Video ya Kusikitisha: Kiwanja cha wazi cha michezo chauzwa, raia wamlilia Hayati Magufuli

Video ya Kusikitisha: Kiwanja cha wazi cha michezo chauzwa, raia wamlilia Hayati Magufuli

Magufuli amekufa wanataka afufuke aje kuwatatulia hilo tatizo?
Sasa hivi kuna uongozi mwingine kama hawataki kueleza changamoto yao kwa uongozi uliopo basi wafie mbali wakazikwe Chato
Wewe ni t*ko tena la msudan wa kusini.
Anayeishi kambi ya wakimbizi.
 
Magufuli amekufa wanataka afufuke aje kuwatatulia hilo tatizo?
Sasa hivi kuna uongozi mwingine kama hawataki kueleza changamoto yao kwa uongozi uliopo basi wafie mbali wakazikwe Chato
Ndioooooo
 
kiwanja/ viwanja ulivyotaja vilichukuliwa tangu miaka ya 2000 mwanzoni huko. mtoni kwa azizi ally kilikuwa ni kiwanja cha ccm mpaka ilipo zahanati leo kikauzwa kabla hata huyo mama hajatoka kwao kuja hapa.... leo mnamlaumu kwa lipi?
Mwembeyanga temeke wamechukua, kule mchicha nyuma ya tazara wamechukua, pale temeke karibu na kwa azizi ally wamepiga pia.

Yaani mkuu wa nchi kashindwa kulinda hata maeneo ya watu kupumzika na kufanya michezo. Kisha bado anajiona anatosha kwenye urais.
 
INAHATARISHA SANA KUTOKUWEPO
MAENEO YA WAZI,WATU KUPUMZIKA KUFANYA MAZOEZI,MICHEZO NA WATOTO KUCHEZA
HIVI HII SERIKALI MBONA INACHUKULIA HAYA MAMBO POA POA

ova
 
Viwanja vya wazi vilivyouzwa
1. ABC TAZARA (temeke)
2.Temeke mwisho (file) karibu na stand ya kusini
3.Mwembeyanga kiwanja #1
4.Mwembeyanga kiwanja #2
5. Kuna kimoja jina nimelisahau kiko karibu na Airport.
Orodhesheni mnavyovijua nyie
 
Tumerudi kwenye uchumi fake kwa kasi ya ajabu,hela za dezo ndio ziko kwenye mzunguko now watu hawafanyi kazi wanategemea dili za wizi na ufisadi.ndio maana sasa hivi yale matamasha ya muziki ya kiingilio milioni 10 kwa meza ya watu wawili yamerudi kwa kasi.PESA HAINA THAMANI TENA HELA CHAFU IKO KWENYE MZUNGUKO,hatuna rais kwa sasa
Ni mwendo wa kutakatisha fedha mwanzo mwisho.
 
Magufuli huyu huyu aliyetuingiza Chaka la 360 za makinikia!
 
Kuna mambo yanasikitisha sana...

Ila huyo ukimfuata hana ubavu wa kufyatua risasi, unampa mkongoto vizuri sana...
 
Kuna mambo yanasikitisha sana...

Ila huyo ukimfuata hana ubavu wa kufyatua risasi, unampa mkongoto vizuri sana...
Watoto,watu hawana sehemu za kwenda kucheza na kupumzika

Sasa watoto wakacheze wapi,si watakuwa wanakwenda vichochoroni
Huko.....mwisho wa siku watakuwa wanajingiza kwenye mambo siyo

Alafu wahusika wako kimya tu

Ova
 
Naam ama kwa hakika watu wanalamba asali aisee, wanakula kwa urefu wa kamba zao...ukiwaskia wahusika sasa kwenye majukwaa.

"VIJANA CHEZENI MICHEZO ILI KUJENGA AFYA BORA...BADALA YA KUJIUNGA NA VIKUNDI VYA UHALIFU TUMIENI MUDA HUO KUCHEZA MICHEZO, WAZAZI WARUHUSUNI WATOTO WENU WACHEZE MICHEZO WAJE KUWA KINA SAMATTA WA BAADAYE,MICHEZO NI AJIRA...CCM OYEEE,SAMIA OYEEE"

Yes hizo ni kauli za unafikinafiki sababu nchi inaenda kinafiki imekuwa jamhuri ya machawa, mavyawa mengine mababu kabisa maprofesa na yana vitambi ila machawa balaa, kudadadeeeki

Cheki hili bepari lilivyosepa na likiwanja likubwa namna hii, aisee hatari sana, shwaaaaaaaaa, awamu ya sita hiyo#UNANIJUA MIMI NANI WEWE?UNAIJUA V-8 WEWE?

Poleni sana wana yombo argentina, wanaupiga mwingi sana awamu ya sita





View attachment 2376217View attachment 2376227View attachment 2376230
Pale dalali wa Ardhi anapopewa dhamana ya kulinda ardhi ya umma tena Kwa nafasi ya uwaziiiiii!!!

Rizaaa Moko bila MBELEKO ya wazazi angekuwa jobless tu kama vijana wengine wengi tu mtaani.
 
Back
Top Bottom