Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika wanaCCM wameendelea kujionesha kuwa wao ni bora liende. Haiwezekani mwanadamu unampakia kwenye usafiri wa kuhatarisha maisha yake kiasi hiki.
View attachment 1594989
Hao ni Yanga,Hakika wanaCCM wameendelea kujionesha kuwa wao ni bora liende. Haiwezekani mwanadamu unampakia kwenye usafiri wa kuhatarisha maisha yake kiasi hiki.
View attachment 1594989
Njooni mtubu kwa usaliti wa kuungana na kibaraka kabla ya 28.10.2020 tutawasamehe lasivyo mtaishi maisha magumu sana mpaka 2025. Hatuna lelemama ushindi CCM ni lazimaMimi ninajitambua
Wamewavalisha wafuasi wao nguo then wakawapandisha kwenye gari. Hiyo inajulikana wanafanya hivyo kila maraHao ni Yanga,
Ufisadi gani? weka uthibitisho hapaChama Cha Mafisadi
Halafu mnakuja na photoshop za picha, juzi kaenda kariakoo chinga kidogo wamtwange lisu ikabidi akimbie, mkakodisha vijana wakamzunguka then ndiyo akapiga pichaNonsense
Lugha haijawahi ongoza nchi, watanzania kwa 100% wanamtaka Dkt MagufuliZeeeee, ziiiisiiiii
Chama gani kingine kinafanya hivyoVyama vyote vinafanya hivo