jinola hamza
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 657
- 441
We juma lokole ao esma ao mama dangote?? Hebu tumia ID yako original
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasikia eti ni original kutoja tandale
HahahahahaBora ata harmonize kabadilisha kidogo ila domo kanya kabisa ... hahaha mashabiki wa domo wana akili kama za mama dangote na esma
Na wimbo wa baba lao Domo aliiga kwa nani?
Mmakonde amejua kuwanyoosha wapiga ramli.Jamaa anajipeleka shimoni
Safi sana,nasubiri comments za mashabiki wa dai.Alicopy nigeria huko
Wataishia kutukanaSafi sana,nasubiri comments za mashabiki wa dai.
endiwoAnawapeleka vibaya sana wametaka wamuone anapata shida kama mavoko
Endelea kukomaa na mawazo yako yaliyo mgando...Unasamanisha nyegezi na harmonize ata uyo boss weni hamfikiy harmonize ..kayale atakama yananuka
Mambo ya WCB hayo kuponda wengine hawataki wengine wafanikiwe
Mmakonde amejua kuwanyoosha wapiga ramli.
Domo aanguke mara ngapi??! kijana!Kwa style hii Mondi atabaki mawinguni miaka 800..
Ukiangalia video mpya ya Harmonize baadhi ya scenes/shots ni zile zile za kwenye nyimbo ya Baba Lao zimerudiwa save to trivial changes.
Sasa nashindwa kuelewa huyu mtu amerudia kwa makusudi ili aongelewe au ndio yeye na Director wa hiyo Video hawana ubunifu?
Kwa style hii, yale majinga ya kule mawingu yanaexpect huyu Rajabu ndio wakumuangusha Diamond platnumz kwelii!!!
Kwa style hii Mondi atabaki mawinguni miaka 800..
Ukiangalia video mpya ya Harmonize baadhi ya scenes/shots ni zile zile za kwenye nyimbo ya Baba Lao zimerudiwa save to trivial changes.
Sasa nashindwa kuelewa huyu mtu amerudia kwa makusudi ili aongelewe au ndio yeye na Director wa hiyo Video hawana ubunifu?
Kwa style hii, yale majinga ya kule mawingu yanaexpect huyu Rajabu ndio wakumuangusha Diamond platnumz kwelii!!!