Patriot missile
JF-Expert Member
- Jun 16, 2024
- 280
- 423
Aisee huyu kijana kaongea point TUPUHuenda Mbowe karogwa.
Badili hii heading===
Haya maneno ya huyu kijana natamani wajumbe wote wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA wayasikie hata kama hawana smartphone wapelekeeni wasikilize.
View attachment 3204030
Huu ndio ukweli Mwamba anapaswa kupumzika JJM ameshawapiga KO kuhusu join the chain ya tuhuma za Njewe amabae dhahiri shairi ndie anaekivuruga chama na inaonekana Ana baraka zote za Mwamba===
Haya maneno ya huyu kijana natamani wajumbe wote wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA wayasikie hata kama hawana smartphone wapelekeeni wasikilize.
View attachment 3204030
MtauanaMbooe kaa pembeni huyu mganga wako yeriko anakuingiza cha kike
Hapana Iko nzuri tuBadili hii heading
We jamaa mi nikajuaga na wewe una akili kumbe mzoga kabisaWajinga kama hawa ndio wanashinda bar wanakunywa konyagi siku ya kupiga kura...
CDM haiogopeki na watawala, CDM ni chama cha siasa sio kikundi cha waasi..
Hii lafudhi ni ya kitanzania kweli? Au kule kwenye M23
Hamtaki kuambiwa ukweliWajinga kama hawa ndio wanashinda bar wanakunywa konyagi siku ya kupiga kura...
CDM haiogopeki na watawala, CDM ni chama cha siasa sio kikundi cha waasi..
Hii lafudhi ni ya kitanzania kweli? Au kule kwenye M23
Huyo bwege ni nyumbuWe jamaa mi nikajuaga na wewe una akili kumbe mzoga kabisa
===
Haya maneno ya huyu kijana natamani wajumbe wote wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA wayasikie hata kama hawana smartphone wapelekeeni wasikilize.
View attachment 3204030