Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #161
Mguu wangu umebwa na kitu kama jabali zito, nashindwa kabisa kujinasua hapa, tangu asubuhi nimelala, siwezi kugeuka, nahisi, kuchoka, maumivu hayaelezeki labda nimevunjika, maana mguu unauma sana. Mwili unakosa nguvu.
"Dalili za uhai ni ndogo kuliko kifo
mbaya zaidi nakufa taratibu, kwa maumivu makali...nimechoka sana, najisikia vibaya, nashikwa na kichefu chefu, nikivuta pumzi, navuta vumbi inayonipa kikohozi. Joto ni Kali na hewa ni nzito sana.
Nakufa Mimi, tena nikiwa masikini Ally.
Awali nilidhani muda si mrefunitaokolewa lakini Sioni dalili zozote za kufikiwa, nakufa Mimi jama, nikiwa Sina chochote nilicho acha kwa ajili ya watoto wangu.
Msaidieni mama Yasir, wasaidieni watoto wangu, wasaidieni tafadhali. Fanya kwa ajili yangu kama nitakufa....
Mwambia mama Yasir nampenda sana, Nilipambana Kwa ajili ya familia, anajua hilo .ila jitihada hazishindi kudra.
"Dalili za uhai ni ndogo kuliko kifo
mbaya zaidi nakufa taratibu, kwa maumivu makali...nimechoka sana, najisikia vibaya, nashikwa na kichefu chefu, nikivuta pumzi, navuta vumbi inayonipa kikohozi. Joto ni Kali na hewa ni nzito sana.
Nakufa Mimi, tena nikiwa masikini Ally.
Awali nilidhani muda si mrefunitaokolewa lakini Sioni dalili zozote za kufikiwa, nakufa Mimi jama, nikiwa Sina chochote nilicho acha kwa ajili ya watoto wangu.
Msaidieni mama Yasir, wasaidieni watoto wangu, wasaidieni tafadhali. Fanya kwa ajili yangu kama nitakufa....
Mwambia mama Yasir nampenda sana, Nilipambana Kwa ajili ya familia, anajua hilo .ila jitihada hazishindi kudra.