Video za kibongo uhalisia bado sana, Meja Kunta umechemka

Video za kibongo uhalisia bado sana, Meja Kunta umechemka

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Iwe ni wewe ama director, mtu anaigizia kama Rubani halafu anavaa kofia ya Polisi?

025A3944-3F07-418F-B969-7E2D78F0BBF1.jpeg
 
Mkuu hadhira ya wimbo husika ni waangaliaji wa bongo movies na vihindi ambavyo rubani anavaa kofia hizo hivyo hatujaona makosa maana nauli ya ndege ndefuu Tupia basi picha ya rubani wa ndege na kofia yake tuone makosa husika.
 
usikute director kaonja hako kavideo queen kisha kasahau kuomba ya rubani
 
Mkuu hadhira ya wimbo husika ni waangaliaji wa bongo movies na vihindi ambavyo rubani anavaa kofia hizo hivyo hatujaona makosa maana nauli ya ndege ndefuu Tupia basi picha ya rubani wa ndege na kofia yake tuone makosa husika.
Hiyo kofia juu huoni imeandikwa polisi wew mshamba wa wapi zuzu
 
Ndio kazi yake kulingana na kipato chake usimlazimishe awe drake.

Akiacha kazi ale wapi?
 
Mkuu hadhira ya wimbo husika ni waangaliaji wa bongo movies na vihindi ambavyo rubani anavaa kofia hizo hivyo hatujaona makosa maana nauli ya ndege ndefuu Tupia basi picha ya rubani wa ndege na kofia yake tuone makosa husika.
Jitahidi ata mara moja upande mwewe. Hautojuta.

Mfano rubani wa Air Tanzania zile Bombardier uwa anavaa kama hivi..

images (1).jpeg
 
Hata tamthilia zao haziko clear kabisa angalia tamthilia za kituruki zipo clear rangi nzurii
Sie shida nini [emoji23]
Tatizo ni bajeti, bajeti ingekuwa inatengwa kubwa hata wataalamu wa color grading wangepatikana na kazi zingekuwa zinatoka vizuri zaidi.
 
Back
Top Bottom