Video ya kuchefua ya Dada wa Kiafrika Dubai

Video ya kuchefua ya Dada wa Kiafrika Dubai

Tuwafundishe watoto wetu kuwa na utu, kulinda na kutunza utu wao. Mungu ametupa thamani kubwa sana tuzilinde thamani zetu.
Kabisa. Miaka ya zamani wazazi wakutoka familia za kipato cha chini walikuwa na mafunzo mazuri sana kwa watoto wao juu ya kulinda utu wao na kuheshimu wengine pia kuridhika na kidogo wakati tukitafuta kile kikubwa tunachotaka.

Ila siku hizi familia za masikini na kipato cha chini ndio wamekuwa kiwanda cha kufyatua matoto yasiyo na discipline na yasiyo na adabu hata kidogo.
 
Mifumo ya dunia sio rafiki sana hasa pale unapoitaka hela kwa nguvu zote..... Ukumbuke hela nyingine ziko kwenye mikono ya mashetani na ufalme wao...
Kabisa pesa ni nguvu. Ni vema ukajua nguvu gani imetumika kutengeneza pesa.
 
Sasa unakula mavi ili upewe hela, hizo hela unazopewa nazo haziwezi kuwa hela bali ni uchafu utakaokuingiza kwenye ufalme wa shetani na wewe kuendelea kuwa mtumwa kwenye ushetani.
Kabisa yaani ni takataka....
 
Nikikumbuka yule mtanzania aliyepigwa India na serikali ikamyuti kama hamna kilichotokea. Naona hiyo video itazidi kuniharibia mood
Acha tu mkuu video ni kinyaa kitupu.
 
Tabia ya kuuza uchi huwaharibu sana ndugu zetu maana hujikuta wanaishi kwenye ulimwengu mwingine na kutumika kama wapagazi kwenye ulimwengu huo, kifupi kwenye ulimwengu wa kawaida wanaonekana washenzi kwa kuuza utu wao na kwenye ulimwengu mwingine wa giza hutumika kama wapagazi.
Kabisa. Na baada ya kumaliza haya matukio hawawezi kurejea katika hali ya kawaida ya kuishi kama wanadamu wengine akili zao hazitakuwa sawa hata kidogo.
 
Dawa ni kuboresha, mishara mazingira, nafasi za biashara na kazi Tanzania.

Hivyo vitu ni vigumu kuisha au kuidhibiti nchi nyingine.
Hapana swala ni maadili. Taifa kama China, walitumia miaka mingi sana kufundisha discipline kwa kizazi chao ili wawe na vizazi kama viwili vya watu wenye discipline ya kuchapa Kazi na kutengeneza thamani kupitia uzalishaji.

Matendo kama rushwa, uvivu, uzembe, uonevu, unyonyaji, dharau, na kadhalika huwa yalipewa adhabu kali sana ambazo katika dunia ya leo tutakimbilia kusema ni kinyume na haki za binadamu. Yote ilifanyika ili kujenga spirit ya watu ambao watasimamia malengo marefu ya vizazi vijavyo na kujenga taifa lao.

Ndio maana China miaka ya 1960 walikuwa kama sisi kiuchumi na hawakuwa mbali na sisi. Ila ndani ya hii miaka wamewekeza katika discipline na waliacha siasa za mazoea na za kuigaiga mataifa mengine na wameweza leo kujenga spirit ya uchapaji kazi leo china ina raia very sharp na wachapakazi tena wenye usongo sana wa maendeleo na hawawendekezi uzembe kwenye taifa lao.

Sisi hapa watu wanaiba mabilioni ya pesa tunawatetea waliwekwa ndani.

Watu wanafuja mali ya uma, wanahujumu miundo mbinu wanaiibia serikali na jamii sisi tunacheka tu na sheria zipo butu.

Watoto wanaishi wanavyotaka na wazazi hawana time. Wanawake na wanaume hawana malengo ya pamoja ni mashindano tu ya kipumbavu.

Wanawake wanawawaona wanaume wa taifa lao ni maadui zao na hivyo hawapo tayari kuwatii ila akija mzungu hata kama ni kapuku mwanamke wa kitanzania atamtii kwa adabu zote.

Hayo mambo machache ndio yanatengeneza kizazi cha namna hii ambacho hakina utetezi katika jamii yake na kuishia kudhalilishwa namna hii.

Unadhani angekuwa ni binti wa uingereza au raia wa kimarekani tena mzungu hiyo video ingeachwa, kwanza hao jamaa wangetafutwa kwa kila namna na wangewajibishwa.
 
Bro hiyo ni scat sex na sio jinai ni ruksa,ni makubaliani tu na malipo ni makubwa
Ruksa kutoka wapi wewe nae acha mambo yako bana kutetea upuuzi. [emoji34] Tangu lini mapenzi yakawa hivyo. Haya ni magonjwa ya akili bana.
 
Wote mliochangia pamoja na mleta uzi inaonekana mpo nyuma ya wakati. Hii kitu mbona imeanzaga muda mrefu sana !!!

Link ya nini mnataka?

Hiyo inaitwa "Dubai Porta Porty Modes". Wadada wananyewa na kumeza kinyesi halafu anapewa pesa mingi.

"NENDA KWENYE YOUTUBE, SEARCH "PORTA PORTY VIDEOS IN DUBAI".

WADADA WANAOHUSIKA NA HUO UJINGA NI KUTOKA MATAIFA TOFAUTI WAKISAKA PESA.

Ukisikia dada anaishi na kufanya kazi Dubai, jiulize mara mbili x 2, wanabangaiza kwa style tofauti sana.

Dubai ni sehemu ya starehe sana na uhayawani mwingi.

Wito kwa wadau, mwanamke/dada yeyote unayemfahamu na kutamani kwenda huko bila ramani mahususi, msihi sana asiende atakuja kukushukuru baadae.

Tunakoelekea binadamu tutaanza kunyonya inya ili kuvuta kinyesi rojorojo freshi cha moto moto kilichopo tumboni na kukimeza ili kulipwa pesa mingi.

Dada zenu wakienda Dubai wakirudi na vichenji mnadhani wanavitoa wapi? Kwa kazi gani?

[emoji1][emoji1][emoji1]
Mmmmmmhmn inatia kinyaa bob acha tu.
 
Kalazimishwa au nimakubaliano yao?. Basi mapenzi ya watu usiyaingilie hata akanyweshwa mikojo
Babu hebu acha kutetea. Kukubaliana jambo haina uhalali wa kuwa jambo hilo ni halali. nikwambie tu si mikataba yote halali.
 
Tanzania na africa kwa ujumla hatuwezi kubadiliana na mmomonyoko wa maadili Kwa vile tunaingiliana na jamii nyingin na tunaruhusu tamaduni zao kuja kwetu mfano waarabu na wazungu ni watu ovyo San
Kila maovu ni wao duniani
 
Binadamu tuna tabu sana, si nyinyi hawahawa mnawalisha shahawa midomoni mwao hawa madada?

Sasa huyo anayemlisha kimba kwa malipo shida iko wapi? Kwani shahawa zina utamu gani? Au zina usafi gani?

Na wale wanyonya kumer hivi mnajuwa kumer ndio kiungo kichafu kuliko kundu?
Haha
 
Back
Top Bottom