ikiwemo kuwaambia waandishi wa habari kuwa: “Mmemuona Mungu?”
Nukta chache baadaye akaonekana akijibu mwandishi ambaye alimsalimia kwa kumwambia “Mungu hi!” Naye akamjibu: “Hi!” kisha akamchumu mwandishi huyo kwa mbali.
View attachment 2138340
Video: Yuhoma TV
Ya kimataifadah komed
Hee! Ama kweli!!Ila ni mzuri huyu dada, mwendo wake tu unavutia anavyotembea ni kama warembo, halafu anajiamini sana, bora wamuachie tu maana ana vituko vingi sana visivyo na madhara kwa jamii
Someni vizuri mashitaka ya huyo mama,serikali haijamshitaki kwa hayo Mambo uliyoandika hapo bali anakesi ya kusafirisha watu kwa njia haramu!,pili hana vibali kwa anayoyafanya yani hata kanisa lake linatumia katiba ya Pentecost lakini serikali haitambui hilo kesi nyengine aliyonayo na hao makerubi wake ni kuwazuia askari kumkamata (ipo video maasikari walivyofanyiwa vitimbi na hao makerubi), chengine mule kwenye jumba lake wamekutwa watu 140+ wengine wakiwa ni watoto it means anawanyima hata haki yao ya kusoma!. Na pia hana kibali au serikali ilikuwa haifahamu Kama kwake Kuna mkusanyiko huo wa watu pasipo taarifa..Mimi Naona anaonewa tu Hana shida na mtu kwa Sababu hajamlazimisha mtu kwenda kusaki kanisani kwake.Mbona Kenya Kuna mtu alikua anaitwa Jehova Wanyonyi alikua anajiita Mungu na hakuwai kukamatwa? Kila mtu aamini anachokiamin li na hakuna dini Bora kuliko nyingine.Serikali isiwe inapoteza muda kwa vitu kama hivyo
Ila ni mzuri huyu dada, mwendo wake tu unavutia anavyotembea ni kama warembo, halafu anajiamini sana, bora wamuachie tu maana ana vituko vingi sana visivyo na madhara kwa jamii
Someni vizuri mashitaka ya huyo mama,serikali haijamshitaki kwa hayo Mambo uliyoandika hapo bali anakesi ya kusafirisha watu kwa njia haramu!,pili hana vibali kwa anayoyafanya yani hata kanisa lake linatumia katiba ya Pentecost lakini serikali haitambui hilo kesi nyengine aliyonayo na hao makerubi wake ni kuwazuia askari kumkamata (ipo video maasikari walivyofanyiwa vitimbi na hao makerubi), chengine mule kwenye jumba lake wamekutwa watu 140+ wengine wakiwa ni watoto it means anawanyima hata haki yao ya kusoma!. Na pia hana kibali au serikali ilikuwa haifahamu Kama kwake Kuna mkusanyiko huo wa watu pasipo taarifa..
Kesi hizi ndogondogo zinazamana makerubi wake wamepewa zamana lakini wamegoma,isipokuwa yeye ndo analoshitaka ambalo halina zamana!.
Ukifatilia vizuri utagundua kuna mahali sehemu huyu lazima arekebishwe,hata kama ni haki ya kuabudu inaleta picha mbaya sana kwa taifa eti mtu kusujudiwa!.. it's like we are out of our minds.
Sisi tunaweza tukaona picha ya nje lakini serikali ikaona kiundani zaidi iacheni ifanye kazi yake sio kila siku mnalaumu polisi,watu wengine hawa wanajitakia wenyewe kukutana na mkono wa dora.
Tafsiri ya uzuri ni panaMzee huo uzuri umeuona wapi jamani? Mtu amejikoboa kama mahindi vile kwenye mashavu yake huo uzuri unaouzungumzia unatoka wapi?
Sina muda wa kukuelekeza pambana na ubongo wako.Ina maana serikali imeishiwa Kazi za kufanya.
Sasa masuala ya kiimani wao wanayapima vipi,watu kwa akili zao timamu wameamua kumuabudu mwanadamu mwenzao kosa lipo wapi hapa,mbona watu wanaenda kutambika,kukusanyika kwenye majumba ya watu kufanya maombi vibali utoa wapi?.
Hao askari walifata utaratibu wa ukamataji,je waliaminika vipi kama ni maaskari maana matapeli wapo wengi.
Usafirishaji haramu wa watu hamna kesi hapo, kuwanyima watoto haki ya kusoma hakuna mashiko hapo, mtoto akilazwa hospital je ishtakiwe hospital kwa kumnyima haki ya kwenda shule,hao je kama walikuwa kwenye tiba za kiimani je maana imani ni pana.
Mbona kuna watoto kwa waganga wa kienyeji kwann police isiende kuwakamata huko,mbona waganga wa kienyeji waharibu Sana Maisha ya watu awakamati? Unathibitisha vipi Mungu kea ground zipi.Mungu ujipigania mwenyewe haitaji msaada wa binadamu acheni magugu yaote na ngano.
Kuwazuia police kufanya Kazi hamna kesi hapo,hao police walikuja kama nani walifata taratibu,wamewahi toa wito na mtuhumiwa akagoma kufika hadi watumie nguvu?
Kitendo cha kumpiga yule mama kisa imani yake sio uungwana na uonyesha ukosefu wa weledi wa police.
Hakuna kesi hapo labda kama ccm wameamua kupooza joto au kuficha kitu.
Wasalimie waambie waache wivu wa imani za watu huyo mama kawazidi vingi pesa,mali,majumba na umaarufu ambavyo kwao ni ndoto kuvipata.Sina muda wa kukuelekeza pambana na ubongo wako.
Badala ya kumakamata bashite eti wanamkamata huyu mama. Amewazidi vingi pesa, majumba na magari hata wastaafu awatovipata
Maisha yake hata ujumlishe ukoo wetu wote umfikii hata roboAkikaa magereza week 2 huyu kahaba mbwem6bwe zote zitaisha