Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Nipo hapa Moscow sijawahi kuona shoga hata mmoja, ila wakati nikiwa New York nilikutana na vikundi maelfu vya mashoga.Una uhakika Russia hawapo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo hapa Moscow sijawahi kuona shoga hata mmoja, ila wakati nikiwa New York nilikutana na vikundi maelfu vya mashoga.Una uhakika Russia hawapo ?
Maneno kibao ila hakuna waasi walioisumbua urusi zaidi ya wachechnya na walitulizwa hawa wachumba tena wamesema raia wasirudi putin anaweza watandika makombora kama anapigana na nchi jirani wakati ni ndani ya ardhi yake,,, waulizeni wachechnya na makeke yote ila walitulia sema jamaa akawaheshimu akawaacha wawe na jeshi laoTuliwaambia Russia ni school boys watu hawakuelewa.
FSB walimpelekea taarifa Putin kuwa assessment yao inaonyesha Ukraine wanaipenda sana Russia na Russia wanaungwa mkono sana nchini Ukraine kiasi ambacho Russia wakituma majeshi watapokelewa kwa red carpet with two hands.
Putin akakubali kwa kuona if that's the case then, this will just be a Special Millitary Operation ya siku 3 tu, hakuona kabisa kuwa anaingia vitani.
Wakati yeye amejipanga hivyo, wenzake walikua wamejianfaa kwenda naye kwa hadi miaka 10. Sasa hapo mtapima wenyewe, anaingia na hesabu za siku tatu wakati wenzake wamejiandaa kumchezesha segele la miaka 10.
Kinachoenda kutokea ni kwamba, hali ya maisha inazidi kuwa duni na tete nchini Russia, wananchi taratibu wataanza kupoteza uoga wa kufa kipumbavu na kuamua to die for a reason. Kufikia hapo uasi unakua umeshajitengeneza.
Hilo eneo Belgorod ni Km 670 kutoka hapo hadi Russia mwendo wa masaa nane, wakati kutoka Belgorod hadi Ukraine bordee ni km 50.
View attachment 2645564View attachment 2645565
Hali ikiendelea hivyo kwa waasi kuji establih ndani ya Russia, basi Russia atakua na wakati mgumu kwani atalazimika kuanz kushambulia nchi yake mwenyewe kama ambavyo ameshaanza hivi sasa, na wananchi wa maeno yaliyokamatwa na waai watajiunga nap waasi kupigana dhidi ya majeshi ya serikali ambayo wakati wakijaribu kuzima uasi watakua walitumi nguvu zote na kikatili kiasi cha kupandikiza chuki kubwa dhidi ya wananchi.
Upepo wa uasi utakwenda kasi kiasi vijana wengi zaidi watajitokeza kutoka sehemu mbalimbali nchini Russia kwenda kujiunga na waasi. Mpaka japo Moscow itakua inahesabiwa mawiki kadhaa tu, wakati maeneo ya Siberia na Chenchinya na wao watainuka kutaka kujitengap na kuwa nchi huru.
Tuendelee kufuatilia kwa kapdili zinavyokuja
Nyie vibaraka acheni kuzuga tunawajua....... Dawa ipo jikoni tena hii ni harufu ya Zito kabweNipo hapa Moscow sijawahi kuona shoga hata mmoja, ila wakati nikiwa New York nilikutana na vikundi maelfu vya mashoga.
Tangu vita imeanza, uchumi wa Russia umezidi kukua wakati uchumi wa Marekani unazidi kupumulia mashine.Tuliwaambia Russia ni school boys watu hawakuelewa.
FSB walimpelekea taarifa Putin kuwa assessment yao inaonyesha Ukraine wanaipenda sana Russia na Russia wanaungwa mkono sana nchini Ukraine kiasi ambacho Russia wakituma majeshi watapokelewa kwa red carpet with two hands.
Putin akakubali kwa kuona if that's the case then, this will just be a Special Millitary Operation ya siku 3 tu, hakuona kabisa kuwa anaingia vitani.
Wakati yeye amejipanga hivyo, wenzake walikua wamejianfaa kwenda naye kwa hadi miaka 10. Sasa hapo mtapima wenyewe, anaingia na hesabu za siku tatu wakati wenzake wamejiandaa kumchezesha segele la miaka 10.
Kinachoenda kutokea ni kwamba, hali ya maisha inazidi kuwa duni na tete nchini Russia, wananchi taratibu wataanza kupoteza uoga wa kufa kipumbavu na kuamua to die for a reason. Kufikia hapo uasi unakua umeshajitengeneza.
Hilo eneo Belgorod ni Km 670 kutoka hapo hadi Russia mwendo wa masaa nane, wakati kutoka Belgorod hadi Ukraine bordee ni km 50.
View attachment 2645564View attachment 2645565
Hali ikiendelea hivyo kwa waasi kuji establih ndani ya Russia, basi Russia atakua na wakati mgumu kwani atalazimika kuanz kushambulia nchi yake mwenyewe kama ambavyo ameshaanza hivi sasa, na wananchi wa maeno yaliyokamatwa na waai watajiunga nap waasi kupigana dhidi ya majeshi ya serikali ambayo wakati wakijaribu kuzima uasi watakua walitumi nguvu zote na kikatili kiasi cha kupandikiza chuki kubwa dhidi ya wananchi.
Upepo wa uasi utakwenda kasi kiasi vijana wengi zaidi watajitokeza kutoka sehemu mbalimbali nchini Russia kwenda kujiunga na waasi. Mpaka japo Moscow itakua inahesabiwa mawiki kadhaa tu, wakati maeneo ya Siberia na Chenchinya na wao watainuka kutaka kujitengap na kuwa nchi huru.
Tuendelee kufuatilia kwa kapdili zinavyokuja
Kuna waasi wengine wamekimbilia Tanganyika, Putin aje atandike na huku.Mtaona uwezo wa putin [emoji635][emoji1218] jinsi atavyoshughulia na hawa m-bwa , Ata wa eliminate within few days
Wow!Tangu vita imeanza, uchumi wa Russia umezidi kukua wakati uchumi wa Marekani unazidi kupumulia mashine.
Kuna waasi wengine wamekimbilia Tanganyika, Putin aje atandike na huku.
Watamalizwa wooòteHaw wa J/f huku
Wapo ambon Tanga na buza pale bila kusahau kinondon B
Sharing is caring mkuu.Wow!
Sikua najua hili, ndiyo umenitonya hapa, shukrani sana mkuu. Tukipata watu 7 kama wewe hapa JF ambao wala hamna uchoyo wa taarifa itakua poa sana.
Kivipi?Uchumi na ushawishi wa Urusi umeongezeka duniani mara dufu
BRICS yote imejaa ushogaMrusi kapitia makubwa zaidi ya hayo ndo maana hapelekeshwi sio nchi ya mashoga hio..... Kule ni kwa wahuni aka ma Oligarch
KiuchumiKivipi?
Sio kweli, pride month haifanyiki kwa nchi za BRICS, Ulaya Magharibi yote na Marekani na Canada ndio wamejaa mashoga wanaonuka vinyesi.BRICS yote imejaa ushoga
Wewe ni shoga nini mbona unapenda sana kutajataja mashogaMrusi kapitia makubwa zaidi ya hayo ndo maana hapelekeshwi sio nchi ya mashoga hio..... Kule ni kwa wahuni aka ma Oligarch
Safari hii hatoki kaingia cha kike mwenyewe, US walimtega sasa kaingia kwenye 18 anasulubiwa vigorouslyMrusi kapitia makubwa zaidi ya hayo ndo maana hapelekeshwi sio nchi ya mashoga hio..... Kule ni kwa wahuni aka ma Oligarch
Huyo dogo sio riziki, kuwa naye makini.Wewe ni shoga nini mbona unapenda sana kutajataja mashoga
Sio kweli, pride month haifanyiki kwa nchi za BRICS, Ulaya Magharibi yote na Marekani na Canada ndio wamejaa mashoga wanaonuka vinyesi.
Pride month still remains to be a thing of the Western demonic world.10. U.K.
The UK is considered as one of the most liberal countries in the world. Gay marriages are allowed in the country, and an estimated one in 20 men are gay.
9. TAIWAN
An Asian country known for its diverse culture and beautiful tourist attractions, it also has a large gay population. And 1 in every 18 men in the country is homosexual, Taiwan being ninth in this selection of the 10 countries with the largest gay population in the world.
8. PHILIPPINES
This beautiful country is also one of the friendliest when it comes to its homosexual population. In the last decade, the gay population of the Philippines really shot up. Experts are not sure about this growth, but it is estimated that there are more than 804,000 gay men in the country. In other words, 1 in 16 men is gay.
7. INDIA
The largest democratic country in the world also stands out here. Despite being a secular country, gay culture is really becoming a norm here, 1 out of every 14 men in India is gay.
6. U.S.
The United States is also one of the friendliest countries when it comes to embracing homosexual culture. Its gay population now totals 5 million, which means 1 in 12 men in the United States being homosexual.
5. FRANCE
France is probably the least tolerant country of gay culture in the selection, but it has numbers that are surprising. According to estimates, 1 out of every 10 men in France is gay, with France ranking fifth in the 10 countries with the largest gay population in the world.
4. CANADA
The coolest country in the selection is also the coolest when it comes to respecting people from every corner of the world, with different cultures and tastes. The country has 1 in 9 men, gay.
3. ITALY
The pizza country also has one of the largest populations of gays in the world, being third in this selection of the 10 countries with the largest gay population in the world. According to an estimate of 2014, there are more than 5 million gay men in Italy, which means that 1 in 8 men is gay. An impressive proportion.
2. NETHERLANDS
The Netherlands is not far behind Italy, with 1 in 7 men being gay in the country. It is also one of the most friendly countries of sexual diversity in Europe. Same-sex marriages have been legal in the country for years, and the gay population in Holland hardly have to face any biased remarks or comments.
1. CHINA
For some, this could come as a surprise, as China is not known as a country that supports or promotes issues such as gay, lesbian or bisexual, but since it is the largest population on the planet, it also has the largest number of gay people. According to a 2013 estimate, 1 in 6 men in China is gay, with China leading position in this selection of the 10 countries with the largest gay population in the world.
Mrusi hao wote wachumba kwake kuna battle na kuna war.....Safari hii hatoki kaingia cha kike mwenyewe, US walimtega sasa kaingia kwenye 18 anasulubiwa vigorously