Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahah dah sema no libaya mno watu walikurupuka na zile make up aisee halafu anaonekana Kama vile loose point fulani 😃😃😃😃Siku chache tangu Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kumkamata Diana Bundala maarufu kwa jina la Mfalme Zumaridi ambaye ni Mchungaji wa Kanisa la Zumaridi, ameendelea kutrend mitandaoni kutokana na vituko vyake.
Akiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza alipofikishwa na wenzake, Machi 2, 2022, alionekana kufanya vituko kadhaa ikiwemo kuwaambia waandishi wa habari kuwa: “Mmemuona Mungu?”
Nukta chache baadaye akaonekana akijibu mwandishi ambaye alimsalimia kwa kumwambia “Mungu hi!” Naye akamjibu: “Hi!” kisha akamchumu mwandishi huyo kwa mbali.
View attachment 2138340
Video: Yuhoma TV
Huyu ni lunatic aisee 😃 sema amejikoboa aisee wanawake make up zinawapa confidence sana hapo amekuwa kama HGAnachanganya cha Arusha na cha Musoma huyu, si bure
mungu anakula vitasa 🤣🤣🤣Kuwa na staha unapomzungumzia mungu, kumbuka huyu ni mungu chini ya jua.
Yule Zumaridi ni ebitoke flani aliyechangamka 😂Wamempima akili?
Yuko Smart sana upstairs huyo dada, sikiliza mahubiri yake mtandaoni.Anachanganya cha Arusha na cha Musoma huyu, si bure
Mkuu usicheke, sentensi inayofuata haitokufurahisha...mungu anakula vitasa 🤣🤣🤣
Mmmhh!!! Mkuu uzur uko wap palee? Mbona anatisha sanaqaa..Ila ni mzuri huyu dada, mwendo wake tu unavutia anavyotembea ni kama warembo, halafu anajiamini sana, bora wamuachie tu maana ana vituko vingi sana visivyo na madhara kwa jamii
Ndio hivyo ila unaweza kuta ana maisha mazur kuliko ma "JF-Expert Members" wengi tu humu 😂😂Anachanganya cha Arusha na cha Musoma huyu, si bure
Mkuu na mimi ni mmoja wao zile make up sio kitoto nikajua bonge ya kazi...Hahahahahah dah sema no libaya mno watu walikurupuka na zile make up aisee halafu anaonekana Kama vile loose point fulani 😃😃😃😃
umeshaziona nyumba zake zile? ana nyumba kama villa, anatunza watu 196 na nawalisha huyo dem sijui ela katoa wp, amaa kweli dunia ina mamboNdio hivyo ila unaweza kuta ana maisha mazur kuliko ma "JF-Expert Members" wengi tu humu 😂😂
Dunia ina mambo san mkuu.Na utajiri ni kitu rahis sana kukipata sema tu nyie mnakomaa na usomi wenu wakati mtaji ambao ni "wajinga na masikini" wamejaa tele.Ukijitoa tu ufaham believe me unapiga pesa ndefu sana tu.Wajinga na masikin ndio wanatajirisha watuumeshaziona nyumba zake zile? ana nyumba kama villa, anatunza watu 196 na nawalisha huyo dem sijui ela katoa wp, amaa kweli dunia ina mambo
🤣🤣 Umeona Toto hilo..😂Kweli uzuri wa mtu uko machoni mwa muangaliaji
Haya bana mkuu
Safisha kinyesi kichwani mwako.Wanaachiwa mashekhe wa uamsho waliokuwa wakichoma makanisa anakamatwa huyu.
Ni jambo la aibu sana kwa mamlaka.Safisha kinyesi kichwani mwako.