VIdeo: Wabunge wa Marekani waandamana hadi mbele ya jengo la USAID wakitaka misaada irudishwe haraka, wataka Elon adhibitiwe!

Ok

Hiii in Kamala's Harris voice

Hahahaha mhhrr in Kamala's laughter
 
Wal
Tayari zimeshafungwa, wafanyakazi wapo majumbani sasa
Walikuwa wanatudinyia madem zetu sasa zam Yao. Sisi laki mbili zetu bado zipo palepale. Na kibaya zaidi haya mashirika hayana mpango wa kumuwekea mtu akiba za kustaafu wanakupa kila kitu utajua mwenyewe huko. Tujiandae kununua mali zao kwa bei ya kutupwa kwa wale ambao walijisahau
 
😁😁😁😁, taratibu mkuu.. Waliowengi wamejiunga na grade ya Taifa.. Kula kwa umakini sana
 
Trump na Elon inaelekea wameshindilia Chumvi nyingi kwenye Kidonda...Mafisadi hawaamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…