mabutu1835
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 909
- 1,425
Hongereni sana wote mnaoshiriki katika uokoaji.Mungu awanusuru na mauti walio chini, tushirikiane pasipo kuchoka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VIfo vya mateso haswa, imagine Mtu anaangukiwa na matofali mazito kichwani au kifuani...mwingine anavunjwa uti wa mgongo na nondo au zege ngumuHawa Ni Baadhi Ya Rafiki Zetu Waliotangulia Mbele Ya Haki Kwenye Ajali Ya Kuporomoka Kwa Ghorofa Leo Asubuhi.
"Kwaherini Wanetu Tunaonana Tena Baadae🙏💔🕊View attachment 3154122
Yes gentleman,ambae anaongoza serikali ya wanadamu kutoka kwa Mungu,😭😭😭
Kuna Watu wanakera sana Mkuu.Hivi jamaa ana akili kweli! Sasa Samia hapo anahusikaje?
Hahahaha kkmk hahahahaha 🤣 😆 😂 😅 😄 😜 🤣
Leo sina comment! Naomba niishie hapa🙏🏾Yes gentleman,
Ndiyo. Serikali za wanadamu kote ulimwenguni zimetoka kwa Mungu.
Tumuombe Mungu atujaalie subra wakati maelekezo ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuhusu uokoaji, katika eneo la tukio yakiendelea kufanyiwa kazi kwa weledi na umakini mkubwa na vyombo vyetu imara sana vya ulinzi na usalama.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Ingekuwa heri wewe ndo ungekuwa upo ndani ya kifusiYes gentleman,
Ndiyo. Serikali za wanadamu kote ulimwenguni zimetoka kwa Mungu.
Tumuombe Mungu atujaalie subra wakati maelekezo ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuhusu uokoaji, katika eneo la tukio yakiendelea kufanyiwa kazi kwa weledi na umakini mkubwa na vyombo vyetu imara sana vya ulinzi na usalama.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Yes,
Maelekezo ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan kwa kamati ya maafa ya kitaifa na mkoa yamechochea kwa kiasi kikubwa shughuli ya uokozi.
Mh.Rais aliamrisha na kuelekeza kwamba, vyombo vyote vya ulinzi na usalama pamoja na wataalamu wao vilekee eneo la tukio.
Nadhani sote ni mashuhuda wa kazi nzuri iliyofanywa kwa amri ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan.
Tunamtakia safari njema nasi kama taifa tutaendelea kutekeleza maelekezo yake na kuhakikisha wale wote walioko chini ya kifusi, kwa Neema na Baraka za Mungu, wanapatikana wakiwa hai 🐒
angekua ni kiungo cha ubishi gentleman,Angekuwa waziri wake kafa nina uhakika asilimia 100 asingeondoka ila kwakuwa maisha ya watanzania wapambanaji hayana thamani kwake ndio maana ameondoka.
Raisi alitakiwa kutoondoka na kushikamana na watanzania kwenye kipindi hiki. Kongole kwa wananchi, hakika juduzi zao zimeonekana
ingekua ni kiungo cha ubishi kisichokua na uhakika..Ingekuwa heri wewe ndo ungekuwa upo ndani ya kifusi
Uwe unampongeza Rais vyema ukiwa uko
Hamna hata aibu Watanganyika wenzetu wanakufa we upo unaleta masuala tu
ni muhimu na itapendeza zaidi kukaa kwa kutulia bila kuchochea taharuki ambazo si muhimu, wakati vyombo vya ulinzi na usalama vikiendelea na kazi muhimu sana ya uokoaji katika ajali mbaya sana ya kuporomoka kwa jengo kariakoo..Leo sina comment! Naomba niishie hapa🙏🏾
Mbona unaongea yasiyo na tija ww chawa baridikwa Neema na Baraka za Mungu maelekezo ya Rais Dr.Samia Suluhu Hassan ambae anaongoza serikali ya wanadamu kutoka kwa Mungu, yaendelee kutekelezwa na kuzaa matunda kadiri ya mapenzi ya Mungu mwenyewe.
hakuna haja kubabaika gentleman![]()
Tz mashujaa ni wakina dotto magari mwijaku stv nyerere babl3vo na wakata maunooo na hao ni washauri wa viongozi wanakuwa nao 😄Huyu jamaa ni binadamu sanaaa
Ujenzi unaofanyika kko ni uchafu tu.....na mamlaka wao wanatizama tuni muhimu na itapendeza zaidi kukaa kwa kutulia bila kuchochea taharuki ambazo si muhimu, wakati vyombo vya ulinzi na usalama vikiendelea na kazi muhimu sana ya uokoaji katika ajali mbayikaa sana ya kuporomoka kwa jengo kariakoo..
Mungu atufanyie wepesi na atuonyeshe njia 🐒
Kwenye hospital ya wagonjwa wa akili, ukiwa humo na akili timamu wewe ndio unaonekana mwendawazimu..ni muhimu na itapendeza zaidi kukaa kwa kutulia bila kuchochea taharuki ambazo si muhimu, wakati vyombo vya ulinzi na usalama vikiendelea na kazi muhimu sana ya uokoaji katika ajali mbaya sana ya kuporomoka kwa jengo kariakoo..
Mungu atufanyie wepesi na atuonyeshe njia 🐒
Ww unakuja kuleta siasa humu. Tumeziona picha asilimia kubwa watu wa kariakoo wamesaidiana wenyewe kwa wenyewe kuokoanaYes gentleman,
Ndiyo. Serikali za wanadamu kote ulimwenguni zimetoka kwa Mungu.
Tumuombe Mungu atujaalie subra wakati maelekezo ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuhusu uokoaji, katika eneo la tukio yakiendelea kufanyiwa kazi kwa weledi na umakini mkubwa na vyombo vyetu imara sana vya ulinzi na usalama.🐒
Mungu Ibariki Tanzania