Video: Wamasai wazichapa tena na Walinzi (Wajeruhi)

Video: Wamasai wazichapa tena na Walinzi (Wajeruhi)

Kitu kimoja nimekuelewa ila, unaposema tourist commission ndiyo inahusika na beach plot sidhani but ni SMZ, kweli lengo ni kuwa na usawa wa matumizi ya fukwe kwa watu wote.

Kunbuka majority kubwa ya ndugu zako wazanzibari ni wavivu na hawana ubunifu, kitu kinachofanya hili unalosema kuwa "Sheria zao nyingi zimetungwa kuwabeba wazanzibar lakini...", so walio nje wameona fulsa lazima waifanyie kazi, siyo kuzuia kwamba hapa 'maasai asifike'

Jambo lingine, faragha ya mtalii kwanza ipo kwenye hoteli aliyofikia baada ya kusoma reviews and hotel environments kabla hajaja, ukitaka commission ndiyo uzuie hicho unachotaka nadhani wewe ndiye utakuwa unaingilia faragha za watu sasa, yaani unawapangia 🤔!.

Point of within; issue ya walinzi na masai kuleteana ugomvi ndipo kuna shida ikisababishwa na eneo huru la ufukweni.
Mkuu unapoongelea Kamisheni ya utalii inamaanisha ni idara ndani wizara ya utalii na mali kale ambayo iko chini ya SMZ. SMZ ni CEO ambaye ana Directors, Managers nk. ( Nikuulize unawezaje kuitenga wizara yoyote na serikali?)

Bahati mbaya sana mmejikita kwenye Uzanzibari na Ubara haliangalii jambo kwa uhalisia wake, mimi sina chembe yoyote ya Uzanzibar ni mdau wa utalii nipo kwa ajili ya kusaka tonge na naongelea uhalisia kwenye field kama siyo ground. Kutoka hapa znz kurudi kwetu si chini ya km 100 na zaidi.

Miongozo ya utalii iko wazi kuwa znz ni Archepalago hivo sheria ya uhifadhi imetoa mwanya kwa mahoteli kujenga mpaka baharini kwa malipo fulani. Pamoja na yote hayo kumbuka beach ni maeneo ambayo yanategemea low na high tides, hivo kuna wakati yale maeneo ya reserve ya hotel yanakuwa almost covered na maji hivo vitanda na miamvuli ya kupumzika wageni inakuwa karibu sana maeneo ya umma, hii haimpi beach boy ama beach girl kuingilia faragha ya mgeni kwa sababu yoyote ile.

Hili ni suala la muda acha waendelee kufanya vurugu ili hii Tourism Police iamke na kufanya kazi manake naona tangu imeundwa ni kama imelala. Na haya yakiendelea SMZ haiwezi kushindana na Investors lazima tu masai ndo watakaoumia.

Nenda hotel zoote zilizoko kwenye fukwe za Dar uangalie kama beach boy na beach girl wanatamba kama znz.
 
Kama mfuatiliaji nilichogundua Wazanzibari hawawapendi wamasai. Hii inathibitishwa na kuanzia kwenye mamlaka za juu.
Refer to Mzee Ruksa ni Mzanzibari aliuza eneo la Wamasai, njoo kwa Mama Makengeza kauza eneo la Wamasai kwa falme za Kiarabu na aliwahi kuprovoke Maneno mabaya kuhusu Wamasai. Sasa kinachotokea Zanzibar kwa Sasa kilishapandikizwa huko nyuma. Wazanzibari wanawaona Wamasai kama wanyama sio binadamu.
 
20240207_170510.jpg
 
Wana Vitu vingi sana wanavyitusaidia Sema Kuvisema hadharani ni kuhatarisha usalama wa Nchi yetu"

Alisikika mlevi mmoja akisema baada ya kushiba Kitimoto na Wine yake
Kitimoto na wine [emoji485] huyo sio mlevi mkuu.[emoji16][emoji16][emoji16]
 
...
Bahati mbaya sana mmejikita kwenye Uzanzibari na Ubara haliangalii jambo kwa uhalisia wake, mimi sina chembe yoyote ya Uzanzibar ni mdau wa utalii nipo kwa ajili ya kusaka tonge na naongelea uhalisia kwenye field kama siyo ground. Kutoka hapa znz kurudi kwetu si chini ya km 100 na zaidi.
...
Hili ni suala la muda acha waendelee kufanya vurugu ili hii Tourism Police iamke na kufanya kazi manake naona tangu imeundwa ni kama imelala. Na haya yakiendelea SMZ haiwezi kushindana na Investors lazima tu masai ndo watakaoumia.
Sawa, ila shida haitakuwa kwa masai sasa, hapo ni hao walinzi ambao kwa asilimia kubwa ni watanganyika na tayari wana visafi na Masai toka mwenzao alipopewa kibano mwaka jana.

Masai wote waliopo Zanzibar wana umoja wao na kutambuana so kinachopaswa sasa ni kukaa na kupeana mipaka na nadhani tayari wamasai wote wanaelewa hilo, tatizo lipo kwa upande mmoja.


Nafahamu haiwezekani mtu from no where aje na aanze kukupiga tu bila sababu, yaani upo pale stone town unauza vinyago nafika na kuanza kurusha mawe mmh!, lazima kuna jambo hapo, kama upo field hiyo uliza utapata jibu ndg!.
 
Dunia inakaribia mwisho! Masai anaacha ng'ombe Longido anaenda kutikisa mpododo kwa watalii Zanzibar?
Huu ndio ujasiri wa kimasai

Si mumewafukuza kwao Ngorongoro ili mulete Waarabu!
Mbona hushangai Waarabu kuacha mafuta na sasa wanawafukuza Wamasai kwao Ngorongoro!
Tit for tat! period. Go Masai go!

JokaKuu
 
Sawa, ila shida haitakuwa kwa masai sasa, hapo ni hao walinzi ambao kwa asilimia kubwa ni watanganyika na tayari wana visafi na Masai toka mwenzao alipopewa kibano mwaka jana.

Masai wote waliopo Zanzibar wana umoja wao na kutambuana so kinachopaswa sasa ni kukaa na kupeana mipaka na nadhani tayari wamasai wote wanaelewa hilo, tatizo lipo kwa upande mmoja.


Nafahamu haiwezekani mtu from no where aje na aanze kukupiga tu bila sababu, yaani upo pale stone town unauza vinyago nafika na kuanza kurusha mawe mmh!, lazima kuna jambo hapo, kama upo field hiyo uliza utapata jibu ndg!.
Jibu nimeshakupatia sijui unataka jibu gani, ilierate maasai hata useme nini, uliza wakulima wanaopakana na masai huko bara, mtu ahalima anapanda masai anaassume umelima kwa ajili ya malisho ya ng'ombe wake, anaingiza ng'ombe shambani na ukienda kuwaswaga anakujeruhi. Nenda Morogoro huko kama kuna mkulima hata mmoja atasimama na masai, nenda sanya juu huko matadi olmorok kama kuna mkulima atasimama kumtetea masai,
 
Mnawachokoza, hao jamaa ni wastarabu ichuliwe kama watu wengine.. How comes fights daily ila watu hawatajwi kwa makabila yao ila akigombana mmasai anatajwa kwa kabila lake..

Wamasai kwani wameanza kuingia juzi hapo Zanzibar!? Wapo miaka kwa miaka ishu ndogo basi anahusisha kabila zima.

Tubadilike kabisa hili suala halina mantiki kwa watanzania wenzetu, mpaka sasa kama vile wametengwa kwa nasaba yao, kila tukio lao linapewa shtuma kwa wote.. kakae kariakoo kutwa watu wanaopigana wanajulikana makabila ya mbona hawatajwi...
Acha kuwatetea hawa watu ni pumbaaav sana.
 
wala urojo vs wanaoua simba ndo wapewe mke!!!!,,,wamasai wamechoka sana kuonewa,mara wafukuzwe loliondo,mara wananyang'anywe mfifugo mara wakatazwe kutembea na sime!!!,wazanzibar wanawachukia kwa sababu madem wa kizungu wanapenda kudeti na wamasai kwa sababu wana nguvu za kiume kuliko wala urojo!!
Na mashoga
 
Hawa jamaa wakija Dar wanaishi kwa uhuru ila hawataki wamasai waishi kwao kwa uhuru
Wazanzibar na mafala sana,wao wanapenda kuonewa huruma wakati kwao ni wabaguzi,hata tukiachana na hilo la wamasai ila wazanzibar ni mafala tu
 
Kama mfuatiliaji nilichogundua Wazanzibari hawawapendi wamasai. Hii inathibitishwa na kuanzia kwenye mamlaka za juu.
Refer to Mzee Ruksa ni Mzanzibari aliuza eneo la Wamasai, njoo kwa Mama Makengeza kauza eneo la Wamasai kwa falme za Kiarabu na aliwahi kuprovoke Maneno mabaya kuhusu Wamasai. Sasa kinachotokea Zanzibar kwa Sasa kilishapandikizwa huko nyuma. Wazanzibari wanawaona Wamasai kama wanyama sio binadamu.
Na sio wamasai tu,kiufupi watanganyika hatupendwi Zanzibar
 
hawa jamaa kwa sasa naona adabu zao zimekua fupi kupitiliza, kwa kweli wanahitaji kushughulikiwa
 
Ungeharibu kujikita kwenye hoja yangu ungetoka na kitu, mimi napingana na sheria nzima ya beach ni public, unajua gharama kumconvice mgeni mpaka afanye booking na hoteli yako, alafu akishafika wanajitokeza wapuuzi Wachache wanaojiita Beach boy na kuanza kuwaghasi wageni, mgeni anakuplain kwa uongozi wa hotel, hotel itawaeleza walinzi wake kuhahakikisha wageni hawasumbuliwi. Wajibu wa mlinzi nikumweleza masai asiwaghasi wageni, masai haelewi, mlinzi afanye nini? Lakini wakifika TP masai huondoka. Wageni wananunua fukwe na si kitanda wala chakula

mimi sikubaliani kabisa na malalamiko yako kuhusu beach in Public, beach zinatakiwa zibaki kuwa Public area kwa yoyote. Ila Beach Boys Pamoja na wamasai wanatakiwa kufurushwa maeneo ya Beach, kwa kweli jamaa ni kero kupindukia wanasumbua sana wageni.
 
Una point nzuri. Bahati mbaya chuki ya muungano imeshaota mizizi. Imefunika uhuru wa fikra na mitazamo isiyo na chembe ya prejudice.

Sheria inapaswa kuwa kali kuweka katazo la watanzania wa jamii zote kuwasumbua watalii wanapokua ndani ya fukwe binafsi. Kwa zile fukwe public ni jukumu la mtalii mwenyewe na wenyeji wake kuangalia usalama wao.

Kinachotokea sasa si tu watanzania wa jamii ya kimasai bali na wazawa wa hapo kupenya katika hizi fukwe zilizohodhiwa na kuwasumbua na kuwahadaa watalii.

huo ndio ukweli, hito hizo fight ya video hii hata ile ya nyuma ya beach, hata hao walinzi waliokua wanapambana na wamasai nao ni watanganyika. Ila wapuuzi humu mitandaoni wao wanarusha matusi tu bila ya kuelewa kinachoendelea.
 
Back
Top Bottom