Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 2,933
- 8,112
Ndio maana trump anazuia kila kitu ili afanye uchunguzi wa kina.Kumbe!
Chaka lingine la kutakatishia hela lilikua vita ya Ukraine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana trump anazuia kila kitu ili afanye uchunguzi wa kina.Kumbe!
Rubisi na kimpumu bila kusahau gongoHivi kumbe? Tunazalisha kitu gani sasa ?
Made in tanzania. Bora nivae ramboHivi Tanzania tunazalisha condoms kweli? Achana na ARVs
Tupo vizuri toka miaka ya 90 watu wanajisahaulisha🐼Tanzania dawa limited inatengeza, salama condom.
Wao ndio wanufaika yaani ni kama ukiwa unafukuzia demu ukampa vizawadi vya hapa na pale au misaada midogo midogo, yeye anakuwa anaona anafaidi ila mnufaika wa kweli anajulikana baada ya muda analiwa😃Sisi hatutaki sasa hiyo misaada yao, hawa wabunge vipi? Kwani tutakaoumia si sisi?!! Hapa ndio ujue kwamba hiyo sio misaada, bali ni rushwa kwa ajili ya kuinfluence maslahi yao na kupromote agenda zao…
Mbunge anasema “ it was created for the American people..”, kwani hiyo misaada wanajipa wenyewe?
Hao ni wasambazaji na sio watengenezajiTupo vizuri toka miaka ya 90 watu wanajisahaulisha🐼
View attachment 3225061
Impact ni kubwa kumbehakika maana wengi kwasasa wapo majumbani na hawajui hatima yao
Mashirika yote hata ya Wamarekani wenyewe kama fhi360, jhpiegho and the like wako home! Ila nimesikia kama wale wanaofadhiliwa na PEPFAR watarudi mzigo muda si mrefu!Niliwaza hii ishu, kumbe tiari
Leftwingers hao, lazima waandamaniWakuu,
Huko nchini Marekani, viongozi na baadhi ya wabunge wameandamana nje ya jengo la USAID wakitaka shirika hilo lirudishwe na misaada irudi haraka sana.
Jamii Raskin ambaye ni mbunge kutoka jimbo la Maryland aliongozana na wabunge wengine wakitaka shirika hilo LIRUDISHWE na Elon Musk asijihusishe na shughuli zozote za kiserikali.
"Elon Musk hukuitengeneza USAID, Marekani kupitia bunge ilifanya hivyo kwa ajili ya Wamarekani. Hana nguvu ya kuiharibu (USAID) na nani ataenda kumdhibiti (Elon)? Ni sisi hapa. Hatuna mhimili wa nne wa serikali unaoitwa Elon Musk"
===================
Elon Musk sio mbunge wala hajachaguliwa na wananchi wa Marekani kwanini Trump anampa mamlaka makubwa sana na hajachaguliwa wala kupitishwa na bunge?
Ipp tu walikua wanatengenezaHivi Tanzania tunazalisha condoms kweli? Achana na ARVs
hahahahaaa labda za KukuIpp tu walikua wanatengeneza
AtariiMashirika yote hata ya Wamarekani wenyewe kama fhi360, jhpiegho and the like wako home! Ila nimesikia kama wale wanaofadhiliwa na PEPFAR watarudi mzigo muda si mrefu!
Labda ulikua bado hujaanza kudinda..hahahahaaa labda za Kuku
Ndio mkuu ni vilio tuImpact ni kubwa kumbe
Trump ni mojawapo ya fisadi mkubwa,Mwenyezi-Mungu ambariki Elon Musk pamoja na Donald Trump wayadhibiti mafisadi yote ya U.S.A
In faida kubwa sana kwa USA inaeneza soft power,ushawishi, matakwa yao, brand ya USA kwamba ni taifa jema, lenye kuitakia mema dunia.USAID ina faida gani kwa wamarekani? Kwamba wanatuonea huruma sisi wa-Africa au ni vipi.
Trump ashikilie hapo hapo
Wafanyakazi wale waliojiona miungu watu pale jhpiego na wenzake walikua nyanda za juu kusini na mdfp A hahaaa bora alienda kufanya kaz ya serikali chikola nurse hahaaa kama nawaona dah haya mashirika walijaaa kikabila na ki udini sisahau wakti na tafta kazi sijui vile vye diploma pale MDH haaaa walijiona wamefikaa kwa sabb wanagawa uroda kwa mabosiTayari zimeshafungwa, wafanyakazi wapo majumbani sasa