Video za kibongo uhalisia bado sana, Meja Kunta umechemka

Video za kibongo uhalisia bado sana, Meja Kunta umechemka

Video criticism Ni fani. Ukisoma chuoni kuhusu Jambo Hili utakuwa hufurahii video na filamu zote hata za ki magharibi. Coz video production Ni mchezo wa makosa mengi Sana kuanzia editing, graphics, nk. Hebu fikiria sometime movie zingine zinataka mtu aonekane akiendesha ndege kwa mfano.
Bajeti Ni ndogo . Unajua kinachofanyika? Linatafutwa gari linabandikwa cockpit mbalimbali . Yaani maswitch kibao Kama kwenye ndege. Then inatengeneza animation au graphic picture ya ndege Kama zile kwenye gem iko hewani. Baadae unarudishwa kwa kuoneshwa matukio ya ndani ya ndege kumbe Ni ndani ya gari unakubali. So Mambo ya kukosoa sio ya kuyatilia maanani.
 
Tatizo ni bajeti, bajeti ingekuwa inatengwa kubwa hata wataalamu wa color grading wangepatikana na kazi zingekuwa zinatoka vizuri zaidi.
Bajeti ikiwa kubwa utarudisha pesa sasa, mauzo gan apa nchini
 
Bajeti ikiwa kubwa utarudisha pesa sasa, mauzo gan apa nchini
Wazo la kimaskini hilo, wangeweza kuangalia mbinu ya kurejesha bajeti yao. Either wangeanzisha streaming platform ya kibongo, au wangeangalia jinsi gani wangeuza filamu zao kimataifa.
 
Back
Top Bottom