Video: Yanga wali-train kucheza rafu mwanzo mwisho?

Kwani Mwakalebela anasemaje? au ndio anaibua kesi kisa Morrison kafunga goli leo
 
Haya ni maelekezo ya wachambuzi wa michezo ambao wengi ni level za ndondo.

Kama ulifuatilia uchambuzi wao walisifu sana aina hii ya mpira.Waliamini ukicheza mpira wa mieleka lazima utamwogopesha Simba kucheza,na hivyo kumshinda kirahisi.
 
Sumbwa ndio timu gani!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…