The Legacy JF-Expert Member Joined Jun 1, 2022 Posts 5,879 Reaction score 11,318 Mar 15, 2025 #41 Hao ndio Binadam,angekuja akakamatwa au kutekwa mngesema kwanin asingebaki huko huko.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Mar 15, 2025 #42 Waufukweni said: Machawa hawa wameshindwa kusaidia Chama chao kuondoa madudu wanaropoka tu vitu visivyowahusu Click to expand... Hali ni mbaya sana aisee
Waufukweni said: Machawa hawa wameshindwa kusaidia Chama chao kuondoa madudu wanaropoka tu vitu visivyowahusu Click to expand... Hali ni mbaya sana aisee
K Kikambala JF-Expert Member Joined Jun 28, 2008 Posts 263 Reaction score 289 Mar 15, 2025 #43 Sarufi tu zinamshinda.aende veta huyu
D def_xcode JF-Expert Member Joined Jul 25, 2023 Posts 1,896 Reaction score 5,181 Mar 15, 2025 #44 Mshana Jr said: Wapuuuzi tuu hawa.. Wameandikiwa mipasho halafu wanaisoma kama ilivyo Click to expand... Wajinga kweli.... Siku hizi Tanzania full uoga hadi mtu anaogopa kusema hadharani kama anaumwa mpox. Sikuwahi kufikiria kama itafika wakati kusema unaumwa hadharani linaweza kuwa kosa. Nimegundua enzi za jk tulikuwa na uhuru sana.
Mshana Jr said: Wapuuuzi tuu hawa.. Wameandikiwa mipasho halafu wanaisoma kama ilivyo Click to expand... Wajinga kweli.... Siku hizi Tanzania full uoga hadi mtu anaogopa kusema hadharani kama anaumwa mpox. Sikuwahi kufikiria kama itafika wakati kusema unaumwa hadharani linaweza kuwa kosa. Nimegundua enzi za jk tulikuwa na uhuru sana.