Kwa kuwapa vitambaa vya kujifunga kichwani, khanga, T-shirt na kipande cha sabuni!Kwa kweli wapinzani sasa mnatia kichefuchefu na mnatupa kila sababu ya kua mbali na nyinyi.
Hivi tangia lini mwizi akajipeleka kuiba huku akijionyesha wazi wazi???
Hivi nani atakye thubutu awakusanye watu bila ridha yao bila kuogopa kuonekana na kuwapeleka kwenye mikutano yao??
Basi kama ni hivyo itakua vyama vyote mna fanya hivyo hivyo. Hiwi ukamuambia mtu ni mchawi bila wewe mwenyewe kua mchawi.
Jaribuni kutafuta mbinu nzuri ya kupambana, tunahitaji upinzani lakini uwe upinzani wenye maana
Ongea vitu ambavyo ni facts lasivyo mtazidi kuonekana mazezeta. Watu wanataka facts, kauli ambayo itaweza kuingia akilini na kumshawishi mtu. Kwani wapinzani ndio hawatoi vitu hivyo???Kwa kuwapa vitambaa vya kujifunga kichwani, khanga, T-shirt na kipande cha sabuni!
Ccm mnawadhalilisha sana watu wenu
Kutokana na comment yako tayari nimekutoa kwenye watu wanao jitambuaOngea vitu ambavyo ni facts lasivyo mtazidi kuonekana mazezeta. Watu wanataka facts, kauli ambayo itaweza kuingia akilini na kumshawishi mtu. Kwani wapinzani ndio hawatoi vitu hivyo???
Kwani nimekulazimisha unitambue?? Au unitambue?? Wewe ndio usiojitambua unae taka nifuate unachotaka badala kua na sera na hoja ili mtu akufuate POOR YOUKutokana na comment yako tayari nimekutoa kwenye watu wanao jitambua
ahahahahahahahahhaaaHalafu baada ya kubebwa na kuangalia tamasha la bure wanaondoka
View attachment 1594992
View attachment 1594990
Kwa hiyo ile michango ya kampeni mliyoomba chama cha mbowe, mmeipeleka wapi? Au ndo mmeenda kupandia mwendokasi, kufanyia shopping mlimani city na kununulia ndizi mabibo? Si ndio?Huo sio ushahidi. Kama vyombo vya serikali vilimkugua vikamkuta hana kosa. Ww ni nani wa kupinga uchunguzi wao?
Maana naona unaandioa ngonjera lakin ushahidi huna.
Naona dawa imekuingia vya kutoshaLazima ni support pale ninapo ona pana muelekeo bora.. leo hii mpinzani angekua na hoja ninge mpa support, siwezi kua ccm tu kila mwaka, natoa support pale ninapo ona pananifaa, au hujaelewa bado kwanini nchi kama usa wanabadilisha chama mara kwa mara? Au ulidhania ni watoto wa chama fulani ndio wamezaliwa kwa wingi ndio waka pata ushindi. Ni no ni watu wanabadilisha direction kutokana na sera za chama, mwana saisa pekee ndio anaye ngangania kwenye chama kimmoja. So njoo na hoja ili uonekane mtu mwenye maana badala vikartuni na vipicha ya watu waliopanda malori
Ndio sera zenu hizo sio?? Mnateseka sana naona...poor you. Mtakuja kupata ugonjwa wa moyo kwa kuteseka namna hiyo. Hata mfanyeje hamtafika mahali popote.Naona sindano imekuingia vyema maungoni
Magonjwa ya moyo mnayo nyinyi wenye laana za kuchezea damu za watuNdio sera zenu hizo sio?? Mnateseka sana naona...poor you. Mtakuja kupata ugonjwa wa moyo kwa kuteseka namna hiyo. Hata mfanyeje hamtafika mahali popote.
Kwanza umeshamsikia mgombea wenu hivi karibuni akisifia mwendo kasi? Ameshaona mpango wa kupunga kila kitu si sera tena na taratibu atakuja kukubali miundombinu zingine lakini kwake ni too late.
Kwa bahati mbaya au nzuri walio kamatwa au kuonekana redhanded wakimwaga damu ni nyinyi wengine wachadema wakjitokeza na kutoa ushahidi kwamba walichoma moto ofisi za chadema wengine wako hospitali hai wanatoa ushahidi wa unyama waliofanyiwa na chadema wenzio.Magonjwa ya moyo mnayo nyinyi wenye laana za kuchezea damu za watu
Icc Inawahusu jiandaeni kuozea GuantanamoKwa bahati mbaya au nzuri walio kamatwa au kuonekana redhanded wakimwaga damu ni nyinyi wengine wachadema wakjitokeza na kutoa ushahidi kwamba walichoma moto ofisi za chadema wengine wako hospitali hai wanatoa ushahidi wa unyama waliofanyiwa na chadema wenzio.
We bwana naona huna hata sera, jiandae ki akili kwamba utatwaliwa na ccm miaka 5 tena.Icc Inawahusu jiandaeni kuozea Guantanamo