Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Ok
Hiii in Kamala's Harris voice
Hahahaha mhhrr in Kamala's laughter
Hiii in Kamala's Harris voice
Hahahaha mhhrr in Kamala's laughter
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandamano ni sehemu ya demokrasia kwa huko ni kawaidaSijui wameruhusiwa na nani kuandamana, au huko hakuna FFU iwamwagie maji ya kuwasha?
Walikuwa wanatudinyia madem zetu sasa zam Yao. Sisi laki mbili zetu bado zipo palepale. Na kibaya zaidi haya mashirika hayana mpango wa kumuwekea mtu akiba za kustaafu wanakupa kila kitu utajua mwenyewe huko. Tujiandae kununua mali zao kwa bei ya kutupwa kwa wale ambao walijisahauTayari zimeshafungwa, wafanyakazi wapo majumbani sasa
😁😁😁😁, taratibu mkuu.. Waliowengi wamejiunga na grade ya Taifa.. Kula kwa umakini sanaWal
Walikuwa wanatudinyia madem zetu sasa zam Yao. Sisi laki mbili zetu bado zipo palepale. Na kibaya zaidi haya mashirika hayana mpango wa kumuwekea mtu akiba za kustaafu wanakupa kila kitu utajua mwenyewe huko. Tujiandae kununua mali zao kwa bei ya kutupwa kwa wale ambao walijisahau
Hii kweli au editing?
Trump na Elon inaelekea wameshindilia Chumvi nyingi kwenye Kidonda...Mafisadi hawaaminiWakuu,
Huko nchini Marekani, viongozi na baadhi ya wabunge wameandamana nje ya jengo la USAID wakitaka shirika hilo lirudishwe na misaada irudi haraka sana.
Jamii Raskin ambaye ni mbunge kutoka jimbo la Maryland aliongozana na wabunge wengine wakitaka shirika hilo LIRUDISHWE na Elon Musk asijihusishe na shughuli zozote za kiserikali.
"Elon Musk hukuitengeneza USAID, Marekani kupitia bunge ilifanya hivyo kwa ajili ya Wamarekani. Hana nguvu ya kuiharibu (USAID) na nani ataenda kumdhibiti (Elon)? Ni sisi hapa. Hatuna mhimili wa nne wa serikali unaoitwa Elon Musk"
===================
Elon Musk sio mbunge wala hajachaguliwa na wananchi wa Marekani kwanini Trump anampa mamlaka makubwa sana na hajachaguliwa wala kupitishwa na bunge?