Video: WanaCCM wakiwa wamebebwa kwenye gari wakipelekwa kwenye mkutano

Video: WanaCCM wakiwa wamebebwa kwenye gari wakipelekwa kwenye mkutano

Tofauti unayoshindwa kuijua wewe ni moja tu, Chama cha mbowe fedha za ruzuku na michango zinaenda kwenye Faru John, lakini Chama Cha Mapinduzi chama dume na chama imara kina uchumi ulio imara.
Chama Cha Mafisadi
 
Mimi ninajitambua
Njooni mtubu kwa usaliti wa kuungana na kibaraka kabla ya 28.10.2020 tutawasamehe lasivyo mtaishi maisha magumu sana mpaka 2025. Hatuna lelemama ushindi CCM ni lazima
 
Njooni mtubu kwa usaliti wa kuungana na kibaraka kabla ya 28.10.2020 tutawasamehe lasivyo mtaishi maisha magumu sana mpaka 2025. Hatuna lelemama ushindi CCM ni lazima
Nonsense
 
Halafu mnakuja na photoshop za picha, juzi kaenda kariakoo chinga kidogo wamtwange lisu ikabidi akimbie, mkakodisha vijana wakamzunguka then ndiyo akapiga picha
 
Ufisadi gani? weka uthibitisho hapa
Maana kila mtanzania anafahamu kuwa Chama cha Mbowe ni Chama cha wazee wa FARU JOHN
1:Kashfa ya mabillion ya meremeta.

2:Richmond

3:Escrow

4:Epa

5:

6:

7:

8:
 
Another violation of road traffic act , Hilo gari ni low boy loader , kwa sheria za Tamroad ni abnormal width na lilitakiwa Lowe escorted na gari mbili moja mbele nyingine nyuma , lenyewe likiwa na mabango ya abnormal mbele na nyuma !!
Lakini kwa vile Lina Wana Ccm karibu Kila kitu kinakuwa muted , gari linatembea solo Kama coaster vile na hata mmiliki hana hofu na faini ya 2000 dola kutoka tanroad.
 
Back
Top Bottom