Video ya mfungwa wa vita akikatwa kichwa na wanajeshi wa Urusi

Video ya mfungwa wa vita akikatwa kichwa na wanajeshi wa Urusi

Hii video inahitaji ujasiri kuitizama, wanajeshi wa Urusi wajichukua video wakimchinja mfungwa wa vita mithili ya wale magaidi wa kijihadi ambao huchinja watu vichwa kisa dini...
Dah hadi huruma kwenye vita soldier yake risasi na Bomu siyo ivyo walivyofanya na vile walishamkamata kulikuwa hakun namna yoyote kumuuwa ivyoo.

Anyway ndyo vita mda mwingine wale wanaoona vifo vya wenzao hujikuta wanakuwa na rohoo za kishetani ndani yao ndyo maana wakitoka vitani wanashauriwa waweke sehemu wapate cancelling ata least three mouth
 
Dah hadi huruma kwenye vita soldier yake risasi na Bomu siyo ivyo walivyofanya na vile walishamkamata kulikuwa hakun namna yoyote kumuuwa ivyoo. Anyway ndyo vita mda mwingine wale wanaoona vifo vya wenzao hujikuta wanakuwa na rohoo za kishetani ndani yao ndyo maana wakitoka vitani wanashauriwa waweke sehemu wapate cancelling ata least three mouth
Kabla ya risasi huu ndio ulikuwa uuaji pia, msisahau , vita zili anza kabla ya risasi
 
Uzuri Hawa Ni wazungu,wala dunia haitasimama kidete kulaani na kuwaita magaidi,ila Jambo hili lingefanywa na watu wenye madevu ama wavaa kanzu,dunia ingewaka Moto na vita kubwa ya ugaidi ingetangazwa!!

Unyama ni unyama tu,just imagine Askari huyo ana mke na watoto,just imagine wanaona mitandaoni clip kama hii!!
 
Uzuri Hawa Ni wazungu,wala dunia haitasimama kidete kulaani na kuwaita magaidi,ila Jambo hili lingefanywa na watu wenye madevu ama wavaa kanzu,dunia ingewaka Moto na vita kubwa ya ugaidi ingetangazwa!!

Unyama ni unyama tu,just imagine Askari huyo ana mke na watoto,just imagine wanaona mitandaoni clip kama hii!!
Uzuri jambo hili lina fanyika sebuleni kwao, kweli Mungu sio mzungu
 
Usiingize uislam kwenye mambo ya kisiasa. Vita ni vita haina huruma na mtu. Kama inakuuma sana nenda katetee sio unakazanisha vidole kuandika vitu usivo na uhakika navyo
 
Hii video inahitaji ujasiri kuitizama, wanajeshi wa Urusi wajichukua video wakimchinja mfungwa wa vita mithili ya wale magaidi wa kijihadi ambao huchinja watu vichwa kisa dini.

Yaani kama kuna Mkristo bado anawashabikia hawa jamaa utakua umechizi. Jambo la hovyo sana kuingia kwenye nchi ya watu na kuwachinja hivi kama mbuzi, dunia iwape support hawa Ukraine kabisa bila kulegeza.

=========

Russian military from the Sabotage Assault Reconnaissance Group (DShRG) “Rusich” cut off the head of a Ukrainian war prisoner and took a video of the execution on April 12, 2023.

Russian war criminals posted a video of the brutal murder of a Ukrainian soldier on social networks with the caption “You’ll be surprised how many such videos will appear.”

The Head of the Office of the President of Ukraine Volodymyr Zelensky Andriy Yermak reacted to tris terrible war crime.

There are many war criminals in the service of the Russian DShRG “Rusich” who have repeatedly killed Ukrainian military. This unit is headed by the Russian neo-Nazi, terrorist Alexey Milchakov.

Video of the crimes of Russian soldiers have repeatedly appeared on the Internet. How many executions remained off-screen is unknown. The UN confirmed the execution of 15 Ukrainian prisoners of war by the Russian army, as well as the use of torture.

uaposition.com
Itakuwa aliwasumbua sana na kuua wenzao vibaya, kisasi ni haki.
 
Sidhani kama wazungu wanaweza kufanya mauaji ya kinyama hivyo huyo mchinjaji asipokuwa mwarabu ni mchechnya.
 
Hii video inahitaji ujasiri kuitizama, wanajeshi wa Urusi wajichukua video wakimchinja mfungwa wa vita mithili ya wale magaidi wa kijihadi ambao huchinja watu vichwa kisa dini.

Yaani kama kuna Mkristo bado anawashabikia hawa jamaa utakua umechizi. Jambo la hovyo sana kuingia kwenye nchi ya watu na kuwachinja hivi kama mbuzi, dunia iwape support hawa Ukraine kabisa bila kulegeza.

=========

Russian military from the Sabotage Assault Reconnaissance Group (DShRG) “Rusich” cut off the head of a Ukrainian war prisoner and took a video of the execution on April 12, 2023.

Russian war criminals posted a video of the brutal murder of a Ukrainian soldier on social networks with the caption “You’ll be surprised how many such videos will appear.”

The Head of the Office of the President of Ukraine Volodymyr Zelensky Andriy Yermak reacted to tris terrible war crime.

There are many war criminals in the service of the Russian DShRG “Rusich” who have repeatedly killed Ukrainian military. This unit is headed by the Russian neo-Nazi, terrorist Alexey Milchakov.

Video of the crimes of Russian soldiers have repeatedly appeared on the Internet. How many executions remained off-screen is unknown. The UN confirmed the execution of 15 Ukrainian prisoners of war by the Russian army, as well as the use of torture.

uaposition.com
Sasa kuchinja mashoga kuna shida gani?wacha mashoga wachinjwe famchezo nini hata wewe ukileta ushoga wako kule utafanywa hivyo hivyo
 
Siku ya jana Jumanne video ya kutisha ilianza kusambazwa kwenye mitandao ikionesha mwanaume aliyevaa magwanda ya kijeshi huku akiwa amevaa utepe mweupe (ambao kwa kawaida hutumiwa kama utambulisho wa mwanajeshi wa Urusi nchini Ukraine) akimkata kichwa mwanaume aliye hai aliyekuwa amevaa sare ya jeshi la Ukraine.

Nyuso za watu katika video hiyo ya dakika moja na nusu zilifunikwa na barakoa. Mmoja anayeaminiwa kuwa ni mwanajeshi Mrusi anaonekana akizungumza kupitia radio ya mawasiliano na kutoa maagizo kwa mwanajeshi wa pili (ambaye anatekeleza mauaji kwa kutumia kisu).

Picha hiyo pia inaonesha jinsi watu wawili wanavyoelezea mbele ya kamera jinsi wanavyomvua mwanajeshi wa Ukraine fulana ya kujikinga na risasi, Utepe wa rangi ya manjano unaonekana kwenye sare ya jeshi ya mtu ambaye anauawa (utepe wa rangi ya manjano hutumiwa na wanajeshi wa Ukraine vitani).

Video hiyo inaonesha majani ya kijani kibichi, kwahiyo huenda ilirekodiwa nyakati zilizopita, kwani kwa sasa hali ya hewa ni ya baridi kali.
ni kawaida Sana kwa soldiers ,raia atashtuka bt kwa soldiers ni kawaida Sana.
 
Hii video inahitaji ujasiri kuitizama, wanajeshi wa Urusi wajichukua video wakimchinja mfungwa wa vita mithili ya wale magaidi wa kijihadi ambao huchinja watu vichwa kisa dini.

Yaani kama kuna Mkristo bado anawashabikia hawa jamaa utakua umechizi. Jambo la hovyo sana kuingia kwenye nchi ya watu na kuwachinja hivi kama mbuzi, dunia iwape support hawa Ukraine kabisa bila kulegeza.

=========

Russian military from the Sabotage Assault Reconnaissance Group (DShRG) “Rusich” cut off the head of a Ukrainian war prisoner and took a video of the execution on April 12, 2023.

Russian war criminals posted a video of the brutal murder of a Ukrainian soldier on social networks with the caption “You’ll be surprised how many such videos will appear.”

The Head of the Office of the President of Ukraine Volodymyr Zelensky Andriy Yermak reacted to tris terrible war crime.

There are many war criminals in the service of the Russian DShRG “Rusich” who have repeatedly killed Ukrainian military. This unit is headed by the Russian neo-Nazi, terrorist Alexey Milchakov.

Video of the crimes of Russian soldiers have repeatedly appeared on the Internet. How many executions remained off-screen is unknown. The UN confirmed the execution of 15 Ukrainian prisoners of war by the Russian army, as well as the use of torture.

uaposition.com
Propaganda za Ukraine kuonyesha dunia kuwa warusi wanafanya ukatili dhidi ya binadamu lakini urusi aiko hivyo! usiingie kwenye mtego! ndiyo maana vyombo vya habari avijaipa trend hiyo video utaikuta social media tu!
 
Itakua jamaa ana uchungu huyo msoja aliyechinjwa alimuulia wenzake vibaya. Hivyo ni kisasi.
 
Yaani Urusi ukatili alioufanya Ukraine wa kuivamia kuchukua maeneo na kuhamisha watoto na kuua waukraine kaona haitoshi kaamua kuchinja kabisa hivi kosa Ukraine haswa ni nini ni hilo tu kutaka kujiunga na NATO
 
Hivi kosa la Ukraine haswa ni nini mpaka avamiwe na kutendewa ukatili kama huu ni huu huu kweli wa kujiunga na NATO hivi Putin anajiona yeye ataishi milele kwenye hii dunia
 
Hivi kosa la Ukraine haswa ni nini mpaka avamiwe na kutendewa ukatili kama huu ni huu huu kweli wa kujiunga na NATO hivi Putin anajiona yeye ataishi milele kwenye hii dunia
Umekula lakini??Punguza povu! Hii siyo vita ya Kagera punguza mihemko.
 
Kwamba kuchinja watu vitani ni uvumbuzi wa waislam,warumi, waingereza, wafaransa nk hawakuwahi kuchinja watu!?..au unazungumzia tangu uvunje ungo!?

Nyie ndio mnayafanya hadi leo kisa dini.....ni uzombi wa enzi zile
 
Back
Top Bottom