Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
- #61
Tatizo kuu ni Wamasai kuondolewa katika eneo kwa lengo la kumpa mwarabu wa kampuni ya OBC aliyehonga watawala wetu toka enzi za mzee Ruksa ili apatiwe eneo hiloKama Mkoloni aliwaondoa Serengeti na kuwaleta Loliondo kwa nini unai question Serikali kuwaondoa Ngorongoro na kwenda Serengeti? Au una mawazo ya KITUMWA (Slavery mentality)
Wamasai walipoondolewa Serengeti waliridhia na serengeti haikupewa mtu binafsi. Ila huko Loliondo watawala wanataka kumpa eneo hilo mwana wa mfame wa UAE afanye uwindaji.