Hii video inahitaji ujasiri kuitizama, wanajeshi wa Urusi wajichukua video wakimchinja mfungwa wa vita mithili ya wale magaidi wa kijihadi ambao huchinja watu vichwa kisa dini.
Yaani kama kuna Mkristo bado anawashabikia hawa jamaa utakua umechizi. Jambo la hovyo sana kuingia kwenye nchi ya watu na kuwachinja hivi kama mbuzi, dunia iwape support hawa Ukraine kabisa bila kulegeza.
=========
Russian military from the Sabotage Assault Reconnaissance Group (DShRG) “Rusich” cut off the head of a Ukrainian war prisoner and took a video of the execution on April 12, 2023.
Russian war criminals posted a video of the brutal murder of a Ukrainian soldier on social networks with the caption “You’ll be surprised how many such videos will appear.”
The Head of the Office of the President of Ukraine Volodymyr Zelensky Andriy Yermak reacted to tris terrible war crime.
There are many war criminals in the service of the Russian DShRG “Rusich” who have repeatedly killed Ukrainian military. This unit is headed by the Russian neo-Nazi, terrorist Alexey Milchakov.
Video of the crimes of Russian soldiers have repeatedly appeared on the Internet. How many executions remained off-screen is unknown. The UN confirmed the execution of 15 Ukrainian prisoners of war by the Russian army, as well as the use of torture.
uaposition.com