Video: Wamasai wazichapa tena na Walinzi (Wajeruhi)

Video: Wamasai wazichapa tena na Walinzi (Wajeruhi)

Hao viongozi wa Zanzibar waendelee kupandikiza chuki watapata wasichokitarajia

Chuki inatoka wapi? Mimi ni wa bara ila kwa Zanzibar ile nchi imestaarabika sana, waarabu wabarikiwe kwa hilo, unadhani wasingekuwepo waarabu ile nchi ingekuaje!! madadapoa wangejazana huko sio!

Hao masai wakae kwa kutulia, wasilete jeuri kwa wenye nchi yao, watarudi mbugani huko, au arusha.
 
Kingereza mingi hakuna kitu hapa.

Kubali umechemka acha ubishi usio na tija
KWa sababu kimeandikwa kwa wale wanaoelewa sio lazma wote tuwe na Uwezo na Fikra kubwa..

kama Unaona kitu hujakielewa bhasi ujue kuwa Rasmi kwamba hakikuandikwa kwa sababu yako...
na usikiQuote..

Kuna vitu Vingi vya kuchangia Jf
Unaweza ukaenda hata kuchangia kuhusu Diamond katoa nyimbo mpya..
Au alikiba kafanya shoo Kenya ..sio mbaya..

Ila vitu vinavyotumia Akili kuchambua ,Kama diplomacy,And intelligency nafikiri unaviavha vipite tu..
Hakuna sehemu nimeonyesha ubishi Kijana..
Tatizo la vijana wa siku hizi wengi wanajiona wanajua halfu kumbe kichwani Zero..

Unashindwa Kuchambua Kesi ya Minority Swod Discord halafu upo kuchangia Uzi unaohusisha serial Domestic Violence...

Nachofurahi ni Jf Kutuweka pamoja na kitupa Uhuru wa kikatiba kuchangia..
Lakini tumia vizuri Mchango wako kutoa hoja kama huna hoja ni vyema ukakaa kimya narudia tena ni vyema ukakaa kimya
 
Hawa jamaa wakija Dar wanaishi kwa uhuru ila hawataki wamasai waishi kwao kwa uhuru
Kama wanaleta vurugu uwaache tu!! Sometimes msiwe mnaangalia upande mmoja! Leo mzanzibari akifanya vurugu mtamuelewa! Au ndio kuitana gaidi?
 
Chuki za kijinga kabisa unahangaika na masai amebeba fimbo kama mila uanachana na watu waliovaa chupi wamekaa hapo


Masai kumtoa aache kutembea na fimbo ni sawa na kumwambia muislamu / mkiristo aachane na dini yake
 
Ila nimemuelewa Mzungu uyo mwenye Pichu Black..
Screenshot_20240207-153032_MX%20Player.jpg
 
Kama wanaleta vurugu uwaache tu!! Sometimes msiwe mnaangalia upande mmoja! Leo mzanzibari akifanya vurugu mtamuelewa! Au ndio kuitana gaidi?
Mbona wazanzibar kibao tu wanafanya vurugu huku Bara na tunawavumilia?
 
Kwakuwa hauko zanzibar hauwezi kuelewa kinachotekea kati ya wamasai na walinzi wa mahoteli, wamasai wamekuwa wanagasi sana wageni, siyo kila mgeni anataka kununua shanga, lakini masai wakielezwa hawaelewi kwa kila kilichowekwa na sheria ya utalii zanzibar kwamba beach ama fukwe ni maeneo ya watu wote. Hii ni changamoto sana na kupitia haya matukio nadhani kuna cha kujifunza hapa.
Sheria zao nyingi zimetungwa kuwabeba wazanzibar lakini kutokana na muingiliano wa watu wanaonufaika ni watu wa kuja na si Zanzibar tena.
Beach boys na Beach girls majority siyo Zanzibarian ni watu wa kutoka bara na hata nchi za jirani.

Kamisheni ya utalii wanatakiwa kureview miongozo yao na izingatie fargha za wageni ( Privacy) tofauti na hapo fukwe za kusini nazo zinaenda kuwa kama zile za kaskazini ( Nungwi).
True,

Illiterate maasai Huwa ni wagumu sana kuelewaa...

Ukikutana na Masai wale illiterate nikazi sana kumwelewesha na Kuna miaka huko nyuma maasai waliamini kua MUNGU aliniumba Ng'ombe wote Duniani ni Mali Yao na wakawa wanaiba Ng'ombe Kwa kuwa na Imani Ng'ombe wote ulimwenguni ni Mali Yao....

Masai walio elimika ni very bright and intelligent being Tatizo lipo Kwa illiterate Masai...
 
Wngombani tu mabinti w kizungu, wacheni wamasi wa watu mana hata nguvu za kiume hamna
 
KWa sababu kimeandikwa kwa wale wanaoelewa sio lazma wote tuwe na Uwezo na Fikra kubwa..

kama Unaona kitu hujakielewa bhasi ujue kuwa Rasmi kwamba hakikuandikwa kwa sababu yako...
na usikiQuote..

Kuna vitu Vingi vya kuchangia Jf
Unaweza ukaenda hata kuchangia kuhusu Diamond katoa nyimbo mpya..
Au alikiba kafanya shoo Kenya ..sio mbaya..

Ila vitu vinavyotumia Akili kuchambua ,Kama diplomacy,And intelligency nafikiri unaviavha vipite tu..
Hakuna sehemu nimeonyesha ubishi Kijana..
Tatizo la vijana wa siku hizi wengi wanajiona wanajua halfu kumbe kichwani Zero..

Unashindwa Kuchambua Kesi ya Minority Swod Discord halafu upo kuchangia Uzi unaohusisha serial Domestic Violence...

Nachofurahi ni Jf Kutuweka pamoja na kitupa Uhuru wa kikatiba kuchangia..
Lakini tumia vizuri Mchango wako kutoa hoja kama huna hoja ni vyema ukakaa kimya narudia tena ni vyema ukakaa kimya
Unatumia nguvu nyingi. Haya bana mchana mwema kwako
 
huwezi kuelewa kama haujui kinachosababisha ugomvi wa masai na walinzi wa mahoteli, Huwezi kuelewa ikiwa hauko jirani na sector ya utalii hususani znz, huwezi kuelewa kama hajui sheria na miongozo ya kamisheni ya utalii znz inaelekeza nini. Huwezi kuelewa ikiwa hauelewi kundi kubwa la beach boys na beach girls wanatokea maeneo gani kwa wingi. Hauwezi kuelewa ikiwa haujafika fukwe za Nungwi kuanzia Pwani mchangani na kuendelea, Hauwezi kuelewa ikiwa haujafika fukwe za Michamvi, Bwejuu, Paje, Jambiani, Kizimkazi na kwingineko. Na kama umefika na bado hujaelewa basi wewe utakuwa na shida mahali fulani upstairs.
Na huwezi kuelewa kwanini walifukuzwa ngoro ngoro sasa wamehamia zenji
Wala urojo hamna nguvu za kiume wanatandikia wake zenu mnafanya visa
 
Hili tukio limetokea jana, ambapo Wamasai wamepigana na Walinzi na kujeruhi.


Nini kifanyike kuepusha matukio kama haya kwenye jamii yetu?

Written by Mjanja M1 ✍️
Muda si mrefu itaanzishwa kampeni kabambe ya kuwahamisha Wamasai wote kutoka Zanzibar na kuwapeleka Handeni, kama walivyowafanyia kule Ngorongoro.

Ni suala tu la muda.
 
Nimesubiria tamko la yule askari Polisi aliyesema kuwa,ile clip ya Kwanza ilikuwa sio halisia na ilitokea kama mwaka juzi ila anashangaa mtu aliyeirushw mtandaoni akisema ni ya hivi karibuni.Hivyo akatoa ovyo Kali Kwa yeyote anaevumisha yasiyokuwepo.
Sasa na hii imekaaje.may take:
Labda ovyo lile alikuwa anamwambia Mama ake
 
Kwakuwa hauko zanzibar hauwezi kuelewa kinachotekea kati ya wamasai na walinzi wa mahoteli, wamasai wamekuwa wanagasi sana wageni, siyo kila mgeni anataka kununua shanga, lakini masai wakielezwa hawaelewi kwa kila kilichowekwa na sheria ya utalii zanzibar kwamba beach ama fukwe ni maeneo ya watu wote. Hii ni changamoto sana na kupitia haya matukio nadhani kuna cha kujifunza hapa.
Sheria zao nyingi zimetungwa kuwabeba wazanzibar lakini kutokana na muingiliano wa watu wanaonufaika ni watu wa kuja na si Zanzibar tena.
Beach boys na Beach girls majority siyo Zanzibarian ni watu wa kutoka bara na hata nchi za jirani.

Kamisheni ya utalii wanatakiwa kureview miongozo yao na izingatie fargha za wageni ( Privacy) tofauti na hapo fukwe za kusini nazo zinaenda kuwa kama zile za kaskazini ( Nungwi).
Kitu kimoja nimekuelewa ila, unaposema tourist commission ndiyo inahusika na beach plot sidhani but ni SMZ, kweli lengo ni kuwa na usawa wa matumizi ya fukwe kwa watu wote.

Kunbuka majority kubwa ya ndugu zako wazanzibari ni wavivu na hawana ubunifu, kitu kinachofanya hili unalosema kuwa "Sheria zao nyingi zimetungwa kuwabeba wazanzibar lakini...", so walio nje wameona fulsa lazima waifanyie kazi, siyo kuzuia kwamba hapa 'maasai asifike'

Jambo lingine, faragha ya mtalii kwanza ipo kwenye hoteli aliyofikia baada ya kusoma reviews and hotel environments kabla hajaja, ukitaka commission ndiyo uzuie hicho unachotaka nadhani wewe ndiye utakuwa unaingilia faragha za watu sasa, yaani unawapangia 🤔!.

Point of within; issue ya walinzi na masai kuleteana ugomvi ndipo kuna shida ikisababishwa na eneo huru la ufukweni.
 
Back
Top Bottom