hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Asante mkuu
Nimekusoma mkuu. Vema Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekusoma mkuu. Vema Sana.
angalau yope inamuhusisha Diamond ...Wabongo kuiga iga ndio zetu..hiyo baba lao yenyewe kuanzia audio mpaka video ina mahadhi ya YOPE.....
Tujifunze kuwa tunasema kweli hata kama ukweli unauma
Tatizo watu wamekariri video ikiwa youtube ikapata views basi mwenye video anaingiza hela.Viewers zinasaidia nini? Less than $1 per 1,000 views?
Usijekuamini kwamba wasanii wanapata hela kutoka YouTube, ni kiwango kiduchu sana akitoshi ata kununua Tecno K7.
duh jamaa ni wa kukopi kila siku.Uteam unawasumbua tu . Kushoto kulia ilivyotoka tu mlisema mbaya ila ngoma imetusua kinoma .. imetoka video..tena mnakuja na copy ya baba Lao .. ila sio mbaya mnavyomjadili yeye anazidi kukua kimziki tuu .. View attachment 1280328
hiyo ya juu ni video gani?Acheni uongooo..video haijakopiwa kokote. haiendani kabisaa na hizo video mnazolinganisha kiufupi video kaliiiii.
Naona humu wamejazana mashabiki wa Wcb kaziyao kuponda tyuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtoto alewavyo ndivyo akuavyo
Kuna dogo fulani alikuwa anaiga mwandiko wako kipindi haupo. Sema yeye alikuwa anaandika sana mashudu.Asante mkuu
Jina lake linaanzia na CO au?Kuna dogo fulani alikuwa anaiga mwandiko wako kipindi haupo. Sema yeye alikuwa anaandika sana mashudu.
Mbaya aisee mods walifanya yao ila itafahamika tu mpwa 😂😂Mpwa salama...habari yako