Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
-
- #61
Tatizo kuu ni Wamasai kuondolewa katika eneo kwa lengo la kumpa mwarabu wa kampuni ya OBC aliyehonga watawala wetu toka enzi za mzee Ruksa ili apatiwe eneo hiloKama Mkoloni aliwaondoa Serengeti na kuwaleta Loliondo kwa nini unai question Serikali kuwaondoa Ngorongoro na kwenda Serengeti? Au una mawazo ya KITUMWA (Slavery mentality)
SSH ni kiongozi makini sana. Huwa anaichukua ile mifupa inayowashinda viongozi wanaomtangulia halafu anaitafuna kwa umahiri wa hali ya juu.Wamasai lazima wahame Ngorongoro. Tufike mahali tutofautishe binadamu na wanyama. Ukweli ni kwamba Ole Sendeka ndiye KUWADI wa wafanyabiashara wa Kenya wanaofugia ng'ombe zao ndani ya Ngorongoro. Maelfu ya ng'ombe waliopo pale siyo ya Wamasai wa Tanzania bali Wamasai wa Tanzania ni vijakazi tu wanaolipwa ujira.
Hiyo Sheria inawanufaisha wakenya na siyo watanzania
Wote ni binadamu,ni nani anaweza kutoa fursa kwa wengi?Kwahiyo ni bora hiyo ardhi yenu aitumie mwarabu kuliko Mkenya?
Kwa wasioelewa mgogoro huko Ngorongoro na Loliondo.
Ni hivi , Huko Loliondo ndio kuna mwarabu(OBC) anayetaka ardhi ya wananchi, nguvu na ubabe unatumika kuwaondoa watake wasitake.
Eneo la Kilometa za mraba 1500 huko Loliondo ni eneo ambalo yule mwarabu wa OBC analitaka , na ndio figisufigisu zote hizi za kufukuza wananchi ili kumpa huyu mwarabu eneo afanye anavyotaka. Huyu mwarabu ndio Kigwangwallah alipokuwa waziri alisema alitaka kumhonga dola laki moja akakataa
Na kuhusu Ngorongoro, huko ndio wamasai wamejengewa nyumba chache Handeni ili kuwahadaa watanzania kuwa serikali inawajali wamasai kumbe bosheni. Vijumba visivyofika 1000 vingewatoshaje wamasai Laki moja?
Baadhi ya video za wananchi wakiondoka kwenye eneo wanalotaka kumpa mwarabu wa OBC hizi hapa:
View attachment 2273617
View attachment 2273618
View attachment 2273651
Wewe uliusifia sana huu utawala Sasa kwanini umegeuka mkosoaji ?Tunajua mmesambazwa mitandaoni kutetea udhalimu dhidi ya wananchi kwa ajili ya manufaa ya mwarabu aliyenunua watawala ili apewe Loliondo!
Mimi siyo blind follower, wakikosea nawaambia ukweliWewe uliusifia sana huu utawala Sasa kwanini umegeuka mkosoaji ?
SSH ni kiongozi makini sana. Huwa anaichukua ile mifupa inayowashinda viongozi wanaomtangulia halafu anaitafuna kwa umahiri wa hali ya juu.
Ni sawa na lile suala la kuhamisha wamachinga mitaani, likaonekana ni gumu sana lakini namna lilivyoshughulikiwa mpaka sasa hivi kumetulia kabisa.
Huu ndio uongozi unaotakiwa, akili na nguvu vinakuwa na uwiano ulio sawa.
Allegations za kumpa OBC hazina ulweli ni maneno ya kuwatia ndimu wananchiTatizo kuu ni Wamasai kuondolewa katika eneo kwa lengo la kumpa mwarabu wa kampuni ya OBC aliyehonga watawala wetu toka enzi za mzee Ruksa ili apatiwe eneo hilo
Wamasai walipoondolewa Serengeti waliridhia na serengeti haikupewa mtu binafsi. Ila huko Loliondo watawala wanataka kumpa eneo hilo mwana wa mfame wa UAE afanye uwindaji.
Mwarabu hajapewa hizo 1,500 km bali ana kitalu ambacho ana kodisha na kulipa ushuru toka mwaka 1992.Je ni kweli kuwa hizo kilomita za mraba 1500 ndizo anazopewa huyo mwarabu? mbona hilo hulisemei? Je hulisemei kwa bahati mbaya au