barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Naona hata ktk profile yako bado unapiga vyombo, ukiwa sober rudi tena kuyacheki.Hayo ni makalioni OG
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona hata ktk profile yako bado unapiga vyombo, ukiwa sober rudi tena kuyacheki.Hayo ni makalioni OG
Vipi??Mtabaki kuwa wapenzi watazamaji
Ndo maana chibu kapata Confo la kujibu ovyo ovyo eeh!Toka aweke mchina hii ni mara ya kwanza kulionyesha tako lake hadharani...
Zari alimnyima confidence asee
Mmh!! bro chillax.Amfungie mtu anaenda kujipumzisha sehemu kwa kuogelea na bikini kisha kuchukua picha za kumbukumbu?
Au kosa lake kushare na wengine?
Mambo mengine tuna complicate maisha bila sababu. Picha zinaonesha sisi watanganyika kabla ya walowezi wazungu na waarabu tulikuwa tunafunika viungo vya uzazi tu.
Hata dada na mama zetu walikuwa makalio na matoti nje tu. Huo ndio utamaduni wetu wa asili.
Nimeongea sana kuhusu hiki kitu...Toka zari na daimond waachane kafurahi kweli kachizika anarusha vijembe ,wanawake kama wema wengi kweli anachizika kwenye hakuna[emoji23][emoji23][emoji23]
Wee hawezi simama yule...unajua ukijibinua hata kama mtu hana tako litaonekana tuuAsimame tuone
Huo mcamera uliotumika hapo unaujua? Full kufuta michiriziKuna kipindi walisema eti dada huyu ana michirizi na minyama uzembe ndo mana havaagi vya kuogelea,sas hii video nimeiangalia zaid ya mara 6 kutafuta michirizi na minyama uzembe
Huwajui watanzania wakikuchukia? Kila baya utaambiwa wewe!!Hivi ni kweli jaman aliongeza kalio?
Naskiaga complain juu ha wanaume wa dar.. Sasa naanza kuamini kua sio utani ni ukweli mtupu.. Embu check bwege lile lina chezea chezea ukuta wakat mtoto ana angaika kubinua kiuno mwenye huku.. Haya ndo yanaitwa nyuki wa mashineni[emoji23][emoji23][emoji23]
Unalo mama?