Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa bahati mbaya huwa sibishani na watu waliokosa malezi mazuri.Sijamtukana mtu hapa!Leta video usione watu ni wajinga kama wewe. Utoto wako peleka Facebook sio uku. Bogus mkubwa .
Kwa bahati mbaya huwa sibishani na watu waliokosa malezi mazuri.Sijamtukana mtu hapa!
Uyu Mbona Anatuletea kokoro Si alete video yake yeyeLeta video mkuu,mbona unajizungushazungusha hapa?
Uyu Mbona Anatuletea kokoro Si alete video yake yeye
Mutiwena ndatetereka, tetereka, indasama serunyema hinayinayina ooohhhh darl ndadamuka kungenjanyi haaahaaaa hatari sana mondi alivoimba Hicho kishona hadi the herald wakariport kua alikua amevaa vizuri sana siku ya ile show Hapo HICCWazim sasa hivi wanamjua Diamond kuliko tunavyomjua sisi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna dada wa Kizim alikuwa ananihadithia juzi Zari alivyopata mtoto wa pili wa Diamond.
Weka hapa link ya youtube channel yako na u upload ujinga wowote, nikununulie views halafu ni screen shot nitume hapa.
Mkuu iyo ngoma sio mchezo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukizingatia kule hakuna tim so nchi nzima wana muelewa diamond ile mbaya na vile ali imba kishona bas wanaona raha.
Yaan jah prayza mpaka akienda kanisani wana mwambia asimame azungumze machache jinsi ule wimbo walivo ukubali
Napenda sana ile verse ya diamond wimbo ni mkali ofcozMkuu iyo ngoma sio mchezo
Naona WCB, wataalamu wa muziki aka wazee wa kununua views wametawala
Tujue sana viewes kias fulan unalipwa kias fulan tupen majibu sasaa
Hata mzee wa commercial, Ziko remix imepaa baada ya kufanya na Simba.Yule jah prayza wa Zimbabwe alikuwa hajawahi fikisha hata views laki 1, alivo fanya na diamond aka pata views milion 1 alifanya hadi sherehe, akaangusha bonge ya party huko Zim
Kupata views si mchezo
kama ni rahisi weka basi video yako na wewe afu ununue hao viewers..Yani kununia views ni rahisi kama kuhesabu 1 2 3
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 noma sana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukizingatia kule hakuna tim so nchi nzima wana muelewa diamond ile mbaya na vile ali imba kishona bas wanaona raha.
Yaan jah prayza mpaka akienda kanisani wana mwambia asimame azungumze machache jinsi ule wimbo walivo ukubali
hebu nielekeze namna ya kununua views na mimi nikanunue🙁🙁🙁🙁🙁🙁Naona WCB, wataalamu wa muziki aka wazee wa kununua views wametawala