Ungeharibu kujikita kwenye hoja yangu ungetoka na kitu, mimi napingana na sheria nzima ya beach ni public, unajua gharama kumconvice mgeni mpaka afanye booking na hoteli yako, alafu akishafika wanajitokeza wapuuzi Wachache wanaojiita Beach boy na kuanza kuwaghasi wageni, mgeni anakuplain kwa uongozi wa hotel, hotel itawaeleza walinzi wake kuhahakikisha wageni hawasumbuliwi. Wajibu wa mlinzi nikumweleza masai asiwaghasi wageni, masai haelewi, mlinzi afanye nini? Lakini wakifika TP masai huondoka. Wageni wananunua fukwe na si kitanda wala chakula