Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Kwa sababu wewe ni shoga na mchumbaWewe ni shoga nini mbona unapenda sana kutajataja mashoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu wewe ni shoga na mchumbaWewe ni shoga nini mbona unapenda sana kutajataja mashoga
Kama wasaliti wakina yuda iskarioti wakipigwa kambaBRICS yote imejaa ushoga
Cha ajabu na kustua nyote ninyi dream zenu ni kufika US, UK, France Canada and western countries!! Mwafrika ni mnyama.10. U.K.
The UK is considered as one of the most liberal countries in the world. Gay marriages are allowed in the country, and an estimated one in 20 men are gay.
9. TAIWAN
An Asian country known for its diverse culture and beautiful tourist attractions, it also has a large gay population. And 1 in every 18 men in the country is homosexual, Taiwan being ninth in this selection of the 10 countries with the largest gay population in the world.
8. PHILIPPINES
This beautiful country is also one of the friendliest when it comes to its homosexual population. In the last decade, the gay population of the Philippines really shot up. Experts are not sure about this growth, but it is estimated that there are more than 804,000 gay men in the country. In other words, 1 in 16 men is gay.
7. INDIA
The largest democratic country in the world also stands out here. Despite being a secular country, gay culture is really becoming a norm here, 1 out of every 14 men in India is gay.
6. U.S.
The United States is also one of the friendliest countries when it comes to embracing homosexual culture. Its gay population now totals 5 million, which means 1 in 12 men in the United States being homosexual.
5. FRANCE
France is probably the least tolerant country of gay culture in the selection, but it has numbers that are surprising. According to estimates, 1 out of every 10 men in France is gay, with France ranking fifth in the 10 countries with the largest gay population in the world.
4. CANADA
The coolest country in the selection is also the coolest when it comes to respecting people from every corner of the world, with different cultures and tastes. The country has 1 in 9 men, gay.
3. ITALY
The pizza country also has one of the largest populations of gays in the world, being third in this selection of the 10 countries with the largest gay population in the world. According to an estimate of 2014, there are more than 5 million gay men in Italy, which means that 1 in 8 men is gay. An impressive proportion.
2. NETHERLANDS
The Netherlands is not far behind Italy, with 1 in 7 men being gay in the country. It is also one of the most friendly countries of sexual diversity in Europe. Same-sex marriages have been legal in the country for years, and the gay population in Holland hardly have to face any biased remarks or comments.
1. CHINA
For some, this could come as a surprise, as China is not known as a country that supports or promotes issues such as gay, lesbian or bisexual, but since it is the largest population on the planet, it also has the largest number of gay people. According to a 2013 estimate, 1 in 6 men in China is gay, with China leading position in this selection of the 10 countries with the largest gay population in the world.
Super power wa makaratasiSuper pawer anayeshindwa kulinda mipaka ya nchi yake mwenyewe eti anawatishia nyau NATO [emoji1787]
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Hahahaaa msemaj wa klemlin umemaliza tunasubir kipigo kama ngomaHao watapigwa kama ngoma.
Uchumi upi wkt haeza hata fanya repair ya silaha alizowauzia wateja wake ?Uchumi na ushawishi wa Urusi umeongezeka duniani mara dufu
Unamuona Putin mjinga kujitetea yale mabaki ya mabomu yalipotua Poland , acha tudanganyane tu huku ila usiombe WEST wakuamlie jamboIla vinapatikana vifaa vya mmarekani huko........ Ramzan kadirov atajibu kwa mashambulizi ya kigaidi ulaya nzima itatikisika..... Mnawajua wa chechnya??? Hao ndo waliomuendesha mrusi hadi akawakubali akawaachia jimbo lao wajitawale ila ndani ya urusi........ Wagner wanapigana kwa style ya kijihadi mission iliobaki ni kuipiga ulaya kwa matukio ya kigaidi hapo sasa watakodiwa watu kutoka mashariki ya kati na kazi itaanzia uingereza
Kwahiyo ww unawajua Russia kuliko hao west waliomfanya auze wese kwa bei pungufu ili aendelee na vita yake ?Mrusi haya mambo kwake kawaida kabisa na anaweza kuyadhibiti shida ni pale moto wa hivi akiwapelekea ulaya watauweza???? Hakuna waasi waliomsumbua Putin kama wa Chechnya hadi wana kikosi chao special cha jeshi ndani ya urusi hao jamaa ni jihadi zaidi ya wagner....... Ramzan Kadyrov anacheki kwa mbaali,,, hawa waasi wa sasa ni wachumba tu na pia inaweza ikawa ni false flag..... Russia ni nchi ya wahuni wanaweza kufanya mambo usiyodhania ndo maana wanaitwa ni Anti Christ of the anti christ
Wale VDV nilikuwa najua wana mafunzo ya ziada kumbe ni kama regulars ila mbwembwe nyingi kuliko uhalisia. VDV ni airborne forces na ina special force hasa Spetnaz humohumo, walitua vizuri kwa kushtukiza pale Hostomel airport wakaja dhibitiwa baadae na ni kikosi kilichopoteza wanajeshi wengi hapo Ukraine.Ogopa sana kitu inabitwa war intelligence. Hapa CIA na mashirika yakijasusi ya ulaya yameiweka Urusi njia mbanda. Hii vita sasa ina anza kuww chungu kwa Urusi. Why kama hujuwi mwanzoni mwa hii vita last year. Urusi alituma a finest komando in Side Ukraine city. Wakateka uwanja wa ndege ila Mungu sii athumani karibia wote wale special unity waliuwawa na hawakufanikisha mission. Hili lilimuuna sana Putin. Akaja na njia mpya kuingizs mavufaru na silaha kwenye msururu mrefu asijuwe wenzake wanamsubiria afike katikati wamshushie mzigo. Unaambiwa Putin amepoteza vifaa vya mabilion ya Dola na uwenda Mali amepoteza vs alio nayo nikama anapumulia machine.
Kwahiyo hili group jipya nimpango wakuigawa Urusi. Kwahiyo itafika mahali Mrusi ataomba maeneo yake vs kwakurudisha maeneo ya mwenzake stay tune
Nikupe hii labda utabadiki fikra zakoOgopa sana kitu inabitwa war intelligence. Hapa CIA na mashirika yakijasusi ya ulaya yameiweka Urusi njia mbanda. Hii vita sasa ina anza kuww chungu kwa Urusi. Why kama hujuwi mwanzoni mwa hii vita last year. Urusi alituma a finest komando in Side Ukraine city. Wakateka uwanja wa ndege ila Mungu sii athumani karibia wote wale special unity waliuwawa na hawakufanikisha mission. Hili lilimuuna sana Putin. Akaja na njia mpya kuingizs mavufaru na silaha kwenye msururu mrefu asijuwe wenzake wanamsubiria afike katikati wamshushie mzigo. Unaambiwa Putin amepoteza vifaa vya mabilion ya Dola na uwenda Mali amepoteza vs alio nayo nikama anapumulia machine.
Kwahiyo hili group jipya nimpango wakuigawa Urusi. Kwahiyo itafika mahali Mrusi ataomba maeneo yake vs kwakurudisha maeneo ya mwenzake stay tune
Price ceiling imefail, labda kama unajitoa ufahamu.Hivi hujui kuwa mafuta yanaenda India..wanayachaka then yanarudi Europe.Sio India tu...hadi Saudia, UAE wananunua kwa wingi wese kutoka Urusi then wanauza Ulaya.Kwahiyo ww unawajua Russia kuliko hao west waliomfanya auze wese kwa bei pungufu ili aendelee na vita yake ?
Mmewamaliza wewe na nani?Tayari wengi tumeshawamaliza, wamebaki waasi wa hapa Jf tu.
Halafu wanakuja humu kutukana hovyo. Miafrika ni kama ipo cursed. Toa opportunity ya watu kuchagua kati ya China , Russia na US, utaona mijitu inavyokimbilia nafasi ya kwenda US, halafu hata baada ya kufika US ina login mitandaoni na kuendelea kuitukana US.Cha ajabu na kustua nyote ninyi dream zenu ni kufika US, UK, France Canada and western countries!! Mwafrika ni mnyama.
Africa Kusini na Brazil ndoa za mashoga zinaruhusiwa na Katiba za nchi zao.Sio kweli, pride month haifanyiki kwa nchi za BRICS, Ulaya Magharibi yote na Marekani na Canada ndio wamejaa mashoga wanaonuka vinyesi.
Akiwa nyuma yao hakika mambo yataenda sawia kabisa. Jamaa hanaga show mbovu huyu.Mkuu hawa sio waasi hawa ni ''Jeshi la askari watiifu'' wanataka nchi yao iondokane na udikteta uliokubuhu kwa bwana Putin na kusimamisha demokrasia ambayo itatoa haki kwa wote na Urusi kukomboka.
Na wala usiwe na wasiwasi bila shaka nyuma yao yuko mnyama anaitwa US
Hii vita itaenda kuwa chungu kwenye ardhi ya russia.Tuliwaambia Russia ni school boys watu hawakuelewa.
FSB walimpelekea taarifa Putin kuwa assessment yao inaonyesha Ukraine wanaipenda sana Russia na Russia wanaungwa mkono sana nchini Ukraine kiasi ambacho Russia wakituma majeshi watapokelewa kwa red carpet with two hands.
Putin akakubali kwa kuona if that's the case then, this will just be a Special Millitary Operation ya siku 3 tu, hakuona kabisa kuwa anaingia vitani.
Wakati yeye amejipanga hivyo, wenzake walikua wamejianfaa kwenda naye kwa hadi miaka 10. Sasa hapo mtapima wenyewe, anaingia na hesabu za siku tatu wakati wenzake wamejiandaa kumchezesha segele la miaka 10.
Kinachoenda kutokea ni kwamba, hali ya maisha inazidi kuwa duni na tete nchini Russia, wananchi taratibu wataanza kupoteza uoga wa kufa kipumbavu na kuamua to die for a reason. Kufikia hapo uasi unakua umeshajitengeneza.
Hilo eneo Belgorod ni Km 670 kutoka hapo hadi Russia mwendo wa masaa nane, wakati kutoka Belgorod hadi Ukraine bordee ni km 50.
View attachment 2645564View attachment 2645565
Hali ikiendelea hivyo kwa waasi kuji establih ndani ya Russia, basi Russia atakua na wakati mgumu kwani atalazimika kuanz kushambulia nchi yake mwenyewe kama ambavyo ameshaanza hivi sasa, na wananchi wa maeno yaliyokamatwa na waai watajiunga nap waasi kupigana dhidi ya majeshi ya serikali ambayo wakati wakijaribu kuzima uasi watakua walitumi nguvu zote na kikatili kiasi cha kupandikiza chuki kubwa dhidi ya wananchi.
Upepo wa uasi utakwenda kasi kiasi vijana wengi zaidi watajitokeza kutoka sehemu mbalimbali nchini Russia kwenda kujiunga na waasi. Mpaka japo Moscow itakua inahesabiwa mawiki kadhaa tu, wakati maeneo ya Siberia na Chenchinya na wao watainuka kutaka kujitengap na kuwa nchi huru.
Tuendelee kufuatilia kwa kapdili zinavyokuja
Haya ni mawazo yako au Urusi ndiyo imesema?Ila vinapatikana vifaa vya mmarekani huko........ Ramzan kadirov atajibu kwa mashambulizi ya kigaidi ulaya nzima itatikisika..... Mnawajua wa chechnya??? Hao ndo waliomuendesha mrusi hadi akawakubali akawaachia jimbo lao wajitawale ila ndani ya urusi........ Wagner wanapigana kwa style ya kijihadi mission iliobaki ni kuipiga ulaya kwa matukio ya kigaidi hapo sasa watakodiwa watu kutoka mashariki ya kati na kazi itaanzia uingereza
Nako kuna Pride month ?Africa Kusini na Brazil ndoa za mashoga zinaruhusiwa na Katiba za nchi zao.
Acha kuchukua habari za propaganda wewe.Mmewamaliza wewe na nani?
Wakati huko Belgorod mambo yamoto.
Mara ya kwanza ilipostiwa picha ya gari la kivita na wakasema hivihivi kwamba wameisha ajabu wakarudi tena