Cavill
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 379
- 1,284
Kuna mawili either wanyama wahamishwe ili kulinda uhai wao ama wamasai wahamishwe, sasa kazi kwenu kuchagua ni lipi lenye unafuu maana ukisema uangalie historia tunaambiwa Hifadhi imewakuta wamasai hapo, basi ikiwezekana ifadhi ihamishwe Longido na wamasai wapewe Ngorongoro waendelee kuishi. Lakini nawaambia hao wanyama ni viumbe wa Mungu hawana wa kuwatetea wao wanajua kuishi na kufa tu. Ila wamasai wana utashi, wanaweza kuelimishwa ama hata kuhamishwa sehemu zingine na wakendelea na shughuli zao za kila siku. Tuache siasa kwenye mambo ya msingi kama Haya. Hii hifadhi sio ya wamasai pekee ni ya watanzania wote. Maslahi ya wanyama pia yazingatiwe