Hujitambui we mdada, rudi kwa mumeo tuWajinga kama hawa ndio wanashinda bar wanakunywa konyagi siku ya kupiga kura...
CDM haiogopeki na watawala, CDM ni chama cha siasa sio kikundi cha waasi..
Hii lafudhi ni ya kitanzania kweli? Au kule kwenye M23
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujitambui we mdada, rudi kwa mumeo tuWajinga kama hawa ndio wanashinda bar wanakunywa konyagi siku ya kupiga kura...
CDM haiogopeki na watawala, CDM ni chama cha siasa sio kikundi cha waasi..
Hii lafudhi ni ya kitanzania kweli? Au kule kwenye M23
Unaota ndoto za mchana
Kuhani mkuu husema ukweli. Ubwege wake uko wapi ?Huyo bwege ni nyumbu
Sikiliza hiyo video halafu soma comment ya huyo utaelewa.Kuhani mkuu husema ukweli. Ubwege wake uko wapi ?
Huyu jamaa hapaswi kuwa raia wa kawaida angetakiwa kuwa Mbunge au Kiongozi muhimu katika Taifa. Ila bahati mbaya Tanzania inawapenda wajinga wajinga wanaosifu na kulamba viatu.===
Haya maneno ya huyu kijana natamani wajumbe wote wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA wayasikie hata kama hawana smartphone wapelekeeni wasikilize.
View attachment 3204030
Huyu jamaa anaongea facts tupu, unaweza ukadhani labda huyu jamaa ni AI.===
Haya maneno ya huyu kijana natamani wajumbe wote wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA wayasikie hata kama hawana smartphone wapelekeeni wasikilize.
View attachment 3204030
Huyu bwana ni nani na anapatikana wapi , huyu atatufaa sana kwenye kazi anajua kuongea kwa kiwango chajuu sana ,kila memo linalo mtoka limebeba ujumbe mzito sanaAma kweli huyu jamaa kamwaga mapointi mpk yametapakaa. Apewe Jimbo huyu.
Mbowe must go!
Yani namna qnavyo ongea nimeshindwa hata kukatisha kumsikiliza wacha bando liisheHuyu jamaa anaongea facts tupu, unaweza ukadhani labda huyu jamaa ni AI.
Anajieleza yupo Kigoma. Labda dagaa wanakuza ubongoHuyu bwana ni nani na anapatikana wapi , huyu atatufaa sana kwenye kazi anajua kuongea kwa kiwango chajuu sana ,kila memo linalo mtoka limebeba ujumbe mzito sana
Daaah !!!Bei Facebook anmelden
Melde dich bei Facebook an, um dich mit deinen Freunden, deiner Familie und Personen, die du kennst, zu verbinden und Inhalte zu teilen.www.facebook.com
Hajielewi kabisa upinzani wa kisiasa ni kuyofautiana sera sio kununiana kutoshirikiana mambo ya kijamii kama kuchangianaHuyu bwana ni nani na anapatikana wapi , huyu atatufaa sana kwenye kazi anajua kuongea kwa kiwango chajuu sana ,kila memo linalo mtoka limebeba ujumbe mzito sana
Umekunywa mkojo wako kama breakfast leoHajielewi kabisa upinzani wa kisiasa ni kuyofautiana sera sio kununiana kutoshirikiana mambo ya kijamii kama kuchangiana
Hayo anayoongea hata huko ulaya na marekani vyama vya upinzani vilikoanzia hayapo
Unakuta Trum p.na Biden wanacheka majukwaani tu ndipo wanatofautiana sera
Sasa huyo kichwa maji ambaye kichwani hazimo kwa uelewa wake upinzani wa kisiasa ni kitu cha mapambano ya kimwili hakuna kuchekeana hata nje ya siasa wala kushirikiana maswala ya kijamii
Mjinga tena aliyepitiliza
Mjumbe atakayemtilia maanani na yeye kichwani zitakuwa hazimo na hajui kabisa maana ya upinzani ni nini
Lisu pia kichwa chake kiko kama cha huyo huyo
hii point kaipitisha chap ila kuna kitu kweli juu ya kile kibatariNimechukua point moja
"... utafikiri ni mwenge, mwenge ni tambiko linaharibu akili za watu..."
===
Haya maneno ya huyu kijana natamani wajumbe wote wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA wayasikie hata kama hawana smartphone wapelekeeni wasikilize.
View attachment 3204030
Tofautisha ulaya,marekani na hizi nchi zetu za uswekeni usijitoe ufahamu. Unashirikiana Nini na mtu anae kukandamiza na kukunyanyasa Kila siku? Unashirikiana Nini na watu wanaokupora uchaguzi Kila mwaka? That's why tunasema mbowe kashakuwa kirusi maana kwa mazingira ya sasa CCM inachokifanya ktk nchi hii hawakupaswa kuwa na mshirika hata mmoja, walipaswa kutengwa.Hajielewi kabisa upinzani wa kisiasa ni kuyofautiana sera sio kununiana kutoshirikiana mambo ya kijamii kama kuchangiana
Hayo anayoongea hata huko ulaya na marekani vyama vya upinzani vilikoanzia hayapo
Unakuta Trum p.na Biden wanacheka majukwaani tu ndipo wanatofautiana sera
Sasa huyo kichwa maji ambaye kichwani hazimo kwa uelewa wake upinzani wa kisiasa ni kitu cha mapambano ya kimwili hakuna kuchekeana hata nje ya siasa wala kushirikiana maswala ya kijamii
Mjinga tena aliyepitiliza
Mjumbe atakayemtilia maanani na yeye kichwani zitakuwa hazimo na hajui kabisa maana ya upinzani ni nini
Lisu pia kichwa chake kiko kama cha huyo huyo
===
Haya maneno ya huyu kijana natamani wajumbe wote wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA wayasikie hata kama hawana smartphone wapelekeeni wasikilize.
View attachment 3204030