Aljazira kamwe hawaitoi hiyo.
Nenda AP, utaikuta.
Hio habari hata magazeti ya Israel hazijaitoa Hamasi hana shida ya chakula ana tons ya vyakula kama vile silaha, hao wanaume wanajua namna vita inavyo hitajia mahitaji yao, sio hao mashoga zenu kila kukicha wanaomba silaha kutoka America wana midomo ya kanga kujisifu masuper power wakati hata jiwe wanaliogopa.
America walifikiria wameinvest mabillions pale Israel kuifanya iwe super power kumbe ni ujinga tu, we huoni US, UK, France wanavyo babaika kuona Israel hajashinda chochote kwenye hi vita wamemeruhusu Israel afanye genocide wacha nchi zingine zifanye vile uone watakavyo lalamika pale UN.
Angalia mfano tu Yemen kazuia meli kwenda Israel wanapiga kelele na wanajikusanya eti wakampige Yemen 😄
Israel kawawekea blocked wa Palestine miaka 75 hatujasikia chochote, sio wao wala human rights wamesema kitu, ikiwa jeshi la Israel linatumia redcross kuingiza silaha na ndio wanajidai waokozi hao 😄
Vita mmeshindwa hata mumsaidie Israel, vita mmeshindwa jukusanyeni mashoga wote mtafute tembo na vifaru ndio size zenu, mtu yoyote yule anaye support ujinga wa Israel akapime akili zake haziko sawa.
Ndio sababu Robert Mgabe alikuwa hawapendi wote wenye pink noise 😄