Video vixen, PoshyQueen adai hawezi kutokea kwenye video ya msanii wa Bongo bila milioni 5

Huyu mtoto anaish hostel za Didiz pale posta nyuma ya NMB bank. Namna anavyovaa yaan anasikitisha maana anapenda sana kuteka attention za watu. Kuna siku alivaa nguo mpaka mwenyew akaona aibu kutoka kulifuata gari lilipo. Ilibid avizie watu walivyokaa ndio akachomoka kukimbilia kwenye gar.
 
Alikwepa mashambulio ya aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…