Video ya kuchefua ya Dada wa Kiafrika Dubai

Video ya kuchefua ya Dada wa Kiafrika Dubai

Baadhi ya wadada bado sana kujielewa

Juzi wrong message imeingia kwenye whatsapp yangu.. dem anamtumia picha za utupu bwana wake sijui imekuaje! Picha zimekuja kwangu; hii mitandao sio ya kuiamini kabsa yaani “

Yaani demu yupo wazi wazi yaani na alikuwa anamtumia awala wake na ananambia kuwa yeye anamme wake sema kasafiri ananibembeleza nizifute picha zisije zikasambaa mtandaoni “ wadada inawabidi muwe makini sana”

Mimi nimemwambia ningekuwa na namba ya Mme wako ningemtumia uachike kwa ujinga wako na nimemtishia kuwa sitozifuta.

Badilikeni
Huyo mwongo mkuu, ni mbinu yake kukutia majaribuni.
 
Huko Rwanda mchina kapigwa jela 20 years kwakumchezeshea kichapu mfanyakazi wa kinyarwanda. Kigame amemwambia your money can't buy our dignity Africa is our land.
1651581011809.jpg
 
Alafu kuna mpumbavu mmoja na chuki yake ya kibaguzi ya rangi... Anakazana waarabu waarabu... WENYEWE TAMAA YA PESA NA KUPENDA MAISHA YA JUU NDIO WANAFANYA HAO WANAWAKE... KUNA ANAYELAZIMISHWA...? HEBU ACHA CHUKI YA UBAGUZI WA RANGI...

ALAFU NI UJINGA KUHUKUMU KUNDI ZIMA KWA UPUMBAVU WA MTU MMOJA... NI UJINGA...

TUSEME WABONGO WOTE NI MAFISADI WEZI NA WADHULUMISHI... ETI KWA SABABU YA UFISADI WA WATU WACHACHE WALIOKO SERIKALI...?
 
Huyu jamaa mnampata vizuri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] alikuwa member active sana jukwaani kule na stori zake daily ni kwa mpalange tu
Yule mende mkubufu.[emoji2][emoji1787]

Cockroach man[emoji2]

But very humble citizen
 
Mi sioni Kama Jamaa ni wa kulaumiwa

Kuna video ya mdada wa Nigeria last week imeenda viral analiwa na mbwa

Bila aibu amejitokeza kuwashangaa wanaomshangaa
 
Inasikitisha sana...

Alafu wamemlisha ya haja haswa, kayala yote na kumeza mpaka yameisha...
 
Hujaiona hio video ndomana unasema hivyo, mm nimeingalia mpaka mda huu akili yangu haipo Sawa ngozi nyeusi tunazaraulika every angle of this stupid earth yani mdada anamiminiwa uharo wote unapitia mdomoni mpaka tumbon anaumeza [emoji22], mbaya saizi sisi Waafrika hatujipendi na hatupendani mfano mm jana nilikuwa nimekaa restaurant flani ipo mikocheni kupata juice [emoji3047] na chakula ila chaajabu wakaja waarabu pale wakamwambia muhudumu wanataka kukaa nilipokaa mm kwahiyo muhudumu akaja akasema niondoke ili wao wakae ilihali mm ndowamenikuta na wote ni customer hakuna beggars Sasa nikamwambia sinyanyuki wewe nipe chakula Nile niondoke yule Dada ikabidi inifokee ati mbona mm sio mwelewa, nikaona sio kesi nikaondoka zangu nikaona wale waarabu wameenda kukaa.
Sio ajabu kabisa kupita manzese ukaona ngozi nyeusi anazaririshwa na mzungu au any white man afu wa swahili wenzako wakamtetea mzungu this is why maeneo mazuri kama Masaki na oysterbay wanakaa foreigners ila sisi Tupo tandika na manzese hata ukienda maeneo ya mjini let say kariakoo, posta, upanga na kisutu more than 90% wanakaa wahindi sio sisi wenye nchi. So sad but days are coming where no body will accept this stupidity maana nchi itafurika damu na anga itakuwa na wingu Zito lenye radi kali huku watu wakidai haki zao including human dignity and right to privacy maana we are bullied to the extent, ipo siku tu ninaamini mioyo ya wanadam itatamani kufa kuliko kuishi kwa hofu na udharirishwaji ambapo risasi na gas wataziona ni maji ya baridi tu maana hakuna mwenye kuzuia hisia za wananchi kama wananchi wakaamua kuisaka haki yao iliyoporwa na wahuni wenye vitengo vikubwa serikalini huku hakuna wanachokifanya, ni majambazi yaliyojivika koti la uongozi lakini inabidi wao ndowaende jera panyaroad wapate ajira. Hakuna jeshi, polisi, mahakama wala chombo chochote cha dola kinachoweza kuzuia will of the people. Ipo siku hata mama mjamzito aliyeko Leba atakuja barabarani kuandamana no matter ni vitisho vingapi vitatolewa and will be the red genocide ever. Africa tutakombolewa na wa africa not whites.

Pole sana but mimi nisingetoka mpaka nimalize kula tena ningekaaa na kuchat kabisa hahah huko kwao watunyanyase na nchini kwangu waninyanyase hapana kwakweli!
 
Pole sana but mimi nisingetoka mpaka nimalize kula tena ningekaaa na kuchat kabisa hahah huko kwao watunyanyase na nchini kwangu waninyanyase hapana kwakweli!
Muhudumu a nakwambia toka wewe utaendelea kukaa?
 
Mbona yapo kila sehemu , Mbona hata tz yanafanyika au kwasababu aliyefanya ni mwarabu?
 
Huko Rwanda mchina kapigwa jela 20 years kwakumchezeshea kichapu mfanyakazi wa kinyarwanda. Kigame amemwambia your money can't buy our dignity Africa is our land. View attachment 2209851

Huyo anaepigwa na mchina, if kama ndio amepigwa na mtu mweusi ingechukuliwa kitu cha kawaida sana. Lakin white people italeta maana tofauti. Waafrika wengi ni wabaguzi tu.
 
Back
Top Bottom