OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Tutegemee nini, kama mashabiki wake wenyewe, wapo kama wewe!We ni popoma tu.
Bro,View attachment 1871916
Napata shida sana kuangalia clips za marudio ya hii match. Napata shida kuona mpira ukichezwa kama vita na ugomvi. Najiuliza faida ya rafu hizi ni nini. Mbali na upinzani wa timu lakini wachezaji hawa ni washikaji na wote wanapigania uzima ili kujenga maisha yao. Sasa inakuwaje jitu linacheza rafu ya kiwango hiki bila kujali usalama wa wengine?
Zaidi najiuliza ni nani anawafundisha kufanya haya?haya yanaweza kuwa maelekezo ya mwalimu?
Hii timu sio ya kuombea mafanikio kabisa
Hawa walijua wanafungwa tena goli nyingi hii ilikuwa mbinu ya kupunguza idadi ya magoli,halafu kuna wapumbavu washabiki uchwara wa Utopolo wanasema refa kawaonea.View attachment 1871916
Napata shida sana kuangalia clips za marudio ya hii match. Napata shida kuona mpira ukichezwa kama vita na ugomvi. Najiuliza faida ya rafu hizi ni nini. Mbali na upinzani wa timu lakini wachezaji hawa ni washikaji na wote wanapigania uzima ili kujenga maisha yao. Sasa inakuwaje jitu linacheza rafu ya kiwango hiki bila kujali usalama wa wengine?
Zaidi najiuliza ni nani anawafundisha kufanya haya?haya yanaweza kuwa maelekezo ya mwalimu?
Hii timu sio ya kuombea mafanikio kabisa
KumbeHawa walijua wanafungwa tena goli nyingi hii ilikuwa mbinu ya kupunguza idadi ya magoli,halafu kuna wapumbavu washabiki uchwara wa Utopolo wanasema refa kawaonea.
SawaBro,
Mpira hawawezi, wafanyaje Sasa? Ni sawa na ile Mechi waliocheza Prison vs Simba
Ebu jaribu kuangalia ile mechi ya fainali ya kombe la kopa America kati ya Argentina vs Brazil.View attachment 1871916
Napata shida sana kuangalia clips za marudio ya hii match. Napata shida kuona mpira ukichezwa kama vita na ugomvi. Najiuliza faida ya rafu hizi ni nini. Mbali na upinzani wa timu lakini wachezaji hawa ni washikaji na wote wanapigania uzima ili kujenga maisha yao. Sasa inakuwaje jitu linacheza rafu ya kiwango hiki bila kujali usalama wa wengine?
Zaidi najiuliza ni nani anawafundisha kufanya haya?haya yanaweza kuwa maelekezo ya mwalimu?
Hii timu sio ya kuombea mafanikio kabisa
Kagera SugarHuyo Zawadi Mauya sijui walimtoa wapi yeye ni rafu tu mwanzo mwisho