Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan hajachanganyikiwa ?Wema anaelekea kuchanyikiwa,,, angekaa kwa kutulia tuu maisha yaende
SawaaHuyu dada alikuwaga mzuri sana, na alibarikiwa shepu ya asilia kabisa. Alikuwa kiportable fulani hivi mwenye rangi ya chocolate.
Kwa kweli alikuwa mzuri sana. Sasa sijui kilimkuta nini akaanza kujichubua, na KUTUMIA madawa kuongeza makalio kwa kweli shepu yake imeharibika. Makalio feki sijajua kayapendea nini. Picha hizi zaonyesha alama ktk kalio lake la kulia ambalo ni wazi kabisa kuwa ni sehemu iliyotumika kuingiza "dawa" maeneo hayo ili kuyaumua makalio yake.
Ushauri: Wanawake ridhikeni na miili yenu alivyowaumba Mungu, kufanya alichofanya Wema ni uhaini kwa Mungu.
View attachment 724617
View attachment 724626
View attachment 724627
View attachment 724629
tuonesheHakuna ufake,hizo ni sindano za kroloquine,mimi mwenyewe nina shimo la sindano.
Na mm kama naona itakua hivyoila juwa kuwa Diamond na Zari hawajaachana na watafunga ndoa mwaka huu anayebisha ntamkumbusha siku hiyo
Hebu tupiamo kapicha mkuu tuone hilo shimo la sindano ili tudhihirishe kuwa mtoa mada anamsingizia Wema.Hakuna ufake,hizo ni sindano za kroloquine,mimi mwenyewe nina shimo la sindano.