Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,622
Hao viongozi wa Zanzibar waendelee kupandikiza chuki watapata wasichokitarajia
Chuki inatoka wapi? Mimi ni wa bara ila kwa Zanzibar ile nchi imestaarabika sana, waarabu wabarikiwe kwa hilo, unadhani wasingekuwepo waarabu ile nchi ingekuaje!! madadapoa wangejazana huko sio!
Hao masai wakae kwa kutulia, wasilete jeuri kwa wenye nchi yao, watarudi mbugani huko, au arusha.