Uzuri Hawa Ni wazungu,wala dunia haitasimama kidete kulaani na kuwaita magaidi,ila Jambo hili lingefanywa na watu wenye madevu ama wavaa kanzu,dunia ingewaka Moto na vita kubwa ya ugaidi ingetangazwa!!
Unyama ni unyama tu,just imagine Askari huyo ana mke na watoto,just imagine wanaona mitandaoni clip kama hii!!
Wanadai alikuwa anawachinja pia na yeye hivyo wameona wamchinje na yeyeDah hadi huruma kwenye vita soldier yake risasi na Bomu siyo ivyo walivyofanya na vile walishamkamata kulikuwa hakun namna yoyote kumuuwa ivyoo. Anyway ndyo vita mda mwingine wale wanaoona vifo vya wenzao hujikuta wanakuwa na rohoo za kishetani ndani yao ndyo maana wakitoka vitani wanashauriwa waweke sehemu wapate cancelling ata least three mouth
Hiyo video ipo wapi?Siku ya jana Jumanne video ya kutisha ilianza kusambazwa kwenye mitandao ikionesha mwanaume aliyevaa magwanda ya kijeshi huku akiwa amevaa utepe mweupe (ambao kwa kawaida hutumiwa kama utambulisho wa mwanajeshi wa Urusi nchini Ukraine) akimkata kichwa mwanaume aliye hai aliyekuwa amevaa sare ya jeshi la Ukraine...
kwahiyo kuchinja ni sawa ? tuhararishe kisa Urusi pia wamechinjaHapo kamchinja haitakua issue
Ila ingekua wale watu wanaojinasibu na dini yetu wangetamka tu maneno yale wangechinja
Ungeona povu
hi video inaenda kuamsha chuki ndan ya Urusi kwa vitendo vya jeshi lao , Serikali ya Putin itajaribu kuzuia mafuriko kwa mkono ila muda ukifika Putin atahahaa kama Hitler na NapoleonSiku ya jana Jumanne video ya kutisha ilianza kusambazwa kwenye mitandao ikionesha mwanaume aliyevaa magwanda ya kijeshi huku akiwa amevaa utepe mweupe (ambao kwa kawaida hutumiwa kama utambulisho wa mwanajeshi wa Urusi nchini Ukraine) akimkata kichwa mwanaume aliye hai aliyekuwa amevaa sare ya jeshi la Ukraine.
Nyuso za watu katika video hiyo ya dakika moja na nusu zilifunikwa na barakoa. Mmoja anayeaminiwa kuwa ni mwanajeshi Mrusi anaonekana akizungumza kupitia radio ya mawasiliano na kutoa maagizo kwa mwanajeshi wa pili (ambaye anatekeleza mauaji kwa kutumia kisu).
Picha hiyo pia inaonesha jinsi watu wawili wanavyoelezea mbele ya kamera jinsi wanavyomvua mwanajeshi wa Ukraine fulana ya kujikinga na risasi, Utepe wa rangi ya manjano unaonekana kwenye sare ya jeshi ya mtu ambaye anauawa (utepe wa rangi ya manjano hutumiwa na wanajeshi wa Ukraine vitani).
Video hiyo inaonesha majani ya kijani kibichi, kwahiyo huenda ilirekodiwa nyakati zilizopita, kwani kwa sasa hali ya hewa ni ya baridi kali.
Video ipo pia inatisha Sanaa,wanachokonoa mifupa kama wanachinja ng'ombePro Russia ni kawaida Yao maneno mengi ushahidi hamna.
Video ipo pia inatisha Sanaa,wanachokonoa mifupa kama wanachinja ng'ombe
Iko wapi hiyo video,huu ni udaku mwingine dhidi ya Urusi.Ni harakati tulizozizoea za kuipaka matope Urusi.Hata kama ipo,it is likely ni a Ukranian Army video.Urusi ni a very sane nation,they cannot do that.Ukraine ndio wanaoweza kufanya uovu huo.Siku ya jana Jumanne video ya kutisha ilianza kusambazwa kwenye mitandao ikionesha mwanaume aliyevaa magwanda ya kijeshi huku akiwa amevaa utepe mweupe (ambao kwa kawaida hutumiwa kama utambulisho wa mwanajeshi wa Urusi nchini Ukraine) akimkata kichwa mwanaume aliye hai aliyekuwa amevaa sare ya jeshi la Ukraine.
Nyuso za watu katika video hiyo ya dakika moja na nusu zilifunikwa na barakoa. Mmoja anayeaminiwa kuwa ni mwanajeshi Mrusi anaonekana akizungumza kupitia radio ya mawasiliano na kutoa maagizo kwa mwanajeshi wa pili (ambaye anatekeleza mauaji kwa kutumia kisu).
Picha hiyo pia inaonesha jinsi watu wawili wanavyoelezea mbele ya kamera jinsi wanavyomvua mwanajeshi wa Ukraine fulana ya kujikinga na risasi, Utepe wa rangi ya manjano unaonekana kwenye sare ya jeshi ya mtu ambaye anauawa (utepe wa rangi ya manjano hutumiwa na wanajeshi wa Ukraine vitani).
Video hiyo inaonesha majani ya kijani kibichi, kwahiyo huenda ilirekodiwa nyakati zilizopita, kwani kwa sasa hali ya hewa ni ya baridi kali.
Mjinga kweli wewe,unategemea tuamini maneno matupu!Video ipo pia inatisha Sanaa,wanachokonoa mifupa kama wanachinja ng'ombe
Hio wala isiwe excuse ya kuwakashfu Muslim,,hio ni vita ya watu wanaojitambua na wanaojua maana ya kuishi maisha yao wenyewe,,Urusi ni wakristo wa Orthodox hawako chini ya Roman ambayo inaongozwa na Mama Fransis,,Na wamemkataa.Marekani na ulaya zimeshaukataa ukristo na demokrasia ya kipumbaf chini ya udanganyifu wa humani right na civil right ndio mwongozo wao.Kwa hio unatakiwa ukumbuke kuuwa watu wachafu vitani ni haki kabisa na wazungu wa ulaya na marekani wamekuwa easy target na ni haki yao kufa kwa aina yoyote ya kifo...Mkumbuke nabii samweli alivyomchinja mfalme Agagi.Russia wanafanya jambo lisilohitajika kupingwa na yoyote mwenye kupenda asili,,ustaarabu na common sense.Wameanza kuiga yale madude yenu....
Hio wala isiwe excuse ya kuwakashfu Muslim,,hio ni vita ya watu wanaojitambua na wanaojua maana ya kuishi maisha yao wenyewe,,Urusi ni wakristo wa Orthodox hawako chini ya Roman ambayo inaongozwa na Mama Fransis,,Na wamemkataa.Marekani na ulaya zimeshaukataa ukristo na demokrasia ya kipumbaf chini ya udanganyifu wa humani right na civil right ndio mwongozo wao.Kwa hio unatakiwa ukumbuke kuuwa watu wachafu vitani ni haki kabisa na wazungu wa ulaya na marekani wamekuwa easy target na ni haki yao kufa kwa aina yoyote ya kifo...Mkumbuke nabii samweli alivyomchinja mfalme Agagi.Russia wanafanya jambo lisilohitajika kupingwa na yoyote mwenye kupenda asili,,ustaarabu na common sense.
Kuna tofauti Gani kuchinja na kusambaratisha kwa Bomu?..urusi anafanya sababu ya nini,dini!?Nyie ndio mnayafanya hadi leo kisa dini.....ni uzombi wa enzi zile
K
Nyie ndio mnayafanya hadi leo kisa dini.....ni uzombi wa enzi zile
Kuna tofauti Gani kuchinja na kusambaratisha kwa Bomu?..urusi anafanya sababu ya nini,dini!?
Mimi wala sio Mwislam,,ni mkristo kabisa ila nimekupa mfano wa samweli Nabii ili ujue niko kibiblia zaidi.Kuuwa watu wa Ukraine wanaoungwa mkono na Nato ni jambo sahihi hasa kutokana na mataifa yaa kimagharibi kuutupa ukristo na kuwakataa wale walioamua kubaki na Imani,,Fuatilia kinachoendelea Canada wachungaji wanafungwa jela kwa kusema ushoga ni dhambi,,leo ukienda uingereza mahubiri yako yanakuwa censored kwamba una vitu unaruhusiwa kuongea na vingine uvinyamazie usiviite dhambi mfano huo ushoga,,na ukigundulika umekiuka unakuwa deported,,Marekani kanisa linanyimwa uhuru kwa kukataa abortion na ushoga vandalization ya makanisa iko juu..Unawaungaje mkono waliberali?? Mimi ni mkristo na niko upande wa urusi na wote wanaopenda common sense,,,sio wapumbaf wasiojitambua wanaosema wao ni open minded.Bora umesema mwenyewe ni vita vya watu wanaojitambua, ila nyie shida yenu huwa nini mnapokata watu vichwa kisa dini au mnapojilipua mabomu.
Balaaaaaaduh aiseeee
Mimi wala sio Mwislam,,ni mkristo kabisa ila nimekupa mfano wa samweli Nabii ili ujue niko kibiblia zaidi.Kuuwa watu wa Ukraine wanaoungwa mkono na Nato ni jambo sahihi hasa kutokana na mataifa yaa kimagharibi kuutupa ukristo na kuwakataa wale walioamua kubaki na Imani,,Fuatilia kinachoendelea Canada wachungaji wanafungwa jela kwa kusema ushoga ni dhambi,,leo ukienda uingereza mahubiri yako yanakuwa censored kwamba una vitu unaruhusiwa kuongea na vingine uvinyamazie usiviite dhambi mfano huo ushoga,,na ukigundulika umekiuka unakuwa deported,,Marekani kanisa linanyimwa uhuru kwa kukataa abortion na ushoga vandalization ya makanisa iko juu..Unawaungaje mkono waliberali?? Mimi ni mkristo na niko upande wa urusi na wote wanaopenda common sense,,,sio wapumbaf wasiojitambua wanaosema wao ni open minded.