Video ya mfungwa wa vita akikatwa kichwa na wanajeshi wa Urusi

Hii video inahitaji ujasiri kuitizama, wanajeshi wa Urusi wajichukua video wakimchinja mfungwa wa vita mithili ya wale magaidi wa kijihadi ambao huchinja watu vichwa kisa dini...
Dah hadi huruma kwenye vita soldier yake risasi na Bomu siyo ivyo walivyofanya na vile walishamkamata kulikuwa hakun namna yoyote kumuuwa ivyoo.

Anyway ndyo vita mda mwingine wale wanaoona vifo vya wenzao hujikuta wanakuwa na rohoo za kishetani ndani yao ndyo maana wakitoka vitani wanashauriwa waweke sehemu wapate cancelling ata least three mouth
 
Kabla ya risasi huu ndio ulikuwa uuaji pia, msisahau , vita zili anza kabla ya risasi
 
Uzuri Hawa Ni wazungu,wala dunia haitasimama kidete kulaani na kuwaita magaidi,ila Jambo hili lingefanywa na watu wenye madevu ama wavaa kanzu,dunia ingewaka Moto na vita kubwa ya ugaidi ingetangazwa!!

Unyama ni unyama tu,just imagine Askari huyo ana mke na watoto,just imagine wanaona mitandaoni clip kama hii!!
 
Kudadadeki kweli vita isikie kwa jirani tu.
 
Uzuri jambo hili lina fanyika sebuleni kwao, kweli Mungu sio mzungu
 
Usiingize uislam kwenye mambo ya kisiasa. Vita ni vita haina huruma na mtu. Kama inakuuma sana nenda katetee sio unakazanisha vidole kuandika vitu usivo na uhakika navyo
 
Itakuwa aliwasumbua sana na kuua wenzao vibaya, kisasi ni haki.
 
Sidhani kama wazungu wanaweza kufanya mauaji ya kinyama hivyo huyo mchinjaji asipokuwa mwarabu ni mchechnya.
 
Sasa kuchinja mashoga kuna shida gani?wacha mashoga wachinjwe famchezo nini hata wewe ukileta ushoga wako kule utafanywa hivyo hivyo
 
ni kawaida Sana kwa soldiers ,raia atashtuka bt kwa soldiers ni kawaida Sana.
 
Propaganda za Ukraine kuonyesha dunia kuwa warusi wanafanya ukatili dhidi ya binadamu lakini urusi aiko hivyo! usiingie kwenye mtego! ndiyo maana vyombo vya habari avijaipa trend hiyo video utaikuta social media tu!
 
Itakua jamaa ana uchungu huyo msoja aliyechinjwa alimuulia wenzake vibaya. Hivyo ni kisasi.
 
Yaani Urusi ukatili alioufanya Ukraine wa kuivamia kuchukua maeneo na kuhamisha watoto na kuua waukraine kaona haitoshi kaamua kuchinja kabisa hivi kosa Ukraine haswa ni nini ni hilo tu kutaka kujiunga na NATO
 
Hivi kosa la Ukraine haswa ni nini mpaka avamiwe na kutendewa ukatili kama huu ni huu huu kweli wa kujiunga na NATO hivi Putin anajiona yeye ataishi milele kwenye hii dunia
 
Hivi kosa la Ukraine haswa ni nini mpaka avamiwe na kutendewa ukatili kama huu ni huu huu kweli wa kujiunga na NATO hivi Putin anajiona yeye ataishi milele kwenye hii dunia
Umekula lakini??Punguza povu! Hii siyo vita ya Kagera punguza mihemko.
 
Kwamba kuchinja watu vitani ni uvumbuzi wa waislam,warumi, waingereza, wafaransa nk hawakuwahi kuchinja watu!?..au unazungumzia tangu uvunje ungo!?

Nyie ndio mnayafanya hadi leo kisa dini.....ni uzombi wa enzi zile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…