Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu wakimpeleka magereza hamalizi mwezi anapewa Unyapara au Askari selo au member of staff
akifungwa kabisa hamalizi mwka anapewa unyapara Mkuu kwa upande wa wanawake maana kwa namna
alivyofetuka akili akiingia jela akaongezea ufyetukaji kidogo akawa KAFYETUKA square,hamna kima yeyote
itamwambia kitu maana ni chizi bin mwehu huyu mungu zumaridi,hapo tu n uraia,Akika jela miaka mi 3 na Mke ataoa huko huko.
Haaahaaa mkuu umenifanya nicheke sana yaani kumbe nywele huwa zinaficha sura halisi ya mwanamke, ndio maana mimi huwa napenda sana wadada walio natural na kunyoa staili za kiadventist zile afro.Tuacheni masihara mwanamke akisuka mistari kama kichwa ndio kimekaa kama cha zumaridi
anakua kama wale binadamu wa kwanza kina homosapiens (stage 1) yani kichwa yake haina chogo
maskio ni ya kutafuta na tochi (viskio vduchuuu) halafu kwa kumalizia kile kchogo cha kutafuta na tochi kimeangalia kwa juu, weeeeee Wadada vaeni tu ma WIG nimekubaliiiiiiiiiiii na sasa naelewa wengine mko na special Case...
Huyo mtu ana akili kubwa Sana kiwazidi watu wengi .Hakuna mtu TAJIRI ambae Hana akili Yan tu Ile kutumia akili yake akawa tajili kama huyu Mama basi tayli ana akili tumpe heshima yake.Huyi mama tayali Hana shida na sio masikini Tena na hapa wanamuongezea umaalufu wa kuendelea kuwa tajili Tena akitoka polisiAkili zake kama hazina akili...
Siku chache tangu Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kumkamata Diana Bundala maarufu kwa jina la Mfalme Zumaridi ambaye ni Mchungaji wa Kanisa la Zumaridi, ameendelea kutrend mitandaoni kutokana na vituko vyake.
Akiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza alipofikishwa na wenzake, Machi 2, 2022, alionekana kufanya vituko kadhaa ikiwemo kuwaambia waandishi wa habari kuwa: “Mmemuona Mungu?”
Nukta chache baadaye akaonekana akijibu mwandishi ambaye alimsalimia kwa kumwambia “Mungu hi!” Naye akamjibu: “Hi!” kisha akamchumu mwandishi huyo kwa mbali.
View attachment 2138340
Video: Yuhoma TV
hahahha eti anavituko vingi visivyo na madhara kwa JamiiiIla ni mzuri huyu dada, mwendo wake tu unavutia anavyotembea ni kama warembo, halafu anajiamini sana, bora wamuachie tu maana ana vituko vingi sana visivyo na madhara kwa jamii
Mwandishi huyo hajui wajibu wake, hatakiwi kulumbana na habari kazi yake ni kuiandika habari kama ilivyo.Siku chache tangu Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kumkamata Diana Bundala maarufu kwa jina la Mfalme Zumaridi ambaye ni Mchungaji wa Kanisa la Zumaridi, ameendelea kutrend mitandaoni kutokana na vituko vyake.
Akiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza alipofikishwa na wenzake, Machi 2, 2022, alionekana kufanya vituko kadhaa ikiwemo kuwaambia waandishi wa habari kuwa: “Mmemuona Mungu?”
Nukta chache baadaye akaonekana akijibu mwandishi ambaye alimsalimia kwa kumwambia “Mungu hi!” Naye akamjibu: “Hi!” kisha akamchumu mwandishi huyo kwa mbali.
View attachment 2138340
Video: Yuhoma TV
Wa nyuma yake mrembo tabasamu kama lote
Naona unataka Serikali itengeneze bomu la nyuklia!Serikali ifanye mpango huyu mfalme na nabii tito waoane. Mtanishukuru baadae
Chura Chura ChuraKweli uzuri wa mtu uko machoni mwa muangaliaji
Haya bana mkuu
Chura Chura Chura
Anajiamini huyu dada nimependa mno!Ila ni mzuri huyu dada, mwendo wake tu unavutia anavyotembea ni kama warembo, halafu anajiamini sana, bora wamuachie tu maana ana vituko vingi sana visivyo na madhara kwa jamii
Kuwa na staha unapomzungumzia mungu, kumbuka huyu ni mungu chini ya jua.mbona usoni amekuwa kama kenge