Wewe ni t*ko tena la msudan wa kusini.Magufuli amekufa wanataka afufuke aje kuwatatulia hilo tatizo?
Sasa hivi kuna uongozi mwingine kama hawataki kueleza changamoto yao kwa uongozi uliopo basi wafie mbali wakazikwe Chato
NdiooooooMagufuli amekufa wanataka afufuke aje kuwatatulia hilo tatizo?
Sasa hivi kuna uongozi mwingine kama hawataki kueleza changamoto yao kwa uongozi uliopo basi wafie mbali wakazikwe Chato
Misukule ya JPM mtatukana sana, ila ndio hivyo, ameshakufa na hatarudiWewe ni t*ko tena la msudan wa kusini.
Anayeishi kambi ya wakimbizi.
Mwembeyanga temeke wamechukua, kule mchicha nyuma ya tazara wamechukua, pale temeke karibu na kwa azizi ally wamepiga pia.
Yaani mkuu wa nchi kashindwa kulinda hata maeneo ya watu kupumzika na kufanya michezo. Kisha bado anajiona anatosha kwenye urais.
Bwana wee, tulipigwa.Walipomtoa Lukuvi kwenye hiyo wizara hamkuwa mnaelewa nini kinaendelea?
Ni mwendo wa kutakatisha fedha mwanzo mwisho.Tumerudi kwenye uchumi fake kwa kasi ya ajabu,hela za dezo ndio ziko kwenye mzunguko now watu hawafanyi kazi wanategemea dili za wizi na ufisadi.ndio maana sasa hivi yale matamasha ya muziki ya kiingilio milioni 10 kwa meza ya watu wawili yamerudi kwa kasi.PESA HAINA THAMANI TENA HELA CHAFU IKO KWENYE MZUNGUKO,hatuna rais kwa sasa
Watoto,watu hawana sehemu za kwenda kucheza na kupumzikaKuna mambo yanasikitisha sana...
Ila huyo ukimfuata hana ubavu wa kufyatua risasi, unampa mkongoto vizuri sana...
Pale dalali wa Ardhi anapopewa dhamana ya kulinda ardhi ya umma tena Kwa nafasi ya uwaziiiiii!!!Naam ama kwa hakika watu wanalamba asali aisee, wanakula kwa urefu wa kamba zao...ukiwaskia wahusika sasa kwenye majukwaa.
"VIJANA CHEZENI MICHEZO ILI KUJENGA AFYA BORA...BADALA YA KUJIUNGA NA VIKUNDI VYA UHALIFU TUMIENI MUDA HUO KUCHEZA MICHEZO, WAZAZI WARUHUSUNI WATOTO WENU WACHEZE MICHEZO WAJE KUWA KINA SAMATTA WA BAADAYE,MICHEZO NI AJIRA...CCM OYEEE,SAMIA OYEEE"
Yes hizo ni kauli za unafikinafiki sababu nchi inaenda kinafiki imekuwa jamhuri ya machawa, mavyawa mengine mababu kabisa maprofesa na yana vitambi ila machawa balaa, kudadadeeeki
Cheki hili bepari lilivyosepa na likiwanja likubwa namna hii, aisee hatari sana, shwaaaaaaaaa, awamu ya sita hiyo#UNANIJUA MIMI NANI WEWE?UNAIJUA V-8 WEWE?
Poleni sana wana yombo argentina, wanaupiga mwingi sana awamu ya sita
View attachment 2376217View attachment 2376227View attachment 2376230