Video: Wananchi wajibu mapigo kwa askari aliyetishia kumvunja mwananchi mguu kwa kumpiga risasi "Vunja kama na wewe leo hufi"

Video: Wananchi wajibu mapigo kwa askari aliyetishia kumvunja mwananchi mguu kwa kumpiga risasi "Vunja kama na wewe leo hufi"

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Inaonekana raia wameanza kuchoka na ukatili na vitisho kutoka kwa baadhi ya askari wa Jeshi La Polisi.

Hapa ndio sehemu CCM imefikisha vijana ambao wanaonekana hawana la kupoteza!

Kupitia video inayosambaa mitandaoni kwa kasi inaonesha askari wenye silaha nzito za moto wakiwa na vijana ambao wanafanya shughuli za uvuvi.

Katika video hiyo, askari wanaonekana wakiwa katika mzozo na vijana hao ambapo katika kuzozana kwao askari mmoja alitishia kumvunja mguu mojawapo ya vijana waliokuwepo eneo hilo.

Vijana walijibu kwa confidence kuwa iwapo askari huyo atamvunja raia mwenzao mguu basi askari huyo hataondoka hapo salama

======================================================

 
Sema kuna watu kwenye system hawapendezwi na hayo mambo, kama huyu aliye rekodi hii video, hakupenda kabisa... Na probably si askari polisi ila yupo kama askari polisi
 
Samia ndiyo kaifikisha hapa Nchi Kwa kufadhili magenge ya utekaji ndani ya jeshi la polisi chini ya uratibi wa mafwelengo ambaye alitaka kumuua sativa
 
..video kama hizi nikiona nasikia hamu yakudinya tu yani zinapandisha mizuka
 
Wakitoka hapo wanaenda kwenye vijumba vyao vya kota.
images.jpeg
 
Wakuu,

Inaonekana raia wameanza kuchoka na ukatili na vitisho kutoka kwa baadhi ya askari wa Jeshi La Polisi.

Hapa ndio sehemu CCM imefikisha vijana ambao wanaonekana hawana la kupoteza!

Kupitia video inayosambaa mitandaoni kwa kasi inaonesha askari wenye silaha nzito za moto wakiwa na vijana ambao wanafanya shughuli za uvuvi.

Katika video hiyo, askari wanaonekana wakiwa katika mzozo na vijana hao ambapo katika kuzozana kwao askari mmoja alitishia kumvunja mguu mojawapo ya vijana waliokuwepo eneo hilo.

Vijana walijibu kwa confidence kuwa iwapo askari huyo atamvunja raia mwenzao mguu basi askari huyo hataondoka hapo salama

======================================================

View attachment 3180458
 
Shida CCM wao kila kijana aliyejiajiri wana muona adui yao kuanzia machinga mpaka mwenye duka kariakoo
 
Back
Top Bottom