Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Huyu mtoto anaish hostel za Didiz pale posta nyuma ya NMB bank. Namna anavyovaa yaan anasikitisha maana anapenda sana kuteka attention za watu. Kuna siku alivaa nguo mpaka mwenyew akaona aibu kutoka kulifuata gari lilipo. Ilibid avizie watu walivyokaa ndio akachomoka kukimbilia kwenye gar.
Mtt wa pastaSi mchezo halafu sijawahi kumuona akimpost baba yake...
Watt wa bukukuAliniacha kidato kimoja advance, sangu secondary halafu katokea familia ya kichungaji!!
kutikiswa papaVideo vixen ndiyo watu gani hao?
Million 5 kwa kazi gani anayofanya?
Papa ndyo nini?kutikiswa papa
[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23]Hutoi pesa nani akutake
Kama kuna ka mchina.Mwanadada anayekuja kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii adai hawezi kutokea kwenye video yeyote ya Msanii wa Bongo yaani (video vixen) bila Shilingi Million 5 .Hii amekuwa akisikika kwenye baadhi ya interview za media mbalimbali.
Kutokana na muonekano wake unadhani anastahili hilo dau...!!!
View attachment 789791
View attachment 789809
Anaitwa Jacqueline obed
Mtt wa pasta
Watt wa bukuku
True.
Ana ndugu yake yuko Chuo cha Diplomasia, Kurasini yuko super sana, sema yeye hauzi K kama huyu dogo.
Mishahara ya walimu kumi hiyoMilioni 5 Bongo hela kubwa eenh?
Kumbe anauza mkuu [emoji15]
Acha tujikite viwanja vikubwa tu.Mishahara ya walimu kumi hiyo
Tufanye basi biashara mkuu,Acha tujikite viwanja vikubwa tu.
Mtu unaweza kusema urudi Bongo, hata ukifanya biashara bei ya kazi yako unaweza kutaja ukaonekana unakufuru. Ukiamua kufanya kazi, mshahara unaotakaunaweza kuripotiwa kwa Magufuli.
Acha tujikite viwanja vikubwa tu.