cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Zari ni Malaya, aliingia mkataba na MONDI wa kukaa pamoja kwa muda, na ilipofika time dogo akaambiwa ajichanganye ili wazue mgogoro kwani wangeachana bila sababu basi Zari heshima ingeshuka ingeonekana ni malaya anajiuza. Zari hana toafuti na wale wa kindoni ila yeye kajiwekea profile ya umalaya wa hali ya juu.
Wivu hadi unanuita hivyo kama vile anatumia ghetto yako kutenda hayo unayodai.. lia tu maana inaelekea ya Kinondoni huko unauzoefu wa kuyajua ilivyo.. eeeeeeh
Mondi kaachwa pwaaaaaa.. sasa badala muwashangilie wanawake wote wanaoingia Madale Guest House alipowaachia Zari aliyetumia 100k usd kupaweka palivyo.. bado mnamsakama.. eeeeeeh Zari kiboko aiseeeee