Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wazalendo wamedhamiria kuichukua nchi yao kutoka kwa Putin na wamefanya maandalizi makubwa sana ya kufika Moscow, wasichukuliwe poa.....
Wapo radhi kujitoa mhanga na kufa kwa maelfu hadi taifa lao likombolewe.....
Hawa wazalendo wamedhamiria kuichukua nchi yao kutoka kwa Putin na wamefanya maandalizi makubwa sana ya kufika Moscow, wasichukuliwe poa.....
Wapo radhi kujitoa mhanga na kufa kwa maelfu hadi taifa lao likombolewe.....
Hicho sio kikosi cha kawaida wewe tuliaUS waungeni mkono hawa waasi.
Hii nchi itakuja kuparaganyika, alivyochukua majimbo Ukraine, ndivyo ambavyo majimbo yake nayo yatajimega.Marekani ashatengeneza kikosi chake Urusi, na hili ndo pigo la mwisho, hili huwa halitashindwa. Marekani sio mchezo, Urusi nayo itafanywa koloni lao, ingawa Putin ataacha watu loyal ambao watapambana milele, hence un ending unrest
US waungeni mkono hawa waasi.
Ha ha ha sawa mkuu ngoja nitulie.Hicho sio kikosi cha kawaida wewe tulia
Affirmative, raia wengi russia wana hasira, hakuna wanachogain ktk hii vita zaidi ya maisha magumu na vifo kwa ndugu zao.Kuna mchezo wa hali ya juu unachezwa hapa, hii ndio muarubaini wa Urusi, maana kwa sasa Urusi ikivamiwa kijeshi watabonyeza manyuklia, hivyo mchezo umesukwa ndani kwa ndani Urusi na kwa sasa raia wengi na wanajeshi wa Urusi wana hasira na kile Putin amewafanya hivyo waasi hawatakua na kazi ngumu.
Hao watapigwa kama ngoma.Hawa wazalendo wamedhamiria kuichukua nchi yao kutoka kwa Putin na wamefanya maandalizi makubwa sana ya kufika Moscow, wasichukuliwe poa.....
Wapo radhi kujitoa mhanga na kufa kwa maelfu hadi taifa lao likombolewe.....
Waasi watakufa vibaya sana.US waungeni mkono hawa waasi.
Uchumi na ushawishi wa Urusi umeongezeka duniani mara dufuAffirmative, raia wengi russia wana hasira, hakuna wanachogain ktk hii vita zaidi ya maisha magumu na vifo kwa ndugu zao.
Tayari wengi tumeshawamaliza, wamebaki waasi wa hapa Jf tu.Waasi wata nyonywa Kama tt.
Hamna kitu hapo.
Na wateketee kwa jina la putinTayari wengi tumeshawamaliza, wamebaki waasi wa hapa Jf tu.
Wawaunge mkono mara ngapi?US waungeni mkono hawa waasi.
Putin atawamaliza hawa magaidi wa USANa wateketee kwa jina la putin