Video ya kuchefua ya Dada wa Kiafrika Dubai

Video ya kuchefua ya Dada wa Kiafrika Dubai

Hapana swala ni maadili. Taifa kama China, walitumia miaka mingi sana kufundisha discipline kwa kizazi chao ili wawe na vizazi kama viwili vya watu wenye discipline ya kuchapa Kazi na kutengeneza thamani kupitia uzalishaji.

Matendo kama rushwa, uvivu, uzembe, uonevu, unyonyaji, dharau, na kadhalika huwa yalipewa adhabu kali sana ambazo katika dunia ya leo tutakimbilia kusema ni kinyume na haki za binadamu. Yote ilifanyika ili kujenga spirit ya watu ambao watasimamia malengo marefu ya vizazi vijavyo na kujenga taifa lao.

Ndio maana China miaka ya 1960 walikuwa kama sisi kiuchumi na hawakuwa mbali na sisi. Ila ndani ya hii miaka wamewekeza katika discipline na waliacha siasa za mazoea na za kuigaiga mataifa mengine na wameweza leo kujenga spirit ya uchapaji kazi leo china ina raia very sharp na wachapakazi tena wenye usongo sana wa maendeleo na hawawendekezi uzembe kwenye taifa lao.

Sisi hapa watu wanaiba mabilioni ya pesa tunawatetea waliwekwa ndani.

Watu wanafuja mali ya uma, wanahujumu miundo mbinu wanaiibia serikali na jamii sisi tunacheka tu na sheria zipo butu.

Watoto wanaishi wanavyotaka na wazazi hawana time. Wanawake na wanaume hawana malengo ya pamoja ni mashindano tu ya kipumbavu.

Wanawake wanawawaona wanaume wa taifa lao ni maadui zao na hivyo hawapo tayari kuwatii ila akija mzungu hata kama ni kapuku mwanamke wa kitanzania atamtii kwa adabu zote.

Hayo mambo machache ndio yanatengeneza kizazi cha namna hii ambacho hakina utetezi katika jamii yake na kuishia kudhalilishwa namna hii.

Unadhani angekuwa ni binti wa uingereza au raia wa kimarekani tena mzungu hiyo video ingeachwa, kwanza hao jamaa wangetafutwa kwa kila namna na wangewajibishwa.


umeongea maneno ambayo yamenitia uchungu sana.....inasikitisha sana kuona mweusi mwenzetu anafanya mambo kama hayo eti Fantasy sikui scat anapewa hela...kwa kula mavi?...
 
Fantasy sijui mara Scatt sijui.....tutumieni basi video ya binti wa kiarabu akinyewa na kula mavi ya Mwafrica.....hii ni dharau kuuubwa sana kwa WaAfrica...

Dada zetu wanauza sana utu kwa kuendekeza ukahaba ili waishi maisha mazuri , madada makahaba kutoka Africa wanafanyiwa uhuni mwingi sana na wamejaa sana hayo maeneo wakiuza ****...na wengine ni mwendo wa go and return, wanakwenda kupiga kambi akirudi na $10000 na matanuzi basi mabinti wengine wanamuona ndio role model wao...... Turkey, India, Dubai, China kabla ya Corona, Malyasia japo siku hizi naona hawaendi sijui kwa nini.....yaani ni aibu maana kama machokoraa..
 
angekuwa ni Mmarekani kauwawa na Polisi wa USA basi ungeona wamarekani wa Africa wanavyolalamika huku...

Kuna haja ya kuanza kuchapa bakora dada zetu huku Africa tuwafundishe adabu na kulinda utu wa mtu mweusi...ikiwezekana wabaki tu nyumbani Africa kuliko kwenda kuzurula na kudhalilisha Mwafrica kila uchwao...

Tena hawa dada zetu wa Kitanzania miaka 10 mbele watakuwa janga la dunia, maana wamejaa kila kona ya dunia kufanya ukahaba na wengi wao elimu wala malezi hawana basi wajiendeaendea tu na Wanigeria wanakuja kuwachukua huku na kuwatumia kwenye issue zao.....amkeni mama zetu na dada zetu..
 
Kuna video imesambaa sana kwenye social network especially Twitter. Ambayo kwa mtu yoyote akiitazama kwakweli itamharibia siku.

Katika video hiyo fupi ya dakika kadhaa inamuonyesha mwanadada wa kiafrika akiwa chini ya makalio ya mwanaume mwenye asili ya kiarabu, akipokea gogo (haja kubwa) mithiri ya mtu aliyebombani amekinga mdomo kupokea maji.

Video hiyo mbali na kuonyesha uchafu huo inadhihirisha ni namna gani dada zetu wanadhalilishwa utu wao na kushushwa hadhi na jamii ya watu wa Arabuni.

Kwa mujibu wa wachangiaji wa comments, inasemekana video hiyo imerekodiwa huko Dubai na inasemekana ama kusadikika kuwa wadada hao wamesheriki video hiyo kwa malipo ya kiasi cha fedha ikiwa namna yao ya kujitafutia kipato na fedha kubwa kwa namna ambayo wao wameona ni rahisi.

Nategemea taasisi, asasi na hata mamlaka za kiserikali popote pale hapa duniani zitafuatilia kwa kina ili ukweli wa kina uweze kubainika juu ya video hiyo na wahusika walioshiriki na kushirikishwa waweze kuhojiwa na kubaini haya mambo hutokea katika mazingira gani na makubaliano gani.

Lakini pia wahusika kuchukuliwa hatua kwa kukiuka haki za kibinadamu kwa kumlisha mwanadamu mwingine kinyesi chake bila kuzingatia madhara ya kiafya ambayo yangeweza kumkuta muhusika au wale wanaomzunguka.

Natamani kuiweka hapa ila sina uhakika kama sheria za JF zinanipa kibali kufanya hivyo.
Usipojiheshimu mwenyewe basi ujue utakutana na wasio na heshima na kutokukuheshimu.....
 
Kuna mmoja mpumbavu mwanafunzi toka zambia kaenda kukata viungo ile michezo ya mikatiko ya kingono kama alivyokatika mobeto kwenye wimbo wake wa kupromote ngono jina ex wangu. Kaenda kukatika kwenye makaburi ya wapiganaji wa Nazi vita vya pili vya dunia. Mamlaka ya Urusi imemtia hatiani. Check unapeleka litoto likasome chuo Urusi linaenda aibisha familia kukata viuno kwenye makaburi.
 
Kuna nyingine niliiona instagram dume zima tena baba kabisa lina kata mauno huku waarabu wanashangilia wanalishika matako ni shoga lile, caption inasomeka ndugu yenu yupo saudia arabia anafanya kazi🤣🤣🤣🤣 waarabu wanakula sana matako ya wabongo wengi wazenji na pwani

😂😂😂 MKuu waarabu sio watu wazuri, Hawachelewi kukufanyia kitu Mbaya. Ndugu zetu wengi tamaa zinawaponza
 
Ukisikia mdada yeyote ruti zake Dubai au anakaa Dubai, akili icheze kichwani.

Kama ni mke/mchumba wako anaishi huko, mdau tafadhali chukua hatua, jua umepigwa na kitu kizito kichwani.

Dubai ni habari ya mjini kwa starehe na ufrauni.

Mkuu hapa bongo wadada wengi wanaojifanya wanakwenda Dubai kwa ajili ya Biashara ni majanga matupu, Kwa kweli waume zao wanatilisha huruma
 
Fantasy sijui mara Scatt sijui.....tutumieni basi video ya binti wa kiarabu akinyewa na kula mavi ya Mwafrica.....hii ni dharau kuuubwa sana kwa WaAfrica...

Dada zetu wanauza sana utu kwa kuendekeza ukahaba ili waishi maisha mazuri , madada makahaba kutoka Africa wanafanyiwa uhuni mwingi sana na wamejaa sana hayo maeneo wakiuza ****...na wengine ni mwendo wa go and return, wanakwenda kupiga kambi akirudi na $10000 na matanuzi basi mabinti wengine wanamuona ndio role model wao...... Turkey, India, Dubai, China kabla ya Corona, Malyasia japo siku hizi naona hawaendi sijui kwa nini.....yaani ni aibu maana kama machokoraa..
Tatizo ya waafrica tunaminya ya wenyewe kwa wenyewe. Kazi hatupeani wacha wadada wakasake tonge huko maana huku mtaani ata kazi ukitaka upewe maboss wanataka wakukule kwa mshahara wa laki tatu
 
Mleta mada acha kiherehere, Wenzio wapo kwenye Starehe zao wewe unapata shida. Kuna alielazimishwa hapo? Si wanafanya yao kwa makubaliano.
 
Back
Top Bottom