Video: Wamasai wazichapa tena na Walinzi (Wajeruhi)

Video: Wamasai wazichapa tena na Walinzi (Wajeruhi)

Masai wastaarabu wanapatikana wapi? Me mkulima nawajua, ni watu washenzi sana.

Hawa masai hata waliopo huku bara inabidi warudishwe kwao Arusha tu wakaishi na wanyama huko, waache kutusumbua.
Nimeishi korogwe wapo tabia za hovyo haswa walevi ni hizo hizo hata kwa watu wengine...Wamasai ukienda kweny vijijini vyao wanakukaribisha vizuri tu hawana noma hata zawadi unapewa..
 
umeandika kwa busara kaka.
kwenye hilo hata mimi naafiki kuzungumzia watu kwa ujumla wa kabila lao. nimekupata vema hapa
Yule laizer alipopata yale madini hawakutaja kabila lake ila kweny ishu ya hovyo wanataja kabila la mtu...Kuna rafiki yangu amejisikia vibaya sana ni mmasai .

Ifike mahali tuache kuongelea watu kwa ujumla haileta picha nzuri.
 
Jiulize pia mbona matukio ya watu kupigana na walinzi wa mahoteli yanahusisha tu wamasai?
nimejiuliza nikagundua kuwa ni wivu na chuki,,,,,nilipotafakari nikagundua wazanzbar wanawaonea wivu wamasai kwani wamasai kama wamasai ni moja ya utambulisho{icon]ya utalii kwa tanzania na kenya,,,manake ni kwamba moja wapo ya ki2 kinachokaa kichwani mwa mtalii anapojiandaa kuja tanzania au kenya ni kuja kuwaona wamasai na utamaduni wao,sasa wanapotokeza wanakuwa kivutio kuliko wazanzibar,kwani kiuhalisia utamaduni wa mzanzibar ulishafutika kwa kuiga utamaduni wa kiarabu kuanzia imani,mavazi,mila ,chakula utaratibu mzima wa maisha kwa ujumla,,,,,,wakati kwa mmasai au wamasai utamaduni wao ni GENUINE wa kiafrika au niseme mmasai hajafanyiwa brain wash yoyote ile dini yao ni ya asili,mavazi ya asili,chakula cha asili,,,,,,sasa matokeo yake ni nini????mtalii anapokutana na mmasai anatumia muda nwingi kuzungumza na mmasai ili kumwelewa kuliko mzanzibar matokeo yake mmasai anapata pesa kirahisi kuliko mzanzibar,,,,yaani kumjua mzanzibar,ata ukienda doha,pakistan,yemen,iran,ata huko watokapo watalii mila za kiarabu zipo,,ata mtalii kama ni mwarabu ni rahisi sana kuvutiwa na mmasai kuliko mzenj manake yeye mwenyewe anajua wanafanana kwa mambo mengi!!!,,ata kule loliondo waliondolewa kwa sababu hiyohiyo!!! na kama unakumbuka wazungu mpaka leo wanalalamika kwa swala lile,,,chuki inatokana na mvuto wa mmasai wewe mwenyewe hapo ulipo ukiletewa NG'OMBE na NYATI utachagua kumshangaa nani mzee baba?????...si lazima NG"MBE amwonee wivu NYATI?,,,,au unasemaje?????kwa sababu NG'OMBE hana jipya mbele ya nyati,,,,au unasemaje man!
 
Yule laizer alipopata yale madini hawakutaja kabila lake ila kweny ishu ya hovyo wanataja kabila la mtu...Kuna rafiki yangu amejisikia vibaya sana ni mmasai .

Ifike mahali tuache kuongelea watu kwa ujumla haileta picha nzuri.
hili ni ukweli kabisa umetoa mfano valid mbaya. unajua sisi wameru tuna bond kubwa sana na wamasai kutokana na ukaribu wetu. hata mimi sipendi.
lakini watalii kusumbuliwa wakiwa kwenye fukwe zinazomilikiwa na watu binafsi ni kitu cha kukemewa bila kujali ni watu wa bara au kisiwani wanaofanya hayo
 
Tukio Dogo lenye mfululizo wa matukio kama hayo zaidi ya Saba..
NOthing little mkuu!
Ingekuwa CIA,Na FBI wangechukulia ni Tukio dogo?
Au kwa vile tunasubiri mpaka moto uwake?

Tumesahau panapofuka Moshi kuna moto chini?
Hapo ume-exgagerate hakuna matukio 7 ya mfululizo. Hili ni tukio dogo halivuki mipaka nje ya personal grudges za hao watu wanaogombana. Pls don't be over sensitive. Tz ni nchi ya amani sana
 
wala urojo vs wanaoua simba ndo wapewe mke!!!!,,,wamasai wamechoka sana kuonewa,mara wafukuzwe loliondo,mara wananyang'anywe mfifugo mara wakatazwe kutembea na sime!!!,wazanzibar wanawachukia kwa sababu madem wa kizungu wanapenda kudeti na wamasai kwa sababu wana nguvu za kiume kuliko wala urojo!!
Nipo Zanzibar...hilo ni kweli asilimia %100
 
Video umeichukulia ukiwa mbali, umeogopa nini kusogea karibu?
 
nimejiuliza nikagundua kuwa ni wivu na chuki,,,,,nilipotafakari nikagundua wazanzbar wanawaonea wivu wamasai kwani wamasai kama wamasai ni moja ya utambulisho{icon]ya utalii kwa tanzania na kenya,,,manake ni kwamba moja wapo ya ki2 kinachokaa kichwani mwa mtalii anapojiandaa kuja tanzania au kenya ni kuja kuwaona wamasai na utamaduni wao,sasa wanapotokeza wanakuwa kivutio kuliko wazanzibar,kwani kiuhalisia utamaduni wa mzanzibar ulishafutika kwa kuiga utamaduni wa kiarabu kuanzia imani,mavazi,mila ,chakula utaratibu mzima wa maisha kwa ujumla,,,,,,wakati kwa mmasai au wamasai utamaduni wao ni GENUINE wa kiafrika au niseme mmasai hajafanyiwa brain wash yoyote ile dini yao ni ya asili,mavazi ya asili,chakula cha asili,,,,,,sasa matokeo yake ni nini????mtalii anapokutana na mmasai anatumia muda nwingi kuzungumza na mmasai ili kumwelewa kuliko mzanzibar matokeo yake mmasai anapata pesa kirahisi kuliko mzanzibar,,,,yaani kumjua mzanzibar,ata ukienda doha,pakistan,yemen,iran,ata huko watokapo watalii mila za kiarabu zipo,,ata mtalii kama ni mwarabu ni rahisi sana kuvutiwa na mmasai kuliko mzenj manake yeye mwenyewe anajua wanafanana kwa mambo mengi!!!,,ata kule loliondo waliondolewa kwa sababu hiyohiyo!!! na kama unakumbuka wazungu mpaka leo wanalalamika kwa swala lile,,,chuki inatokana na mvuto wa mmasai wewe mwenyewe hapo ulipo ukiletewa NG'OMBE na NYATI utachagua kumshangaa nani mzee baba?????...si lazima NG"MBE amwonee wivu NYATI?,,,,au unasemaje?????kwa sababu NG'OMBE hana jipya mbele ya nyati,,,,au unasemaje man!
ipo hivi fukwe binafsi si tu masai au mm mmeru nikienda napaswa sumbua watalii. wenye mahoteli wanatuma walinzi. kule kwenye fukwe za public hakuna mtu anakatazwa kuwafuata au kuwashobokea watasha.
kwenye fukwe binafsi hata hao wavaa kobazi hawapaswi sumbua watalii. kuna mdau hapo kasema, and which is true, mtalii anapokodi hakodi tu chumba ni mpaka privacy ya kuenjy fukwe bila kusumbuliwa.
 
Una point nzuri. Bahati mbaya chuki ya muungano imeshaota mizizi. Imefunika uhuru wa fikra na mitazamo isiyo na chembe ya prejudice.

Sheria inapaswa kuwa kali kuweka katazo la watanzania wa jamii zote kuwasumbua watalii wanapokua ndani ya fukwe binafsi. Kwa zile fukwe public ni jukumu la mtalii mwenyewe na wenyeji wake kuangalia usalama wao.

Kinachotokea sasa si tu watanzania wa jamii ya kimasai bali na wazawa wa hapo kupenya katika hizi fukwe zilizohodhiwa na kuwasumbua na kuwahadaa watalii.
point
 
Rais mwinyi utaenda kujibu nini kwa Mwenyezi Mungu! Nchi yenye idadi kubwa ya waislamu kwa maana ni nchi ya kiislamu, inakuwaje unaruhusu huu ushenzi/ufirauni watu wapo uchi! Nabi Muhammad S.A.W angekuwepo huu ufirauni usingekuwepo

Kuwa kiongozi ni dhima kubwa, Mwenyezi Mungu aniepushie mbali hata uongozi wa kata tu sihitaji!

Mleta mada, naomba ufute huu uzi wenye uchafu mwingi

Hata hivo huo uongozi atakupa nani[emoji23]
 
Hapo ume-exgagerate hakuna matukio 7 ya mfululizo. Hili ni tukio dogo halivuki mipaka nje ya personal grudges za hao watu wanaogombana. Pls don't be over sensitive. Tz ni nchi ya amani sana
Ngoja bhasi nikutajie
  1. Wamasai walitofautiana na Askari walikuwa kwenye Gari na kuchapa fimbo Derva wa gari la askari
  2. Wamasai walitofautiana Na kuwapiga askari na walinzi wa forodhani kipindi wanataka kutoroka baada ya Kupatikana na kesi hapo juu
  3. Wamasai walishambulia Walinzi baada ya kutaka wasitumie silaha kuzibeba
  4. Wamasai leo kwa video hapo Juu wamecharza mlinzi
  5. Wamasai walirepotiwa kuwatandika mikwaju polisi baada ya kumkamata mwenzao kwa makosa ya kufanya fujo..
MKuu Ndo kwamba siku hizi watu hawaoni?
Hakuna mahali popote nimesema Tanzania sio Nzhi ya amani..
Nilichosema kuna Viasharia vya Kuharibu amani....

You dont Listen mkuu, You just follow..
Bhasi nakusisitixa hebu soma nachoandika bila kuweka hisia zako..
Uunachofanya sasa ni uchawa maana chawa hatumui akili..
Try using your brain and think
 
hili ni ukweli kabisa umetoa mfano valid mbaya. unajua sisi wameru tuna bond kubwa sana na wamasai kutokana na ukaribu wetu. hata mimi sipendi.
lakini watalii kusumbuliwa wakiwa kwenye fukwe zinazomilikiwa na watu binafsi ni kitu cha kukemewa bila kujali ni watu wa bara au kisiwani wanaofanya hayo
ni kweli lakini isiwe wamasai pekee ndio wazuiwe
 
Back
Top Bottom