Video: Wema Sepetu akicheza wimbo wa WOWOWO live ndani ya swimming pool

Ushasema anaonyesha u fake wa makalio yake ....hujasema ua mtu mwingine which means hayakuhusu ndo maaana yakawa yake....na ww toa ulichonacho ukionyeshe ndugu.....asipoonyesha mabonde akionyesha fake wanadamu ma hilaa my dear if u cnt beat her we fanya kumjoin na uache ubabaifu
 
Mmh!! bro chillax.
 
Toka zari na daimond waachane kafurahi kweli kachizika anarusha vijembe ,wanawake kama wema wengi kweli anachizika kwenye hakuna[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeongea sana kuhusu hiki kitu...

Zari alimnyima sana usingizi huyu zero brain...yaan alikuwa hana confo kabisa!

Hadi kuonesha mchina si mchezo
 
Kama huo wehu ndio u-super star basi asiwepo super star yeyote ktk uzao wangu.

Vb
 
Moderators acheni upuuzi, uzi wa tacko feki la Wema na yeye kucheza dansi hilo kuna uhusiano gani mpaka mmeunganisha uzi?
Acheni ujinga.
 
Ila watanzania kwa chuki hawajambo khaa!![emoji23][emoji23]
 
Naskiaga complain juu ha wanaume wa dar.. Sasa naanza kuamini kua sio utani ni ukweli mtupu.. Embu check bwege lile lina chezea chezea ukuta wakat mtoto ana angaika kubinua kiuno mwenye huku.. Haya ndo yanaitwa nyuki wa mashineni[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Huwezi kuwa pamoja na wowowo kama lile alafu pakawa salama lazima amani itoweke. Jamaa anaonekanwa hata habari hana. Kiukweli ananitia shaka kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…