Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Putin ana deal na wahuni ndani kwa ndaniIla Urusi kaonekana kushindwa, jana kaanza shambulia miji yake ndani ya Urusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Putin ana deal na wahuni ndani kwa ndaniIla Urusi kaonekana kushindwa, jana kaanza shambulia miji yake ndani ya Urusi
Imekuwaje Russia nayo imevamiwa?Putin ana deal na wahuni ndani kwa ndani
Ila vinapatikana vifaa vya mmarekani huko........ Ramzan kadirov atajibu kwa mashambulizi ya kigaidi ulaya nzima itatikisika..... Mnawajua wa chechnya??? Hao ndo waliomuendesha mrusi hadi akawakubali akawaachia jimbo lao wajitawale ila ndani ya urusi........ Wagner wanapigana kwa style ya kijihadi mission iliobaki ni kuipiga ulaya kwa matukio ya kigaidi hapo sasa watakodiwa watu kutoka mashariki ya kati na kazi itaanzia uingerezaKuna mchezo wa hali ya juu unachezwa hapa, hii ndio muarubaini wa Urusi, maana kwa sasa Urusi ikivamiwa kijeshi watabonyeza manyuklia, hivyo mchezo umesukwa ndani kwa ndani Urusi na kwa sasa raia wengi na wanajeshi wa Urusi wana hasira na kile Putin amewafanya hivyo waasi hawatakua na kazi ngumu.
Ujinga mwingine ni huu, uchumi umeongezeka huku wanaendelea kutumia dollar ya mmarekani.Uchumi na ushawishi wa Urusi umeongezeka duniani mara dufu
Hao panyaroad tu hawana shida.Imekuwaje Russia nayo imevamiwa?
Russians walishaacha kutumia dolar za mashoga, wana deal na currency kubwa duniani kama Yuan na Rupee.Ujinga mwingine ni huu, uchumi umeongezeka huku wanaendelea kutumia dollar ya mmarekani.
Dogo unajifanya kuijua vita na mbinu za urusi kuliko hata unavyowajua watoto wa nje wa babako.Ila vinapatikana vifaa vya mmarekani huko........ Ramzan kadirov atajibu kwa mashambulizi ya kigaidi ulaya nzima itatikisika..... Mnawajua wa chechnya??? Hao ndo waliomuendesha mrusi hadi akawakubali akawaachia jimbo lao wajitawale ila ndani ya urusi........ Wagner wanapigana kwa style ya kijihadi mission iliobaki ni kuipiga ulaya kwa matukio ya kigaidi hapo sasa watakodiwa watu kutoka mashariki ya kati na kazi itaanzia uingereza
Mrusi haya mambo kwake kawaida kabisa na anaweza kuyadhibiti shida ni pale moto wa hivi akiwapelekea ulaya watauweza???? Hakuna waasi waliomsumbua Putin kama wa Chechnya hadi wana kikosi chao special cha jeshi ndani ya urusi hao jamaa ni jihadi zaidi ya wagner....... Ramzan Kadyrov anacheki kwa mbaali,,, hawa waasi wa sasa ni wachumba tu na pia inaweza ikawa ni false flag..... Russia ni nchi ya wahuni wanaweza kufanya mambo usiyodhania ndo maana wanaitwa ni Anti Christ of the anti christImekuwaje Russia nayo imevamiwa?
Sababu nilikula mzigo wa mamakoDogo unajifanya kuijua vita na mbinu za urusi kuliko hata unavyowajua watoto wa nje wa babako.
Mkuu hawa sio waasi hawa ni ''Jeshi la askari watiifu'' wanataka nchi yao iondokane na udikteta uliokubuhu kwa bwana Putin na kusimamisha demokrasia ambayo itatoa haki kwa wote na Urusi kukomboka.US waungeni mkono hawa waasi.
Na bado congo italetwa wagner kazi mnayo safari hiDogo unajifanya kuijua vita na mbinu za urusi kuliko hata unavyowajua watoto wa nje wa babako.
Kama raia wake wanahama na kusambaratika kuihama nchi hili ni pigo la mwakaMrusi haya mambo kwake kawaida kabisa na anaweza kuyadhibiti shida ni pale moto wa hivi akiwapelekea ulaya watauweza???? Hakuna waasi waliomsumbua Putin kama wa Chechnya hadi wana kikosi chao special cha jeshi ndani ya urusi hao jamaa ni jihadi zaidi ya wagner....... Ramzan Kadyrov anacheki kwa mbaali,,, hawa waasi wa sasa ni wachumba tu na pia inaweza ikawa ni false flag..... Russia ni nchi ya wahuni wanaweza kufanya mambo usiyodhania ndo maana wanaitwa ni Anti Christ of the anti christ
Mrusi kapitia makubwa zaidi ya hayo ndo maana hapelekeshwi sio nchi ya mashoga hio..... Kule ni kwa wahuni aka ma OligarchKama raia wake wanahama na kusambaratika kuihama nchi hili ni pigo la mwaka
Marekani na nchi inayoziunga mkono zitapigwa matukio ya kigaidi hazitapata ona.............. Maana kuna silaha zake pia zimeshaingia kwenye blackmarket ni muda tu unasubiriwaMkuu hawa sio waasi hawa ni ''Jeshi la askari watiifu'' wanataka nchi yao iondokane na udikteta uliokubuhu kwa bwana Putin na kusimamisha demokrasia ambayo itatoa haki kwa wote na Urusi kukomboka.
Na wala usiwe na wasiwasi bila shaka nyuma yao yuko mnyama anaitwa US
Hawa wahuni na huyo USA watapigwa kama ngoma, waanze kujiliza huko UN.Mkuu hawa sio waasi hawa ni ''Jeshi la askari watiifu'' wanataka nchi yao iondokane na udikteta uliokubuhu kwa bwana Putin na kusimamisha demokrasia ambayo itatoa haki kwa wote na Urusi kukomboka.
Na wala usiwe na wasiwasi bila shaka nyuma yao yuko mnyama anaitwa US
Mashoga haipiti siku bila kujitajataja humu.Mrusi kapitia makubwa zaidi ya hayo ndo maana hapelekeshwi sio nchi ya mashoga hio..... Kule ni kwa wahuni aka ma Oligarch
Nakuona mrembo na nakufahamu una k nzuri sanaMashoga haipiti siku bila kujitajataja humu.
Mnajificha nyuma ya keyboard ila tunawajuaMashoga haipiti siku bila kujitajataja humu.
Mashoga mnafanya jf inanukaMnajificha nyuma ya keyboard ila tunawajua