Video: Vituko vya 'Mfalme Zumaridi', amchumu mwandishi Mahakamani

Video: Vituko vya 'Mfalme Zumaridi', amchumu mwandishi Mahakamani

huyu wakimpeleka magereza hamalizi mwezi anapewa Unyapara au Askari selo au member of staff

akifungwa kabisa hamalizi mwka anapewa unyapara Mkuu kwa upande wa wanawake maana kwa namna

alivyofetuka akili akiingia jela akaongezea ufyetukaji kidogo akawa KAFYETUKA square,hamna kima yeyote

itamwambia kitu maana ni chizi bin mwehu huyu mungu zumaridi,hapo tu n uraia,Akika jela miaka mi 3 na Mke ataoa huko huko.

Kwa kesi gani sasa.
 
Tuacheni masihara mwanamke akisuka mistari kama kichwa ndio kimekaa kama cha zumaridi

anakua kama wale binadamu wa kwanza kina homosapiens (stage 1) yani kichwa yake haina chogo

maskio ni ya kutafuta na tochi (viskio vduchuuu) halafu kwa kumalizia kile kchogo cha kutafuta na tochi kimeangalia kwa juu, weeeeee Wadada vaeni tu ma WIG nimekubaliiiiiiiiiiii na sasa naelewa wengine mko na special Case...
Haaahaaa mkuu umenifanya nicheke sana yaani kumbe nywele huwa zinaficha sura halisi ya mwanamke, ndio maana mimi huwa napenda sana wadada walio natural na kunyoa staili za kiadventist zile afro.
 
Mimi Naona anaonewa tu Hana shida na mtu kwa Sababu hajamlazimisha mtu kwenda kusaki kanisani kwake.Mbona Kenya Kuna mtu alikua anaitwa Jehova Wanyonyi alikua anajiita Mungu na hakuwai kukamatwa? Kila mtu aamini anachokiamin li na hakuna dini Bora kuliko nyingine.Serikali isiwe inapoteza muda kwa vitu kama hivyo
 
Akili zake kama hazina akili...
Huyo mtu ana akili kubwa Sana kiwazidi watu wengi .Hakuna mtu TAJIRI ambae Hana akili Yan tu Ile kutumia akili yake akawa tajili kama huyu Mama basi tayli ana akili tumpe heshima yake.Huyi mama tayali Hana shida na sio masikini Tena na hapa wanamuongezea umaalufu wa kuendelea kuwa tajili Tena akitoka polisi
 
Siku chache tangu Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kumkamata Diana Bundala maarufu kwa jina la Mfalme Zumaridi ambaye ni Mchungaji wa Kanisa la Zumaridi, ameendelea kutrend mitandaoni kutokana na vituko vyake.

Akiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza alipofikishwa na wenzake, Machi 2, 2022, alionekana kufanya vituko kadhaa ikiwemo kuwaambia waandishi wa habari kuwa: “Mmemuona Mungu?”

Nukta chache baadaye akaonekana akijibu mwandishi ambaye alimsalimia kwa kumwambia “Mungu hi!” Naye akamjibu: “Hi!” kisha akamchumu mwandishi huyo kwa mbali.
View attachment 2138340

Video: Yuhoma TV
Bean 1.jpg
Bean 1.jpg
 
Sijui anayesema huyu mama hana madhara kama anajua undan wa makosa yake kijamii na kisheria! Tuwe tunadadavua mambo. Tunafikiria kwa bei nafuu sana. Na hatujui serkali ni nin hasa na majukum yake.
Huyu mama kashafiris raia kadhaa. Kuna mtoto alkuwa haend shule kisa ni siku za mwisho.
Usajir wa kanisa lake hauko sawa.
Sio mtii wa sheria na mamlaka km mwehu vile.
Anaharib nguvukaz ya taifa.
Sasa itafkia tapeli tumpe heshma kwa kuiba kwa akili nyingi.
Tukio hili serkal ichungulie na kwa wengine.
Kibwetere aliachwa watu wakapigwa kiberit hiv hiv.
Tusisahau hukum ya juzi tu bukoba wazaz kugoma kupeleka watoto shule kwa iman za hivi.
Sote ni watoto wa baba mmoja ...serkali.
Baba linda ustawi wa familia yako!
 
Siku chache tangu Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kumkamata Diana Bundala maarufu kwa jina la Mfalme Zumaridi ambaye ni Mchungaji wa Kanisa la Zumaridi, ameendelea kutrend mitandaoni kutokana na vituko vyake.

Akiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza alipofikishwa na wenzake, Machi 2, 2022, alionekana kufanya vituko kadhaa ikiwemo kuwaambia waandishi wa habari kuwa: “Mmemuona Mungu?”

Nukta chache baadaye akaonekana akijibu mwandishi ambaye alimsalimia kwa kumwambia “Mungu hi!” Naye akamjibu: “Hi!” kisha akamchumu mwandishi huyo kwa mbali.
View attachment 2138340

Video: Yuhoma TV
Mwandishi huyo hajui wajibu wake, hatakiwi kulumbana na habari kazi yake ni kuiandika habari kama ilivyo.
 
Wanaachiwa mashekhe wa uamsho waliokuwa wakichoma makanisa anakamatwa huyu.
 
Ila ni mzuri huyu dada, mwendo wake tu unavutia anavyotembea ni kama warembo, halafu anajiamini sana, bora wamuachie tu maana ana vituko vingi sana visivyo na madhara kwa jamii
Anajiamini huyu dada nimependa mno!

Serikali waache uonevu, haya ni mambo ya imani, kama anaenda kinyume na sheria wamuelekeze, wamuonye, sio kumfanyia vurugu au kumfungia, vinginevyo wamfungie na Mwamposa au Kuhani Mussa.
 
Back
Top Bottom