Video za wasanii wa Bongo zilizotazamwa zaidi kwenye Youtube mwaka 2016

Video za wasanii wa Bongo zilizotazamwa zaidi kwenye Youtube mwaka 2016

Hahahha
Namkubali kuwa ana appreciate uwepo wa diamond. Sasa akaze zaid.
Ila amejitahidi kwani pia kamuongezea fan base ya nguvu bhana diamond.
sana maana hiyo WATORA MARI inapigwa hadi kene vilabu vya pombe za kienyeji sikuhizi
 
Mbona zaWCB ndo zina views sana ndo wengi ndo kusema bongo flava imehamia WCB au mi cielew
 
hebu nielekeze namna ya kununua views na mimi nikanunue🙁🙁🙁🙁🙁🙁
Mimi mwenyewe nimejitahidi kuwauliza hawa vijana wa team tembo wameshindwa kunifafanulia.
 
Yule jah prayza wa Zimbabwe alikuwa hajawahi fikisha hata views laki 1, alivo fanya na diamond aka pata views milion 1 alifanya hadi sherehe, akaangusha bonge ya party huko Zim
Kupata views si mchezo
Ni kweli ila kusema ukweli hizo views bado chache, kuna videos nimeona zina 2 over billion views,
 
Ni kweli ila kusema ukweli hizo views bado chache, kuna videos nimeona zina 2 over billion views,
Eeeh
Kina justin bieber akioata views bilion 1, bas ana hesabia video imebuma
Kwa wenzetu, views million 10 ni dakika 10 za mwanzo huku mtu yuko top 10 [emoji28]
 
Yule jah prayza wa Zimbabwe alikuwa hajawahi fikisha hata views laki 1, alivo fanya na diamond aka pata views milion 1 alifanya hadi sherehe, akaangusha bonge ya party huko Zim
Kupata views si mchezo
Mi naamini ni kweli ile story ya kununua views kwa takwimu hizi
 
Weka hapa link ya youtube channel yako na u upload ujinga wowote, nikununulie views halafu ni screen shot nitume hapa.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Nyie wabongo mnapenda kutuibia kirahisi, uninunulie views hela unapata wap!!? Ay views ni cheap sana
 
Mi naamini ni kweli ile story ya kununua views kwa takwimu hizi
Hahahaha
Wala usiamini ni uzushi tuu
Na you tube huwa wana pitia mara kwa mara lazma wa ku strip views
Sasa wewe diamond wamempa hado tuzo walishndwa kumjua kama ana nunua!!!
 
Hahahha
Namkubali kuwa ana appreciate uwepo wa diamond. Sasa akaze zaid.
Ila amejitahidi kwani pia kamuongezea fan base ya nguvu bhana diamond.
Sana kaka, Diamond jina kubwa sana sana pale Zim, kingine jamaa alikuwa anamkubali sana Diamond tangu kitambo, maana alishawahi kukopi video ya Diamond Kitorondo yeye akaiita Yerusalema (angalia hiyo video), wazim wakampigia kelele sana, nadhani alipopata nafasi ya kukutana na Diamond na kufanya nae Collabo alijisikia raha sana
 
Hongera zao WCB wamejitahidi kufanya mapinduzi ya muziki nchin bila kumsahau Darassa amerudi vzr
 
Sana kaka, Diamond jina kubwa sana sana pale Zim, kingine jamaa alikuwa anamkubali sana Diamond tangu kitambo, maana alishawahi kukopi video ya Diamond Kitorondo yeye akaiita Yerusalema (angalia hiyo video), wazim wakampigia kelele sana, nadhani alipopata nafasi ya kukutana na Diamond na kufanya nae Collabo alijisikia raha sana
Ngoja nikachek
Amenikumbusha mambo ya TID na nyota yako
 
Hahahaha
Wala usiamini ni uzushi tuu
Na you tube huwa wana pitia mara kwa mara lazma wa ku strip views
Sasa wewe diamond wamempa hado tuzo walishndwa kumjua kama ana nunua!!!

mkuu, kiukweli hii ishu ya kununua views ilikuwa ni ujinga tuu wa hiki kipuuzi ki ommy dimpoz kutaka kmchafua Mondi, bila kufikiria jitihada anazofanya mwenzie Mondi ili kufikia malengo yake.

kwa sababu hata kalivyoizungumzia ilikuwa kihuni sana, maana kalijitolea mfano kenyewe kuwa kaliwahi kuuziwa views.
sasa wale wanaokesha kumchafua Mondi wakaichukua hiyo kama sababu ya kumu attack Mondi.

wakati kiuhalisia, tulitakiwa tukaponde hako ka dimpozi maana kenyewe ndio kalilkiri kuwahi kufanya huo upuuzi. ila hata hivyo nadhani tukahurumie tuu, maana inaonekana kana matatizo lukuki ikiwemo hata kutokujua U-tube ina operate vipi.
 
mkuu, kiukweli hii ishu ya kununua views ilikuwa ni ujinga tuu wa hiki kipuuzi ki ommy dimpoz kutaka kmchafua Mondi, bila kufikiria jitihada anazofanya mwenzie Mondi ili kufikia malengo yake.

kwa sababu hata kalivyoizungumzia ilikuwa kihuni sana, maana kalijitolea mfano kenyewe kuwa kaliwahi kuuziwa views.
sasa wale wanaokesha kumchafua Mondi wakaichukua hiyo kama sababu ya kumu attack Mondi.

wakati kiuhalisia, tulitakiwa tukaponde hako ka dimpozi maana kenyewe ndio kalilkiri kuwahi kufanya huo upuuzi. ila hata hivyo nadhani tukahurumie tuu, maana inaonekana kana matatizo lukuki ikiwemo hata kutokujua U-tube ina operate vipi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Watakuwa walimuandama
Sema idea za video huwa tunaiba nusu nusu soyo yote kama alivo fanya yeye.

Alijitetea kuwa idea zilifanana na za Diamond kwani alisema yeye hakuwahi kuiona hivyo video ya Diamond, lakini kabla ya hapo alishakuwa na lawama za kukopi video ya msanii nadhani wa Ghana au Nigeria
 
Back
Top Bottom