Video: Wamasai wazichapa tena na Walinzi (Wajeruhi)

Video: Wamasai wazichapa tena na Walinzi (Wajeruhi)

Na hii ndo ishu inayoleta ugomvi, ila mjinga mmoja analeta Uzi kwa kusema shida ni uzanzibar na ubara,
Mimi ni si mshirazi, mmakunduchi wala mbwejuu, ni bara hasaa lakini sitaki kutetea huu upuuzi wanaofanya wamasai kwa sasa. Na muda si mrefu watapoteza hata hicho kidogo wanachokipata, pato la znz linategemea utalii, utalii znz ni fukwe. Kama wameondolewa Ngorongoro na Loliondo itashindikana znz ambako namba yao hata mia mbili haifiki? WAACHE ujinga na mafimbo yao, waheshimu jitihada wanazofanya wawekezaji kuleta wageni znz
 
wala urojo vs wanaoua simba ndo wapewe mke!!!!,,,wamasai wamechoka sana kuonewa,mara wafukuzwe loliondo,mara wananyang'anywe mfifugo mara wakatazwe kutembea na sime!!!,wazanzibar wanawachukia kwa sababu madem wa kizungu wanapenda kudeti na wamasai kwa sababu wana nguvu za kiume kuliko wala urojo!!
Nenda kategeshe masega yako kwanza ili uje na ushahidi kamili.
 
Ahahah..leo nimeongea kitu nikajikuta nawachekesha watu bila kukusudia.

Kama saa 3 hiv asubuh nimetoka zangu ofisn nifike kwa wateja kimara niko kitua cha mwendokasi city council pale. Sasa wakat wa kuingia kwenye gari za mbezi, mfanyakaz wa UDART akawa anawazuia wamasai kwakua hawakupanga foleni.

Sasa hakua gentle, kidogo alikua arrogant, nikajikuta nimeongea kwa sauti kidogo kwamba " we jamaa angalia usitumie nguvu , waelekeze kwa upole wasije wakatulamba viboko humu ndani kama Zanzibar" 😂😂 watu japo walicheka ila ilika kwa uoga uoga wakaona sije ikawa varangati
 
Ngoja bhasi nikutajie
  1. Wamasai walitofautiana na Askari walikuwa kwenye Gari na kuchapa fimbo Derva wa gari la askari
  2. Wamasai walitofautiana Na kuwapiga askari na walinzi wa forodhani kipindi wanataka kutoroka baada ya Kupatikana na kesi hapo juu
  3. Wamasai walishambulia Walinzi baada ya kutaka wasitumie silaha kuzibeba
  4. Wamasai leo kwa video hapo Juu wamecharza mlinzi
  5. Wamasai walirepotiwa kuwatandika mikwaju polisi baada ya kumkamata mwenzao kwa makosa ya kufanya fujo..
MKuu Ndo kwamba siku hizi watu hawaoni?
Hakuna mahali popote nimesema Tanzania sio Nzhi ya amani..
Nilichosema kuna Viasharia vya Kuharibu amani....

You dont Listen mkuu, You just follow..
Bhasi nakusisitixa hebu soma nachoandika bila kuweka hisia zako..
Uunachofanya sasa ni uchawa maana chawa hatumui akili..
Try using your brain and think
Hakuna uchawa wabongo mkibanwa kwenye hoja mnakimbilia uchawa upi!!??
Ulitaja kesi 7 hapa umeweka tano. Jitahidi kuzingatia hesabu na kuwa mkweli
Jiepushe kukuza mambo. Inchi ya watu milioni 60 mgombano huo ni mdogo sana
 
Hakuna uchawa wabongo mkibanwa kwenye hoja mnakimbilia uchawa upi!!??
Ulitaja kesi 7 hapa umeweka tano. Jitahidi kuzingatia hesabu na kuwa mkweli
Jiepushe kukuza mambo. Inchi ya watu milioni 60 mgombano huo ni mdogo sana
Unajua maana ya sampling?
Zipo kesi nyingi na nimetaja chache tu mkuu
Hakuna Jambo lililokuzwa ila nimeliongea kwa upande wa Diplomacy,Political Science and Intelligence pattern kama hujui kuhusu hivyo nafikiri Ni bora kukaa kimya Unajua kuhusu minority SWOD discord..?
Au Fomenting Discord..?

Au Unafiki SWOD discord na Fomenting ni large scale violence?
Mkuu jifunze kukaa kimya hasa kwenye vitu usivyokuwa na elimu navyo

SI kila kitu ukichangie kitu kama huna elimu nacho ni bora kukaa kimya wala hautaonekana Mjinga
 
Hakuna uchawa wabongo mkibanwa kwenye hoja mnakimbilia uchawa upi!!??
Ulitaja kesi 7 hapa umeweka tano. Jitahidi kuzingatia hesabu na kuwa mkweli
Jiepushe kukuza mambo. Inchi ya watu milioni 60 mgombano huo ni mdogo sana
Sasa umebana hoja gani 🤣🤣
 
Ahahah..leo nimeongea kitu nikajikuta nawachekesha watu bila kukusudia.

Kama saa 3 hiv asubuh nimetoka zangu ofisn nifike kwa wateja kimara niko kitua cha mwendokasi city council pale. Sasa wakat wa kuingia kwenye gari za mbezi, mfanyakaz wa UDART akawa anawazuia wamasai kwakua hawakupanga foleni.

Sasa hakua gentle, kidogo alikua arrogant, nikajikuta nimeongea kwa sauti kidogo kwamba " we jamaa angalia usitumie nguvu , waelekeze kwa upole wasije wakatulamba viboko humu ndani kama Zanzibar" 😂😂 watu japo walicheka ila ilika kwa uoga uoga wakaona sije ikawa varangati
Aah mkuu kumbe ndio wewe ulosema hivyo pale 🤣🤣🤣
 
Kuna watu humu wanaona WAMASAI ni watu wasio na maneno Wala ugomvi.?? Hivi Kuna kabila ambalo sio sumbufu kwa namna Moja au nyingine.??? Kila likitokea la WAMASAI utakuta lawama zinapelekwa Moja kwa Moja kwa serikali ya Zanzibar bila watu kujua chanzo ni Nini ?? Hii ndio tz aiseeeee
 
Unajua maana ya sampling?
Zipo kesi nyingi na nimetaja chache tu mkuu
Hakuna Jambo lililokuzwa ila nimeliongea kwa upande wa Diplomacy,Political Science and Intelligence pattern kama hujui kuhusu hivyo nafikiri Ni bora kukaa kimya Unajua kuhusu minority SWOD discord..?
Au Fomenting Discord..?

Au Unafiki SWOD discord na Fomenting ni large scale violence?
Mkuu jifunze kukaa kimya hasa kwenye vitu usivyokuwa na elimu navyo

SI kila kitu ukichangie kitu kama huna elimu nacho ni bora kukaa kimya wala hautaonekana Mjinga
Kingereza mingi hakuna kitu hapa.

Kubali umechemka acha ubishi usio na tija
 
Back
Top Bottom