Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninachoona ni mlinzi mmoja alitaka kujimwambafy, akapigwa. Sasa matokeo y kijimbwafy unaweza kupiga au kupigwa. Case closed. Next?Hili tukio limetokea jana, ambapo Wamasai wamepigana na Walinzi na kujeruhi.
Nini kifanyike kuepusha matukio kama haya kwenye jamii yetu?
Written by Mjanja M1 ✍️
Hii Kitu nimeenza kuiona Sio Ishu ya Domestic tena ukiangalia kwa jicho la kiinteligensia utagundua mambo machache..Hili tukio limetokea jana, ambapo Wamasai wamepigana na Walinzi na kujeruhi.
View attachment 2896725
Nini kifanyike kuepusha matukio kama haya kwenye jamii yetu?
Written by Mjanja M1 ✍️
Huu muungano uvunjike tu, maana unawabeba wazanzibar peke yao sio watanganyikaHii Kitu nimeenza kuiona Sio Ishu ya Domestic tena ukiangalia kwa jicho la kiinteligensia utagundua mambo machache..
Kwanini Hii kitu itokee sasa?
Wakati sheria ya Kuzuia silaha ni ya Muda Mrefu?
Kwanini wamasai Ghafla wamekuwa A bit more Causative wa Violence?
Kwanini wanaopigwa Ni walinzi au Askari?
Kwanini hawapigani wao kwa wao?
Kuna kitu nakihisi si kizuri kinafanyika kwa Ajili ya Muungano..
Kuna kitu kinatengenezwa sio kizuri Nikisema maneno kama SOWING DISCORD au FOMENTING DISCORD.. Kwa waliosoma Diplomasy au Political Science...Watanielewa Zaidi..
Hii ni conflict ya kutengeneza Ili baadaye iwe kubwa na ilete Hisia baina ya Watanganyika na Wazanzibar Mwisho wa siku Tuharibu Muungano..
Kuna kiti kinasukwa matokeo yake yanaweza yasionekane sasa hivi ila Trust me Yatakuwa makubwa sana..
Wanaweza Wakafukuza wamasai wote kwa kufanya Resolution (Cause and effects)..
Lakini inasikitisha sana kufanya sowing kwa kutumia Watu wenye Roho zao.bila kujali kama watapoteza Roho zao..
Kuna Ajenda kubwa sana "A sowing Discord" Imatengenezwa
wala urojo vs wanaoua simba ndo wapewe mke!!!!,,,wamasai wamechoka sana kuonewa,mara wafukuzwe loliondo,mara wananyang'anywe mfifugo mara wakatazwe kutembea na sime!!!,wazanzibar wanawachukia kwa sababu madem wa kizungu wanapenda kudeti na wamasai kwa sababu wana nguvu za kiume kuliko wala urojo!!Hili tukio limetokea jana, ambapo Wamasai wamepigana na Walinzi na kujeruhi.
View attachment 2896725
Nini kifanyike kuepusha matukio kama haya kwenye jamii yetu?
Written by Mjanja M1 ✍️
Wana Vitu vingi sana wanavyitusaidia Sema Kuvisema hadharani ni kuhatarisha usalama wa Nchi yetu"Huu muungano uvunjike tu,maana unawabeba wazanzibar peke yao sio watanganyika
Kwakuwa hauko zanzibar hauwezi kuelewa kinachotekea kati ya wamasai na walinzi wa mahoteli, wamasai wamekuwa wanagasi sana wageni, siyo kila mgeni anataka kununua shanga, lakini masai wakielezwa hawaelewi kwa kila kilichowekwa na sheria ya utalii zanzibar kwamba beach ama fukwe ni maeneo ya watu wote. Hii ni changamoto sana na kupitia haya matukio nadhani kuna cha kujifunza hapa.Hao viongozi wa Zanzibar waendelee kupandikiza chuki watapata wasichokitarajia